Naomba kujua mgogoro wa Ngorongoro maana mbuga ni muhimu haiwezi kuhamishwa Ila ndugu zetu nao muhimu pia

Naomba kujua mgogoro wa Ngorongoro maana mbuga ni muhimu haiwezi kuhamishwa Ila ndugu zetu nao muhimu pia

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
 
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
Fedha inayopatikana huko haina hata faida kwa umma, bora wakae wenye ardhi
 
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
Ni mwendawazimu tu pekee ndiye atakayewaza kuwa wanyama mwitu ni muhimu kuliko binadamu. Wanaya wanaweza kutoweka na dunia ikaendelea? Huko ulaya hawana mapori ya wanyama na ni hao hao mnawategemea kwa kila kitu. Binadamu kwanza
 
Wamasai wameishia hapo Kabla ya hata Tanzania haijazaliwa, nasema waache kuwasumbua na wanyama nao waachwe hawana shida na wamasai, ni ndugu na majirani tuu wote
 
Wamasai wameishia hapo Kabla ya hata Tanzania haijazaliwa, nasema waache kuwasumbua na wanyama nao waachwe hawana shida na wamasai, ni ndugu na majirani tuu wote
Haha umeshamaliza. Nimepita ngorongoro mara nyingi huwezi tofautisha wanyama wa wamasai na wanyama pori
 
Mahakama itasema 🐼
Mahakama itatumia Sheria zilizotungwa na watanzania wenyewe
Hivyo bado Watanzania Wana maamuzi ya kuamua maendeleo yao kipi kibaki mbuga au wamasai wabaki waendelee kuchunga

Kisha tunabadili Sheria mahakama inaisimamia
 
Ni mwendawazimu tu pekee ndiye atakayewaza kuwa wanyama mwitu ni muhimu kuliko binadamu. Wanaya wanaweza kutoweka na dunia ikaendelea? Huko ulaya hawana mapori ya wanyama na ni hao hao mnawategemea kwa kila kitu. Binadamu kwanza
Bila hao watalii kuja kuangalia wanyama hapo Ngorongoro-nakuhakikishia huwezi ishi hata miaka 5 mbele kuanzia umri ulio nao leo
 
Kinachoendelea ni unafki, kama kweli tunajali kuhusu wanyama basi twiga wasingekua wanapandishwa ndege kutwa kucha..!
Jibu hoja mkuu
Tuwaache wamasai waharibu mbuga au tuilinde mbuga ya ngongoro
 
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
Kama suala ni kipato, uzeni hao wanyama mjenge viwanda vya uzalishaji huko ngorongoro. Hata hivyo kuhama huko ngorongoro ni hiari, au mmebalisha?
 
Bila hao watalii kuja kuangalia wanyama hapo Ngorongoro-nakuhakikishia huwezi ishi hata miaka 5 mbele kuanzia umri ulio nao leo
Wakiacha tutaishi kwa namna nyingine. Binadamu hajaumbwa kutegemea njia moja ya kuishi
 
Wamasai wameishia hapo Kabla ya hata Tanzania haijazaliwa, nasema waache kuwasumbua na wanyama nao waachwe hawana shida na wamasai, ni ndugu na majirani tuu wote
Wamasai waliwafuata wanyama,na mbaya zaidi viongozi na matajiri wengi wanatumia mwanya huo kulisha mifugo yao mule ndani.
 
Wamasai waliwafuata wanyama,na mbaya zaidi viongozi na matajiri wengi wanatumia mwanya huo kulisha mifugo yao mule ndani.
Hao matajiri wenye mifugo ngorongoro hamjawahi onyesha au kutaja hata mmoja. Acheni kubwabwaja
 
Emu niambie hiyo namna ni ipi kwa nchi kama Tanzania ambayo hatuna maarifa hata ya kutengeneza toothpick?
Wewe unayedhani bila watalii huwezi ishi ndio unataka kutushawishi kuwa kutengeneza toothpick haiwezekani. Mkikaa maofisini kila kitu mnataka wazungu wawaletee badala ya kufanya wenyewe
 
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
Sipo kihisia wala kimihemko...

Sipo kisiasa wala kimakundi...

Siko kitanganyika wala kikabila...

NGORORONGO NI TURATHI YA DUNIA .

Si mara ya kwanza kwa wafugaji kuhamishwa....

Mwaka 1951 wafugaji wa kabila la kimaasai walihamishwa kutoka SERENGETI ili tuwe na Serengeti national Park.....

Selous

Wananchi wa kabila la Kindengereki na kimatumbi walihamishwa hapo Selous kupisha "GOVERNMENT NOTICE" ya kuwa HIFADHI YA WANYAMAPORI.....

Tukiweka hisia pembeni tutauona UHALISIA wa wema wa serikali yetu adhimu juu ya UHIFADHI wa haya maeneo nyeti kwa kulinda mazingira ya dunia na pia kuongeza mapato kupitia SEKTA ya UTALII...

#Tanzania ni moja[emoji7]

#Umilele wa JMT [emoji7]
#Nchi Kwanza [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni mwendawazimu tu pekee ndiye atakayewaza kuwa wanyama mwitu ni muhimu kuliko binadamu. Wanaya wanaweza kutoweka na dunia ikaendelea? Huko ulaya hawana mapori ya wanyama na ni hao hao mnawategemea kwa kila kitu. Binadamu kwanza
Ni zaidi ya uwendawazimu na kukosa akili kuharibu rasilimali zenye maslahi mapana ya Taifa Zima na kuruhusu kakikundi Cha watu kifugie Ng'ombe ambao hawawezi kuchangia hata Asilimia 0.01 ya pato la taifa
 
Aha
Sipo kihisia wala kimihemko...

Sipo kisiasa wala kimakundi...

Siko kitanganyika wala kikabila...

NGORORONGO NI TURATHI YA DUNIA .

Si mara ya kwanza kwa wafugaji kuhamishwa....

Mwaka 1951 wafugaji wa kabila la kimaasai walihamishwa kutoka SERENGETI ili tuwe na Serengeti national Park.....

Selous

Wananchi wa kabila la Kindengereki na kimatumbi walihamishwa hapo Selous kupisha "GOVERNMENT NOTICE" ya kuwa HIFADHI YA WANYAMAPORI.....

Tukiweka hisia pembeni tutauona UHALISIA wa wema wa serikali yetu adhimu juu ya UHIFADHI wa haya maeneo nyeti kwa kulinda mazingira ya dunia na pia kuongeza mapato kupitia SEKTA ya UTALII...

#Tanzania ni moja[emoji7]

#Umilele wa JMT [emoji7]
#Nchi Kwanza [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ahsante mkuu kwa kuwa na akili Pevu na ya kuona mbali
 
Back
Top Bottom