Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

kwahiyo unataka kusema mimi Cognizant, Dabil na Charles kilian hatuna Ushawishi, mvuto na akili ndiyo maana hatuna hata follower mmoja tu na tumebakia na wivu, chuki na roho mbaya zetu zilizotukomaa hadi katika kope zetu za macho?
Wewe hao wafuasi ulionao kwenye id yako ya genta wanakuingizia pesa?
 
Yaani hata nikitumbukiza ulimi kwa sikio lako la kushoto ili nikuambie utakwenda kuropoka kwa mashost zako kuwa kambi ya fisi ni mhuni 😁

Kamwe siwezi, huna wewe πŸ˜‚
Mimi huyuuu!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Abadani siwezii!!
We ning’ate sikio uone km ntasema!!
Kwanza mashosti zangu tunaongeleaga habari za kusutana tyuuu!!
Nambie baaaasi naweee!! 😜
 
Kwani ukiwa na followers wengi inasaidia nini hapa...! Ilhari hata mtu aliyejiunga leo na JF post yake inamfikia kila mtu...!
 
Mimi huyuuu!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Abadani siwezii!!
We ning’ate sikio uone km ntasema!!
Kwanza mashosti zangu tunaongeleaga habari za kusutana tyuuu!!
Nambie baaaasi naweee!! 😜
Ngoja nichukue madini ya kubebelezwa na kushawishiwa 😜😜

Uki win Akii nitakuambia.

Endelea nakusikiliza πŸ˜…
 
Yaani hata nikitumbukiza ulimi kwa sikio lako la kushoto ili nikuambie utakwenda kuropoka kwa mashost zako kuwa kambi ya fisi ni mhuni 😁

Kamwe siwezi, huna wewe πŸ˜‚
Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lamomy huyuuu
 
Joomooni nambie bas daddie eeh!!
Afu unajua wewe mtu mzima na nusu!!
Usifanye hivo, nambie mwenzio 😌
Ntakupa Antonnia na Missy Gf km kifungashio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mat**ko yako unaanza kutugawa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 kwamba umetuchoka au
 
Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lamomy huyuuu
Ahaha hahaaa umeona huyo lamony ni domo Kaya kabisa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom