Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?

Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?

Muda mwingine huwa nawaza kwa Mungu hamna muongozo. (Hayana muongozo)

Kuna watu wanatoa fungu la Kumi kwa uaminifu bila masononeko lkn bado biashara zao zinakufa
Wengine hawatoi biashara zao zinakua bila kutumia hata ndumba...

Mimi huwa nina moyo wa kumsaidia mtu mwenye shida kumpa mtu 500 sio tatizo kama ninayo... Niligundua muda tu ninapotoa hela na mimi napata hela.

Hayanaga muongozo kila mtu na bahati yake...Muda mwingine Mungu haeleweki[emoji17]
Miongozo ndo hiyo kutoa zaka kamili kwahiyo hao unaosema wanatoa na hawapati yawezekana hawatoi zaka kamili
 
Kutoa zaka ni tukio ambalo linalotakiwa kuchukuliwa kama sherehe. Sherehe ya kumtuza mfalme Mungu wa miungu. Wengi wanafeli wanapoliona kama msiba. Linakuwa tukio la laana badala ya baraka.

Kutoa zaka ni sawa na kwenda kumtuza Mh Rais ambaye akifurahi anaweza kutoa tamko lolote la kifedha kwako na kila kitu kikawa kama alivyokutamkia.

Kabla sijatoa chochote kwa Mungu huwa nasoma 1 Nyakati 29. Kuboost furaha kwanza.
wale waliochangia form ya sa100 kwa ajiri ya lugombe urais 2025 wamepewa nn?

acha kumfananisha Mungu na rais tafadhari ndio maana waislam huwacheka sana
 
Kwani hiyo Hela naitoa katika Mshahara wako au wangu Mimi GENTAMYCINE? Nasubiria jibu lako Wewe Zozola ( Mjinga ) sawa?
Unatoa kwenye mshahara ila nakuonea huruma kwani kati ya mazuzu wewe ni mwenyekiti. Unajigamba una akili ila ukashindwa kuelewa namna ulivyodanganywa ili uuponde utamaduni wako na kuiga utamaduni wao. Christianity is a slave morality.
 
Kikubwa umemtolea Mwenyezi Mungu na anaona hivyo utaendelea Kubarikiwa nae hata kama hao Wajanja wako wataila huku wakisubiria Laana yao ambayo itawala Kizazi na Kizazi.
Hiyo sehemu ya kumi ni kwa nini usimpe jirani unaemfahamu kweli hajiwezi? My friend, religion is a business.
 
C
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Kichwa maji
 
Kwani hiyo Hela naitoa katika Mshahara wako au wangu Mimi GENTAMYCINE? Nasubiria jibu lako Wewe Zozola ( Mjinga ) sawa?
Unaposema hiyo pesa unatoa wewe na sio mimi ni kuishiwa hoja, tena ukaniita mjinga pasipo kujua vidole vitatu vinakuelekea wewe, yaani wewe ni mara 3.
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Mkono utoao ndio hupokea
 
Asante sana Kwako uliyenipa hii Elimu kwani tokea nianze Kufululiza kuhudhuria Ibada zangu Kanisa Katoliki na Kumtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la Kumi ( 10 ) Maajabu yanayonitokea ya Kimafanikio, Baraka na Neema huwezi kamwe kuyapata kwa Mganga wa Kienyeji au wale Waganga Watatu wa Madhabahuni Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge.

Ukiona kila Mwezi unatoa Fungu la Kumi Kanisani Kwako halafu huoni Mafanikio yoyote yale jua hiyo Hela unaitoa huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) Moyoni mwako au Wewe ni Mchanganya Maombi na Mzururaji tukuka wa Kutwa kwa Waganga wa Kienyeji.

Akhsante Mungu kwa BARAKA zako!!!
Nimejifunza kitu, Mungu akubariki
 
Sina imani na uwepo wa huyo Mungu wala sitoi chochote kwa kiumbe ambacho hakipo na wala sioni nikilaaniwa wala kukosa chochote, kuna mambo ukijiendekeza na akili inakudanganya kuwa ni ya kweli.
 
Muda mwingine huwa nawaza kwa Mungu hamna muongozo. (Hayana muongozo)

Kuna watu wanatoa fungu la Kumi kwa uaminifu bila masononeko lkn bado biashara zao zinakufa
Wengine hawatoi biashara zao zinakua bila kutumia hata ndumba...

Mimi huwa nina moyo wa kumsaidia mtu mwenye shida kumpa mtu 500 sio tatizo kama ninayo... Niligundua muda tu ninapotoa hela na mimi napata hela.

Hayanaga muongozo kila mtu na bahati yake...Muda mwingine Mungu haeleweki😔
Hapo ndio linapokuja swala la destiny.
 
Mwizi,tapeli,anaejiuza hao wote nao wanatakiwa watoe fungu la kumi.
 
Kuna baraka sana kwenye utoaji,ni sahihi
 
Kawe, Kimara Temboni na huyu mpya wa Buza kwa Lulenge

Mkuu kwa maneno hayo juu Leo nimeamini kumbe kweli unakaa dar,huyu LIKUD kumbe anakusagiaga tu kunguni ,hapo Mkoa wa Mara Kama anavyodai
kibopko ya wachawi shuka buza kwa lulenge mwambie bodaboda naenda kwa nabii kiboko ya wachawi utakuwa umefika haahaa.
kuna mwingine alikuwa tabata segerea anaitwa peter nyaga nae ni wachawi na uganga.
 
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0678663769
Screenshot_20240526_075054_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom