Naomba kujua mgogoro wa Ngorongoro maana mbuga ni muhimu haiwezi kuhamishwa Ila ndugu zetu nao muhimu pia

Naomba kujua mgogoro wa Ngorongoro maana mbuga ni muhimu haiwezi kuhamishwa Ila ndugu zetu nao muhimu pia

Ni zaidi ya uwendawazimu na kukosa akili kuharibu rasilimali zenye maslahi mapana ya Taifa Zima na kuruhusu kakikundi Cha watu kifugie Ng'ombe ambao hawawezi kuchangia hata Asilimia 0.01
Wamasai wa Ngorongoro sio kikundi cha watu. Ni jamii inayoishi hapo. Kama kweli watu hawatakiwi kule kusingejengwa majengo ya hoteli nyota tano na wengine kupewa vitalu vya kuwinda. Chagueni kuwaheshimu watu wenu au wageni. Kuhusu kuchangia uchumi huwezi kujilinganisha wewe mwenye ajira ya laki 7 hapo mjini na mmasai mwenye ngongmbe 500.
 
Kama suala ni kipato, uzeni hao wanyama mjenge viwanda vya uzalishaji huko ngorongoro. Hata hivyo kuhama huko ngorongoro ni hiari, au mmebalisha?
Nisaidie kujua kwanza elimu yako mkuu
Nisije nikakuuliza maswali yaliyokuzidi uwezo
Maana kwa hili jibu limeshanipa mashaka juu ya uwezo wako wa kudifikiri
 
Nisaidie kujua kwanza elimu yako mkuu
Nisije nikakuuliza maswali yaliyokuzidi uwezo
Maana kwa hili jibu limeshanipa mashaka juu ya uwezo wako wa kudifikiri
La saba mkuu wangu, ila ninajua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha.
 
Wamasai wa Ngorongoro sio kikundi cha watu. Ni jamii inayoishi hapo. Kama kweli watu hawatakiwi kule kusingejengwa majengo ya hoteli nyota tano na wengine kupewa vitalu vya kuwinda. Chagueni kuwaheshimu watu wenu au wageni. Kuhusu kuchangia uchumi huwezi kujilinganisha wewe mwenye ajira ya laki 7 hapo mjini na mmasai mwenye ngongmbe 500.
Jamii ya wamasai ni kubwa Sana kuanzia Kenya na maeneo mengine ya nchi yetu na wanaishi vizuri bila bughudha

So ni sahihi kusema ni kakikundi Cha watu wachache Sana ukilingilinganisha na jamii nzima ya wamasai
Pia ukilinganisha na maslahi mapana ya watanzania million sitini

Kusema Ng'ombe wa masai ni Bora kuliko Mbuga za wanyama
Ni kuweka akili pembeni na kutumia hisia na mihemko
 
Sipo kihisia wala kimihemko...

Sipo kisiasa wala kimakundi...

Siko kitanganyika wala kikabila...

NGORORONGO NI TURATHI YA DUNIA .

Si mara ya kwanza kwa wafugaji kuhamishwa....

Mwaka 1951 wafugaji wa kabila la kimaasai walihamishwa kutoka SERENGETI ili tuwe na Serengeti national Park.....

Selous

Wananchi wa kabila la Kindengereki na kimatumbi walihamishwa hapo Selous kupisha "GOVERNMENT NOTICE" ya kuwa HIFADHI YA WANYAMAPORI.....

Tukiweka hisia pembeni tutauona UHALISIA wa wema wa serikali yetu adhimu juu ya UHIFADHI wa haya maeneo nyeti kwa kulinda mazingira ya dunia na pia kuongeza mapato kupitia SEKTA ya UTALII...

#Tanzania ni moja[emoji7]

#Umilele wa JMT [emoji7]
#Nchi Kwanza [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inawezekana miaka 100 ijayo Tukawa na GOVERNMENT NOTICE ya kuwahamisha WAZANZIBAR wote kwenda mkoani shinyanga ili kuvinusuru visiwa vya Unguja na Pemba kwa sababu idadi yao inaongezeka sana kutoka watu 300, 000 mwaka 1964 mpaka watu 1,800,000 mwaka 2024.

Baada ya wanzanzibar wote kuhamishwa Kwenda mkoani Shinyanga, serkali itakodisha visiwa vyote vya unguja na pemba kwa mataji wa Kichina ili kuimarisha sekta ya utalii visiwani humo. Asanteni kwa kunisikiliza!
 
Jamii ya wamasai ni kubwa Sana kuanzia Kenya na maeneo mengine ya nchi yetu na wanaishi vizuri bila bughudha

So ni sahihi kusema ni kakikundi Cha watu wachache Sana ukilingilinganisha na jamii nzima ya wamasai
Pia ukilinganisha na maslahi mapana ya watanzania million sitini

Kusema Ng'ombe wa masai ni Bora kuliko Mbuga za wanyama
Ni kuweka akili pembeni na kutumia hisia na mihemko
Wamasai waachwe waishi kwenye ardhi yao kama jamii nyingine wanavyoishi kwenye ardhi zao. Tukiendelea kukubali huu mfumo wa kuhamisha watu kuna siku watakuja wakoloni watupeleke antactica kwa kudai eti ardhi ni urithi wa dunia. Kwanza hiyo dunia ni akina nani?
 
La saba mkuu wangu, ila ninajua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha.
Hata la Saba bado mkuu labda Kama hukujituma vizuri kujipa maarifa ya elimu yetu Bora kabisa ya shule ya msingi
Nikushauri tu sio lazima uchangie Kila mada
 
La saba mkuu wangu, ila ninajua kusoma na kuandika kiswahili kwa ufasaha.
Hata la Saba bado mkuu labda Kama hukujituma vizuri kujipa maarifa ya elimu yetu Bora kabisa ya shule ya msingi
Nikushauri tu sio lazima uchangie Kila mada
 
Wamasai waachwe waishi kwenye ardhi yao kama jamii nyingine wanavyoishi kwenye ardhi zao. Tukiendelea kukubali huu mfumo wa kuhamisha watu kuna siku watakuja wakoloni watupeleke antactica kwa kudai eti ardhi ni urithi wa dunia. Kwanza hiyo dunia ni akina n
Tuache unafiki mkuu

Kwa hiyo unashauri tufute mbuga ya Ngongoro tuache wamasai waendelee kuchunga kwenye ile mbuga sio ???
 
Inawezekana miaka 100 ijayo Tukawa na GOVERNMENT NOTICE ya kuwahamisha WAZANZIBAR wote kwenda mkoani shinyanga ili kuvinusuru visiwa vya Unguja na Pemba kwa sababu idadi yao inaongezeka sana kutoka watu 300, 000 mwaka 1964 mpaka watu 1,800,000 mwaka 2024.

Baada ya wanzanzibar wote kuhamishwa Kwenda mkoani Shinyanga, serkali itakodisha visiwa vyote vya unguja na pemba kwa mataji wa Kichina ili kuimarisha sekta ya utalii visiwani humo. Asanteni kwa kunisikiliza!
Kwa hiyo unashauri mbuga ya Ngongoro ifutwe ibaki kuwa Eneo la masai kuchungia sio ???
 
Hata la Saba bado mkuu labda Kama hukujituma vizuri kujipa maarifa ya elimu yetu Bora kabisa ya shule ya msingi
Nikushauri tu sio lazima uchangie Kila mada
Nakushauri, sio kila wazo lako lazima ulilete humu, hata kama una elimu ya kukariri. Pia jitahidi kwenye matumizi, ya herufi kubwa na ndogo, koma na nukta. Hapo hiyo elimu yako ya mchongo inayokupa kiburi itakuwa na maana. Kinyume na hapo nyie ndio mtakuwa mlienda shule kujaza vyoo.
 
Mpaka Sasa naona wengi wengi wanachangia kimehemko kihisia na kisiasa zaidi

Ngorongoro ni moja ya hifadhi muhimu kwa nchi yetu na mchango wake ni faida ya Taifa Zima . Mapato yanayotoka ngorongoro na Kodi zake yanaenda kulipa mishahara ya mwalimu Dr anayefanya kazi Arusha mjini Dodoma Mtwara Nk
Pia inaweza kujenga Barabara SINGIDA Katavi Mwanza nk

Lakini utalii ni moja ya sekta muhimu inayochangia pato la taifa ikiwemo ngorongoro conservation

Swali nalo jiuliza Kama tukiruhusu hifadhi zetu zivamie na watu nini matokeo yake

Pili ni kawaida kwa serikali yoyote Kusimamia na kulinda Rasilimali za nchi yake je tuachilie Kila MTU au kilindi kivamie tu hifadhi kwa maslahi yake binafsi

Tanzania ni kubwa na Eneo la kuishi kwa raia wake ni kubwa

lakini wanyama wa Ngorongoro hawawezi kuishi Kila mahali

na tukiamua hivyo haitakuwa mbuga Ila Zoo ya wanyama na watalii wengi wanapenda mbuga za asili sio zoo hata kwao zipo

Tuache mihemko na siasa kwenye hili tuangalie maslahi mapana ya Sasa na baadae ya nchi yetu

Na Kama ndivyo Basi tuache kila jamii iliyokaribu na mbuga wavamie Kila ajikatie kipande chake
Wachaga wavamie misitu ya mount Kilimanjaro, wamasai wa Amie manyama, wasukuma wafukuzwe wawekezaji wa madini waxhimbe wenyewe,

Tujue hutana mbuga za wanyama tuchunge huko Ng'ombe na mbuzi
Ziwe Ranchi kubwa

Ni mawazo yangu tu
Karibuni Great Thinker
Wale kiasil n ardh yao maana walikuwa hapo toka enz ya mjeruman aka mwingereza akamwacha akaja Tanganyika akamwacha sasa Tanzania hapo serkali iangalie namna bora ya kuwaamisha iv lakn serkali ilikuwa wapi mda wote mpaka watu wakawa wng kias kle ila serkali za kiafrka aina vision ya baadae cheki sasa
 
