Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Hakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Hakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
Ukifilisika kabla ya muda wa mkataba kuisha inakuwaje?
 
Hakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
Nitakuja kwako uniajiri mkinga πŸ˜„ kula na kulala kwako sihitaji hata mshahara mimi πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…