Indigo28
Senior Member
- Oct 27, 2020
- 117
- 151
Nchi ngap Africa ushawah kusafiri?Kama ni wakuja Dar lazima utasema Mo anamzidi mzee Bakhresa kwa utajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngap Africa ushawah kusafiri?Kama ni wakuja Dar lazima utasema Mo anamzidi mzee Bakhresa kwa utajiri.
Kenya nimefika , Msumbuji ....Utajiri wa Mo ni mpiga dili hana uwekezaji wa maana , angekuwa na timu yake kama azma acha utani wewe .Nchi ngap ushawah kusafir africa?
Pia kuna madrug loard wana fedha balaaForbes wanaweka matajiri halali ambao biashara zao zinaokena ,, kuna matajiri wengi huyo Musk kuna watu pale mashariki ya kati hasa saudi hawakuti hata nusu ,sema hao biashara hazieleweki ni watu wana siri za hatari sana , wanapata easy money.
Forbes na bloomberg wanadili na watu wanaofanya biashara na uchumi kwa ujumla ...Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Bakhresa nae ana pesa ila hayo majarida hayamjui .
AiseeBabu yao uyo anaitwa Mayer Rothschild yeye ndo akili nyingi alianza na banking industry mdogo mdogo
Mm hiyo laki tatu hata kwa siku Tatu tuu ni mtihani, nitaiona Dunia chungu, sijui wanabajeti vp hawa walimu jmnNoma sana mimi kikioiga jaga master mbili nikichoma na kuku wa kienyeji hiyo laki tatu imeisha
Kua na timu yako ndo kipimo cha utajiri?Kenya nimefika , Msumbuji ....Utajiri wa Mo ni mpiga dili hana uwekezaji wa maana , angekuwa na timu yake kama azma acha utani wewe .
Hakuna kabisa,Hakuna utajiri unaopatikana kirahisi kumbe duuh
Hao waarabu wameanza majuzi tu. Hao Waamerika wapo toka karne na karne.Hujawwhi kutuangusha.
Ukweli ni kwsmba, hiyo familia ndo inamiliki dunia. Hata ufalme wa Uingere,a hawaingii hapo... ingawa Mfalme wa Brunei naye ni noma sana kwenye pesa
JewsHao waarabu wameanza majuzi tu. Hao Waamerika wapo toka karne na karne.
Usiwe malize maneno kaangalie investment portfolio ya SSB then uone , usifananishe ego za Mo na Bakhressa ni watu tofauti ...SSB sio mpiga kelele kama unavyofikiria ....We unaangalia sijui mtu kusoma anaongea sana .Kua na timu yako ndo kipimo cha utajiri?
Mo bidhaa zake kuanzia kilimo,chakula asilimia 80 anauza nje ambako ndo soko na faida kubwa ilipo,yule mjinga akili nyingi ndo maana kampiga gap sana bakhresa,na ile kampuni Metl group bonge moja la company sema bongo bongo watu hawaijui sana,sababu amejikita sana soko la nje. Shida bakhresa kawateka sana soko la ndan ndo mana mnaona ana hela ila sio kweli
Mfalme wa Saudia pesa anayo Ila sio kumzidi eti Elon musk huo ni uongoForbes wanaweka self made billionaires,wenye pesa za kurithi au familia hawaweki,ndio maana huioni familia ya mfalme wa Saudi Arabia au wa Brunei...kuhusu utajiri wa Rothschild na Rocafella imezungumzwa Sana humu,pia tafuta kitabu kinaitwa World's Banker,Kama unakitaka nicheki...
Wanamzidi wale wanamiliki nchi kabisa ...Mfalme wa Saudia pesa anayo Ila sio kumzidi eti Elon musk huo ni uongo
Umeanza ligi,sawa Google is freeMfalme wa Saudia pesa anayo Ila sio kumzidi eti Elon musk huo ni uongo
Yah, inasadikika.Jews
Stori za vijiweni hiziHujawwhi kutuangusha.
Ukweli ni kwsmba, hiyo familia ndo inamiliki dunia. Hata ufalme wa Uingere,a hawaingii hapo... ingawa Mfalme wa Brunei naye ni noma sana kwenye pesa