Alafu Kuna baadhi ya wanasiasa wa upinzani wameamua kuongozwa na hisia na mihemko ya kisiasa kwenye hili

Maanake wakipewa nchi wataruhusu vikundi vya watu waharibu rasilimali zetu ili kupata sifa za kisiasa
 
Nakushauri, sio kila wazo lako lazima ulilete humu, hata kama una elimu ya kukariri. Pia jitahidi kwenye matumizi, ya herufi kubwa na ndogo, koma na nukta. Hapo hiyo elimu yako ya mchongo inayokupa kiburi itakuwa na maana. Kinyume na hapo nyie ndio mtakuwa mlienda shule kujaza vyoo.
Nimeita Gt sio Kila MTU mkuu
So Kama huna hoja
Soma za wengine kimya kimya
Usijidhalilishe
 
Hapo tuchague moja kati ya haya.

1. Hifadhi hiyo iwe pori la kufugia mifugo na watu wengine pia waruhusiwe kuingiza mifugo. Nasema hivi kwasababu watu wanaongezeka na idadi ya mifugo inaongezeka kiasi cha kuhitaji eneo kubwa la makazi na kuchungia mifugo yao.

Je itakuwa busara kuacha mifugo, wanyamapori na wanadamu kuishi pamoja endapo idadi ya mifugo itakuwa kubwa zaidi ya sasa? Ni bora pawe pori la ufugaji.

2. Hifadhi ilindwe kwa kuwaondoa wote wanaoishi humo. Hii itasaidia wanyamapori kufurahia maisha mwitu yenye asili yao kuliko kulazimisha kuwachanganya na mifugo pamoja na wanadamu.

Wapo wanaosema wameishi pamoja miaka mingi, sijui kama wanajiuliza kuhusu ongezeko la watu na mifugo na athari zake.

Idadi ya mifugo na watu inaongezeka kwa speed kubwa kwasababu wenzetu wale hawana elimu ya uzazi wa mpango, kumkuta kijana wa miaka 25 anawatoto wa5 ni kawaida. Kwa mwenendo huo sehemu hiyo itatawaliwa na shughuli za kibinadamu.
 
Wale kiasil n ardh yao maana walikuwa hapo toka enz ya mjeruman aka mwingereza akamwacha akaja Tanganyika akamwacha sasa Tanzania hapo serkali iangalie namna bora ya kuwaamisha iv lakn serkali ilikuwa wapi mda wote mpaka watu wakawa wng kias kle ila serkali za kiafrka aina vision ya baadae cheki sasa
Ahsante mkuu umemchangia kwa hekima na kwa busara

Pamoja na hayo mkuu na kitu kinaitwa mabadiliko ya nchi tangu enzi za mjerumani , waingereza na hatimaye awamu ya kwanza
Kuna mabadiliko mengi yametokea yaliyoathiri hiyo mbuga

Pili Kuna Kuongezeka idadi ya watu na mifugo na Mali zingine za wakazi

Na kwa kawaida binadamu ni muharibifu wa mazingira so MWISHO wa siku ni hiyo mbuga kufutika kabisa
 
Hapo tuchague moja kati ya haya.

1. Hifadhi hiyo iwe pori la kufugia mifugo na watu wengine pia waruhusiwe kuingiza mifugo. Nasema hivi kwasababu watu wanaongezeka na idadi ya mifugo inaongezeka kiasi cha kuhitaji eneo kubwa la makazi na kuchungia mifugo yao.

Je itakuwa busara kuacha mifugo, wanyamapori na wanadamu kuishi pamoja endapo idadi ya mifugo itakuwa kubwa zaidi ya sasa? Ni bora pawe pori la ufugaji.

2. Hifadhi ilindwe kwa kuwaondoa wote wanaoishi humo. Hii itasaidia wanyamapori kufurahia maisha mwitu yenye asili yao kuliko kulazimisha kuwachanganya na mifugo pamoja na wanadamu.

Wapo wanaosema wameishi pamoja miaka mingi, sijui kama wanajiuliza kuhusu ongezeko la watu na mifugo na athari zake.

Idadi ya mifugo na watu inaongezeka kwa speed kubwa kwasababu wenzetu wale hawana elimu ya uzazi wa mpango, kumkuta kijana wa miaka 25 anawatoto wa5 ni kawaida. Kwa mwenendo huo sehemu hiyo itatawaliwa na shughuli za kibinadamu.
Ahsante mkuu
Watu ni wanafiki Sana wanajidai wanajali utu kwa kuruhusu binadamu wenzeo waishi na wanyama na kuwa kivutio Cha utalii

Pili wanataka mapato ya utalii yao gezeke huku mbuga ikiharibiwa kila siku
 
Safi sana mleta mada,mimi nafikiri hili zoezi zima lifanywe kwa kuzingatia UTU, Watu walipwe fidia ya kutosha halafu wasipelekwe mbali sana na maeneo yao ya asili.
 
Back
Top Bottom