Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Forbes wanaweka matajiri halali ambao biashara zao zinaokena ,, kuna matajiri wengi huyo Musk kuna watu pale mashariki ya kati hasa saudi hawakuti hata nusu ,sema hao biashara hazieleweki ni watu wana siri za hatari sana , wanapata easy money.
Forbes na bloomberg wanadili na watu wanaofanya biashara na uchumi kwa ujumla ...Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Bakhresa nae ana pesa ila hayo majarida hayamjui .
Forbes na bloomberg wanadili na watu wanaofanya biashara na uchumi kwa ujumla ...Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Bakhresa nae ana pesa ila hayo majarida hayamjui .