Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ Kantri NtakuchapaMaster kabisa[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Kantri NtakuchapaMaster kabisa[emoji23][emoji23]
πππ tunaharibu uzi acha ujingaHii nimecheka
Mbavooo zangooo mimiiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matajiri wa kibongo bongo hamna anaeagiza mzigo wa 50M kwa kuweka order na kulipia bila yy kujaπmtu anatoka mwanza hadi dar anafata katoni tatu ambayo pisi Moja ni 2900 soli nyembambaHahahah unaokota hela ya kununulia Crown ghafla lazma upagawe π€£ sema angekuwa boss mbongo hio hela iliozidi asingekupa. Au angekuwa mhindi asingetoa ila wachina wamenyooka.
Pesa kkoo ipo, na wachina ni wajinga hawapendi kujichosha duka anamkabidhi mswahili yeye ndio apange bei na wateja.Eeee sasa hyo mfano kama unachukua sana katoni Kwa mchina, unakubaliana nae tu kwamba mi ntakua nachukua mzigo kwako na Kwa kila katoni Moja anakupa offer ya pisi Moja ambayo wanaipa thamani ya 5000, ko ukichukua katoni 10 tayar una 50k ubavuni plus na Hela utakayopewa na mtu unaemtumia mzigo unakua na uhakika wa kula
Wewe utakuwa S π€£π€£π€£Matajiri wa kibongo bongo hamna anaeagiza mzigo wa 50M kwa kuweka order na kulipia bila yy kujaπmtu anatoka mwanza hadi dar anafata katoni tatu ambayo pisi Moja ni 2900 soli nyembamba
Na mm ntafutie basi fremu hapo sitaki za ndani, iwe kama hizo zako inatizama barabara[emoji23]We kuna kitu unanitafuta nishaona [emoji23][emoji23][emoji23]
Me jobless nafatilia comment za maboss nipate kibarua πππNa mm ntafutie basi fremu hapo sitaki za ndani, iwe kama hizo zako inatizama barabara[emoji23]
Pamoja na kufanya hivyo hawaibiwi? So waswahili ni waaminifu au kuna namna huwabana?Pesa kkoo ipo, na wachina ni wajinga hawapendi kujichosha duka anamkabidhi mswahili yeye ndio apange bei na wateja.
Km wachina wa viatu wakikuamini wewe unateleza.
Serious, hivi fremu kwa sasa kwa mwezi sh ngapi? Inayotizama barabaraMe jobless nafatilia comment za maboss nipate kibarua [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.Wewe utakuwa S π€£π€£π€£
Nitakwambia chemba πππPamoja na kufanya hivyo hawaibiwi? So waswahili ni waaminifu au kuna namna huwabana?
Si uende kkoo me niko kibiti πππSerious, hivi fremu kwa sasa kwa mwezi sh ngapi? Inayotizama barabara
Na za ndani sh ngapi?
πππ umehamia kutengo gani boss na me uniwekeOva mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.
Nlishabadilisha kitengo kitambo, siku hz uwinga hauna mchongo tena zle mambo za kudanganya Bei hamna maana watu wana full access ya maduka na wanapata update zote muhimu, watu hawatumi Hela kwako wanatuma dukani, nkaona ya nn mie kuondoka na 15k wakat nlishaonja average 120k per day?
Endelea kunivuta π€£π€£ukadhani taingia mkenge unijue...Pesa kkoo ipo, na wachina ni wajinga hawapendi kujichosha duka anamkabidhi mswahili yeye ndio apange bei na wateja.
Km wachina wa viatu wakikuamini wewe unateleza.
Acha tu ni disaster kwa kwel, nimekua manamba sehemu flan yaan tar 19 nshaishiwa ko ikifika saa tisa nazama kariakoo hata nipate kidogo salary ikisoma siendi tena ikiisha narudi kkooπππ umehamia kutengo gani boss na me uniweke
πππ hamna bana sikuvutiEndelea kunivuta π€£π€£ukadhani taingia mkenge unijue...
Anyway wachina wa viatu hawakabidhi duka ila wanafanya kitu kimoja kama ww una wateja wengi wa mikoani na nje ya nchi wanakupa offer either discount au kiasi flan kila unapochukua katoni na Kwa wale ambao tena wana mitaji kiasi flan bas mnakubaliana na mchina anakua anazalisha kiatu utakachohitaji na kinapigwa chapa yako mfano Lamomy then unaletewa hadi store yako unauza na unaupeleka hela mdogo mdogo pia kwa wachina wengine wanakupa sample unaweka dukani kwako mtu akinunua unampa order anaenda kuchukua store Kwa mchina then we unapata gawio kikubwa uwe na frame tu
πππ umenichekesha eti, βSalary likisoma siendi tenaβAcha tu ni disaster kwa kwel, nimekua manamba sehemu flan yaan tar 19 nshaishiwa ko ikifika saa tisa nazama kariakoo hata nipate kidogo salary ikisoma siendi tena ikiisha narudi kkoo
Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana ππelewa neno kusafiriπππ hamna bana sikuvuti
Kuna Mangi mmoja yupo kwa Luna anaitwa D anaupiga mwingi. Yule mchina kamuamini sana na yule wa Kwa excellent.
Sema me hata siwajui nawasikiaga tu!!
πππ hamna bhana hayo maneno tuKuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana ππelewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu