Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?

Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
 
Amina Mkuu. Yaani nipo radhi / tayari hata nibakiwe na Hela ndogo Mfukoni au katika Akaunti yangu ila Fungu la Kumi lake Mwenyezi Mungu nilitoe / nimtolee na huwa nasikia Furaha mno nikiitoa kwani hata Baraka huwa naziona na Maajabu ya Kimafanikio huwa nayaona.

Ongeza kiwango cha imani... Toa ile sadaka ya kuji maliza kabisa kwa jirani yako hapo halafu chapa mguu kurudi nyumbani
 
Amina Mkuu. Yaani nipo radhi / tayari hata nibakiwe na Hela ndogo Mfukoni au katika Akaunti yangu ila Fungu la Kumi lake Mwenyezi Mungu nilitoe / nimtolee na huwa nasikia Furaha mno nikiitoa kwani hata Baraka huwa naziona na Maajabu ya Kimafanikio huwa nayaona.
Amina
 
Kutoa zaka ni tukio ambalo linalotakiwa kuchukuliwa kama sherehe. Sherehe ya kumtuza mfalme Mungu wa miungu. Wengi wanafeli wanapoliona kama msiba. Linakuwa tukio la laana badala ya baraka.

Kutoa zaka ni sawa na kwenda kumtuza Mh Rais ambaye akifurahi anaweza kutoa tamko lolote la kifedha kwako na kila kitu kikawa kama alivyokutamkia.

Kabla sijatoa chochote kwa Mungu huwa nasoma 1 Nyakati 29. Kuboost furaha kwanza.
 
Muda mwingine huwa nawaza kwa Mungu hamna muongozo. (Hayana muongozo)

Kuna watu wanatoa fungu la Kumi kwa uaminifu bila masononeko lkn bado biashara zao zinakufa
Wengine hawatoi biashara zao zinakua bila kutumia hata ndumba...

Mimi huwa nina moyo wa kumsaidia mtu mwenye shida kumpa mtu 500 sio tatizo kama ninayo... Niligundua muda tu ninapotoa hela na mimi napata hela.

Hayanaga muongozo kila mtu na bahati yake...Muda mwingine Mungu haeleweki😔
 
Ongeza kiwango cha imani... Toa ile sadaka ya kuji maliza kabisa kwa jirani yako hapo halafu chapa mguu kurudi nyumbani
Nimeshahama Kawe tokea tarehe 18 February, 2024 na sasa niko Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani yaliko Makazi mapya ila Wiki ijayo Mwenyezi Mungu akipenda GENTAMYCINE nayaanza Maisha yangu mapya nchini Uganda kwa Neema na Baraka zake Mola / Maulana.
 
Kutoa zaka ni tukio ambalo linalotakiwa kuchukuliwa kama sherehe. Sherehe ya kumtuza mfalme Mungu wa miungu. Wengi wanafeli wanapoliona kama msiba. Linakuwa tukio la laana badala ya baraka.

Kutoa zaka ni sawa na kwenda kumtuza Mh Rais ambaye akifurahi anaweza kutoa tamko lolote la kifedha kwako na kila kitu kikawa kama alivyokutamkia.

Kabla sijatoa chochote kwa Mungu huwa nasoma 1 Nyakati 29. Kuboost furaha kwanza.
Amina Mkuu. Tuko pamoja kwa Mungu.
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Hongera Mkuu. Ila pia ningependa kusikia maoni ya Kiranga kwenye hili.
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
apandae haba kwa ukarimu, atavuna haba kwa ukarimu 🐒 🐒
 
Ww hela zako zinaenda vatican kwa papa halaf anakuja kutuletea pigo za kishoga hamna tofaut yyte mungu hapendi hela imfate anataka usaidie maskin na wasio jiweza sio kuwanufaisha vatican city na kuja na pigo za wanaume n sawa kupigana miti
 
Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge

Mkuu kwa maneno hayo juu Leo nimeamini kumbe kweli unakaa dar,huyu LIKUD kumbe anakusagiaga tu kunguni ,hapo Mkoa wa Mara Kama anavyodai
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Huo ni mchezo wa saikolojia tu,

Hata utoe sadaka huku ukiwa na furaha kiasi gani

Hainalishi utatoa ukiwa umekenua.

Sadaka ni mfumo wa dini kukusanya mapato yake,

Hakuna cha ziada.

Kila sehemu ambapo ujinga (ujinga kutokuelewa mambo kwa ufasaha) upo bhasi dini inaweza kuwepo.

Ni muda sasa wa kufanya mapinduzi ya kifikra hasa kwa nchi zetu za Kiafrica ambazo zimeharibiwa vibaya na dini

Hakuna Mungu wala shetani nje ya hadithi tu.

Imani ni shambulio la akili.

#Tenganishadininaserikali.
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Mkuu hbr ya Muda

Naomba uniazime elf 30K Mkuu wangu

Mungu akuinue daima
 
Back
Top Bottom