Naomba kujua kuhusu utajiri wa Rothschild, ni zaidi ya Elon jumlisha Bezos

Naomba kujua kuhusu utajiri wa Rothschild, ni zaidi ya Elon jumlisha Bezos

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
 

Attachments

  • Screenshot_20240823_231555_Chrome.jpg
    Screenshot_20240823_231555_Chrome.jpg
    187.5 KB · Views: 21
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Duh $20 trion anaweza kununua nchi yetu kwa kulipa kila mtanzania sh.100m
 
Yamkini wakawa wanaendesha strong institutions kama serikali ya US, madhehebu makubwa n.k so kuwaexpose kutafanya watu wawe attention kuwafatilia hasa ni akina nani, so inakuwa vyema zaidi kukaa kimya.

Mbali na hayo, hata hawa akina Elon Musk wana nguvu kubwa sana kwenye vyombo vya usalama ndani ya nchi, mfano huyu Elon Musk ni poweful man ndani ya National Security Marekani. Kwa namna moja au nyingine anatumika na serikali kwa maslahi ua serikali.
 
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Hujawwhi kutuangusha.

Ukweli ni kwsmba, hiyo familia ndo inamiliki dunia. Hata ufalme wa Uingere,a hawaingii hapo... ingawa Mfalme wa Brunei naye ni noma sana kwenye pesa
 
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Brother forbes wao wanaweka matajiri wa halali na wale ambao wametaka biashara zao ziwe public.

Hao jamaa ndo wanamiliki mafuta duniani iwe direct au indirect, vita zote na uuzaji wa silaha wao ndo wafadhili, bank zote duniani hao jamaa wanamkono wao maana bank kuu zote unazojua wewe mpka federal reserve ujue ni wao.

Misaada yote na waibaji wakubwa wa mali hasa migodi sjui barick na wengine ote ni hao mbuzi.
 
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Ni kwamba kuna watu wengi tu wenye fedha nyingi kuliko akina Musk, Bezos, Gates, Adani na wengine ila hawajulikani kwa hilo kwasababu hawajarasimisha utajiri wao. Utajiri wao sio rasmi katika vitabu vya hesabu zinazojulikana, wala vyanzo halisi vya utajiri wao havijulikani waziwazi.

Yapo magroup mengine yana fedha za hatari kama The Roman Catholic Church ambao utajiri wao haujaweza kuhesabiwa exactly ila hawatajwi kwababu mara nyingi records zao ni ngumu kuzipata zote labda tu kwa makadirio. Wana vyanzo vingi na diversified vya mapato na assets nyingi sana kama ardhi na majengo ambayo ni vigumu kuyapa exact money value. Pia watu wanapenda kuwataja a few individuals na utajiri wao kwasababu habari hizi huvutia watu zaidi.

Familia za kifalme na hasa za falme za kiarabu zina fedha nyingi sana kuliko akina Musk, Zeckerberg, Bernard Arnault, Larry Ellison, Warren Buffet, etc combined.

Kwa mfano Microsoft ambapo Bill Gates in mmoja wa wadau wana utajiri mkubwa zaidi ya ule wa Gates mara kadhaa. Tesla kama kampuni ni tajiri sana zaidi ya Elon Musk ambaye yeye ni CEO na mdau mmojawapo tu. Yapo makampuni mengi sana duniani yenye utajiri mkubwa sana kuliko networth za individual wachache, Rockerfeller, Bilderberg Group, etc ni mifano michache tu. Hata hapa Tanzania kuna matajiri wakubwa sana lakini utajiri wao haujakadiriwa hivyo huwezi kuwaona kwenye chati.
 
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family

Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii

Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi

Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani

Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Mkuu ni kweli kuna mengi huyajui hiyo ni familia ya mijusi/reptilians hv ukiambia wanamiliki mabenki yote duniani including BOT yetu utakubali!?

Obvious utaona ni chai.......tuache kama ilivyo
 
Mkuu ni kweli kuna mengi huyajui hiyo ni familia ya mijusi/reptilians hv ukiambia wanamiliki mabenki yote duniani including BOT yetu utakubali!?

Obvious utaona ni chai.......tuache kama ilivyo
Kwann hawawekwi wazi kuwa ndo matajiri kuliko Elon musk huyo
 
Sisi
Brother forbes wao wanaweka matajiri wa halali na wale ambao wametaka biashara zao ziwe public.

Hao jamaa ndo wanamiliki mafuta duniani iwe direct au indirect, vita zote na uuzaji wa silaha wao ndo wafadhili, bank zote duniani hao jamaa wanamkono wao maana bank kuu zote unazojua wewe mpka federal reserve ujue ni wao.

Misaada yote na waibaji wakubwa wa mali hasa migodi sjui barick na wengine ote ni hao mbuzi.
Sisi mbuzi kijana...?
 
Ni kwamba kuna watu wengi tu wenye fedha nyingi kuliko akina Musk, Bezos, Gates, Adani na wengine ila hawajulikani kwa hilo kwasababu hawajarasimisha utajiri wao. Utajiri wao sio rasmi katika vitabu vya hesabu zinazojulikana, wala vyanzo halisi vya utajiri wao havijulikani waziwazi.

Yapo magroup mengine yana fedha za hatari kama The Roman Catholic Church ambao utajiri wao haujaweza kuhesabiwa exactly ila hawatajwi kwababu mara nyingi records zao ni ngumu kuzipata zote labda tu kwa makadirio. Wana vyanzo vingi na diversified vya mapato na assets nyingi sana kama ardhi na majengo ambayo ni vigumu kuyapa exact money value. Pia watu wanapenda kuwataja a few individuals na utajiri wao kwasababu habari hizi huvutia watu zaidi.

Familia za kifalme na hasa za falme za kiarabu zina fedha nyingi sana kuliko akina Musk, Zeckerberg, Bernard Arnault, Larry Ellison, Warren Buffet, etc combined.

Kwa mfano Microsoft ambapo Bill Gates in mmoja wa wadau wana utajiri mkubwa zaidi ya ule wa Gates mara kadhaa. Tesla kama kampuni ni tajiri sana zaidi ya Elon Musk ambaye yeye ni CEO na mdau mmojawapo tu. Yapo makampuni mengi sana duniani yenye utajiri mkubwa sana kuliko networth za individual wachache, Rockerfeller, Bilderberg Group, etc ni mifano michache tu. Hata hapa Tanzania kuna matajiri wakubwa sana lakini utajiri wao haujakadiriwa hivyo huwezi kuwaona kwenye chati.
Rockefeller ni matajiri sana lakini eti Google wanasema Elon musk ndo tajiri kuliko wote shut up 🤣🤣🤣.. Ila kwa roman catholic church apo umetupiga hawawez mzidi Elon musk wala Mukesh Amban
 
Elon ni richest person kwa watu duniani kutokana na forbes,mtu mmoja mmoja ambao wao wanapima kupitia ownerships Elon ndo anaongoza kwa watu,ila ukija kwenye richest families ni Al nahyan waarabu hao wa abu dhabi ndo richest families ukiangalia upande wa ownerships,ila in reality richest familiy on Earth ni hao Rothschild ambao wana gap kubwa la pesa,sasa tunakuja kwanin forbes hua hawawataji kwenye list sababu kubwa ni hii family haina ownerships ya vitu yenye ina control everything,ina buy shell companies ambazo zinanunua hisa kubwa kwenye makampuni yote makubwa ko pesa inakua inaingia bila shida ila ile ownership jina lao halipo,wanapoa kwenye shadows mpunga unaingia,head wa familia ambae ni Jacob Rothschild pekee yake ana mpunga wa $dollar trillion 5
 
Brother forbes wao wanaweka matajiri wa halali na wale ambao wametaka biashara zao ziwe public.

Hao jamaa ndo wanamiliki mafuta duniani iwe direct au indirect, vita zote na uuzaji wa silaha wao ndo wafadhili, bank zote duniani hao jamaa wanamkono wao maana bank kuu zote unazojua wewe mpka federal reserve ujue ni wao.

Misaada yote na waibaji wakubwa wa mali hasa migodi sjui barick na wengine ote ni hao mbuzi.
Umetuongopea mafuta ni Rockefeller family
 
Elon ni richest person kwa watu duniani kutokana na forbes,mtu mmoja mmoja ambao wao wanapima kupitia ownerships Elon ndo anaongoza kwa watu,ila ukija kwenye richest families ni Al nahyan waarabu hao wa abu dhabi ndo richest families ukiangalia upande wa ownerships,ila in reality richest familiy on Earth ni hao Rothschild ambao wana gap kubwa la pesa,sasa tunakuja kwanin forbes hua hawawataji kwenye list sababu kubwa ni hii family haina ownerships ya vitu yenye ina control everything,ina buy shell companies ambazo zinanunua hisa kubwa kwenye makampuni yote makubwa ko pesa inakua inaingia bila shida ila ile ownership jina lao halipo,wanapoa kwenye shadows mpunga unaingia,head wa familia ambae ni Jacob Rothschild pekee yake ana mpunga wa $dollar trillion 5
Forbes wanapima public listed companies tu, Ndio maana waarabu wa mafuta hawapo sababu utajiri wao ni private, ama hao wengine. Pia Al nahyan si matajiri kama Familia ya Al Saud.
 
Back
Top Bottom