raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Nimeamini 😄😂😂😂😂 kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini 😄😂😂😂😂 kweli
Haya binti wa mahenge 🤣🤣🤣ila mbona Sisi Vijana wake tunakimbiza guta mwaka wa 13 lkn hamna dalili ya kupewa hata cartoon mojaHakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Dont get it twistedSio kuona tu na nahisi pia...!
Dont get it twisted
Umeamini nini 😂😂😂Nimeamini 😄
😂😂😂😂 NtakuchapaHaya binti wa mahenge 🤣🤣🤣ila mbona Sisi Vijana wake tunakimbiza guta mwaka wa 13 lkn hamna dalili ya kupewa hata cartoon moja
Tulia basi usiwasanue😁😁mtu analipwa 200k lkn utakuta anacheza mchezo wa 20k per dayKariakoo ni soko kubwa kama umepata mdhamini wa kukuingiza hapa mshahara usiuzingatie sana sogea kwanza eneo la tukio uchanganyike na watu upate connection.
Kariakoo walioajiriwa wengi wanaishi nje ya mshahara wao,wanaishi kwa kupiga winga
🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂 Ntakuchapa
Unafanyaje kuipata hio kaz boss na kuna mtu anahitaj mtu wa kumuuzia,?Hii inategemea lkn Kwa uzoefu wangu;
Kwa wachina
Kama utakua dukani ni laki tatu kwa mwezi, kama utakua store laki tatu na nusu
Kwa wabantu
Wengi ni laki mbili mpaka mbili na nusu
Waarabu/wahindi
Hawa wengi wanauza vitenge, vitambaaa sijui mapazia na vingi venye uhusano wa namna hyo
Mshahara 360k....... priority wanatoa kwa wanaume
Kkoo winga ana maisha mazuri sana, kuna wale wanaotumia mizigo wafanyabiashara wa mikoani wenyewe wanachukua kwa wachina.Tulia basi usiwasanue😁😁mtu analipwa 200k lkn utakuta anacheza mchezo wa 20k per day
Hapa stori tu kula kwenu 😆Umeamini nini 😂😂😂
Wanalipwa posho tu 7000 ila wananunuliwa chai na msosi mchanaHabari wana Jamiiforums?
Naomba kujuzwa range ya mshahara wanaolipwa vijana wanaouza kwenye maduka ya nguo kariakoo. Na baadhi ya Vipengele muhitimu kwenye makubaliano baina ya boss na mfanyakazi.
Eeee sasa hyo mfano kama unachukua sana katoni Kwa mchina, unakubaliana nae tu kwamba mi ntakua nachukua mzigo kwako na Kwa kila katoni Moja anakupa offer ya pisi Moja ambayo wanaipa thamani ya 5000, ko ukichukua katoni 10 tayar una 50k ubavuni plus na Hela utakayopewa na mtu unaemtumia mzigo unakua na uhakika wa kulaKkoo winga ana maisha mazuri sana, kuna wale wanaotumia mizigo wafanyabiashara wa mikoani wenyewe wanachukua kwa wachina.
Ukitulia kkoo unapata pesa ya kuvimbia mtaani.
Joto kali mzee, sijakuelewa vzrUnafanyaje kuipata hio kaz boss na kuna mtu anahitaj mtu wa kumuuzia,?
Hizo chance za kuwafanyia kaz au kuwa winger wao tunazipatajeJoto kali mzee, sijakuelewa vzr
Aisee kimtindo ni ngumu sana ila kama una dhamira hakishindikani jambo, kikubwa pata entry point ya kuingia kariakoo mengn utajipata mbele ya safariHizo chance za kuwafanyia kaz au kuwa winger wao tunazipataje
Kuajiriwa dukani tu ni fursa tosha, sehemu yenye mzunguko wa biashara kama Kariakoo ukiwa na boss hakubanii ni mchongo yani.Tulia basi usiwasanue😁😁mtu analipwa 200k lkn utakuta anacheza mchezo wa 20k per day
Kumbe we ni mpogoro na husemiHakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo 🤸♀️🤸♀️🤸♀️