GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mada zangu zenye uhitaji wa Akili Kubwa kuzielewa huwa nazianzisha kwa Members wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums.Codes hazisomeki,
Napita
Mjukuu wa Musuguri nakuona..Je, ndiyo Chief of Protocol kwa Mheshimiwa Rais Samia sasa? Nasikia pia kuwa ndiyo National Intelligence Analyst. Na kwanini anasikilizwa na hata Kuogopwa sana na Timu ya Rais kiasi kwamba ananyenyekewa mpaka na wale Watu wa Msaada Kontena ambao Kiutendaji Yeye ndiyo anatakiwa aongozwe nao na hata awagope na awasikilize?
Kama kuna Uzi ambao GENTAMYCINE leo nitatulia sana Kusoma Comments za Members mbalimbali JF basi ni huu.
Mimi ni Mjukuu wa Wazanaki (Mara) na Wayao (Mtwara) Mkuu na pia ni Mwana Afrika Mashariki mwenye Uzalendo mno.Mjukuu wa Musuguri nakuona..
Kumbe.....!!!!!!Ndio right handman anaeaminika kama Abdul!!yaani huyo ndio Alfa na Omega wake kwenye Kila jambo hasta ukitaka uteuzi ukamuomba jamaa lazima update tu!!
Nasikia hivyo!
Japo Kwa jana wamechemka kwenye kale kamchakato kao ka mapema!
Shikamoo KGB wa Tanzania. Upo deep sana..Ndio right handman anaeaminika kama Abdul!!yaani huyo ndio Alfa na Omega wake kwenye Kila jambo hasta ukitaka uteuzi ukamuomba jamaa lazima update tu!!
Nasikia hivyo!
Japo Kwa jana wamechemka kwenye kale kamchakato kao ka mapema!
Tunajiandikia tu!chamsingi tujiulize kwanini Genta kamuandika!!?Shikamoo KGB wa Tanzania. Upo deep sana..
Weka picha pls GENTAMYCINE tumfahamu, nina plot sehemu Moro nikaambiwa jirani yangu ni msaidizi wa No. 1.Je, ndiyo Chief of Protocol kwa Mheshimiwa Rais Samia sasa? Nasikia pia kuwa ndiyo National Intelligence Analyst. Na kwanini anasikilizwa na hata Kuogopwa sana na Timu ya Rais kiasi kwamba ananyenyekewa mpaka na wale Watu wa Msaada Kontena ambao Kiutendaji Yeye ndiyo anatakiwa aongozwe nao na hata awagope na awasikilize?
Kama kuna Uzi ambao GENTAMYCINE leo nitatulia sana Kusoma Comments za Members mbalimbali JF basi ni huu.
Tumeonana kifikra.🤝Je, ndiyo Chief of Protocol kwa Mheshimiwa Rais Samia sasa? Nasikia pia kuwa ndiyo National Intelligence Analyst. Na kwanini anasikilizwa na hata Kuogopwa sana na Timu ya Rais kiasi kwamba ananyenyekewa mpaka na wale Watu wa Msaada Kontena ambao Kiutendaji Yeye ndiyo anatakiwa aongozwe nao na hata awagope na awasikilize?
Kama kuna Uzi ambao GENTAMYCINE leo nitatulia sana Kusoma Comments za Members mbalimbali JF basi ni huu.
Utashtakiwa Kwa I'd hii au!!?labda kingine mkuu!Mwanasheria wangu kagoma mimi kushiriki huu mdahalo