Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ninazo bhana πππUdugu Huna Siri weee !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazo bhana πππUdugu Huna Siri weee !
Sema bhana πππ
Ninongβoneze bas kidogo
Wewe hao wafuasi ulionao kwenye id yako ya genta wanakuingizia pesa?kwahiyo unataka kusema mimi Cognizant, Dabil na Charles kilian hatuna Ushawishi, mvuto na akili ndiyo maana hatuna hata follower mmoja tu na tumebakia na wivu, chuki na roho mbaya zetu zilizotukomaa hadi katika kope zetu za macho?
Akii ya shetani thikwambii πNipe πππ
Akya Mungu thihthemiii na mchanga nalamba
Naunga mkono hoja ππ jamaa anatafuta kikiMiaka yote natumia jf sijui hata kama kuna mambo ya followers
Acha kutafuta stress zisizo na mbele wala nyuma
Wewee huyoo!! Thubutuuuu!!Ninazo bhana πππ
Mimi huyuuu!! πππYaani hata nikitumbukiza ulimi kwa sikio lako la kushoto ili nikuambie utakwenda kuropoka kwa mashost zako kuwa kambi ya fisi ni mhuni π
Kamwe siwezi, huna wewe π
Mi nawe tumeongea mangapi??Wewee huyoo!! Thubutuuuu!!
Nambie sio vizuri hivo ujue πππAkii ya shetani thikwambii π
Ngoja nichukue madini ya kubebelezwa na kushawishiwa ππMimi huyuuu!! πππ
Abadani siwezii!!
We ningβate sikio uone km ntasema!!
Kwanza mashosti zangu tunaongeleaga habari za kusutana tyuuu!!
Nambie baaaasi naweee!! π
Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa πππ Lamomy huyuuuYaani hata nikitumbukiza ulimi kwa sikio lako la kushoto ili nikuambie utakwenda kuropoka kwa mashost zako kuwa kambi ya fisi ni mhuni π
Kamwe siwezi, huna wewe π
Hv kumbe Kuna followers ndyo najua leo π€£π€£π€£Una folowaz wangapi wewe??? Mi Sina hata mmoja dohh!
Sawa ngoja nikuambie sasa........ πNambie sio vizuri hivo ujue πππ
Nasubiri πππSawa ngoja nikuambie sasa........ π
Mtoto wa kawe anashida sana huyoKwani ukiwa na followers wengi inasaidia nini hapa...! Ilhari hata mtu aliyejiunga leo na JF post yake inamfikia kila mtu...!
Ahaha hahaaa umeona huyo lamony ni domo Kaya kabisa π π πJuzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa πππ Lamomy huyuuu