Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Hahahah unaokota hela ya kununulia Crown ghafla lazma upagawe 🀣 sema angekuwa boss mbongo hio hela iliozidi asingekupa. Au angekuwa mhindi asingetoa ila wachina wamenyooka.
Matajiri wa kibongo bongo hamna anaeagiza mzigo wa 50M kwa kuweka order na kulipia bila yy kuja😁mtu anatoka mwanza hadi dar anafata katoni tatu ambayo pisi Moja ni 2900 soli nyembamba
 
Eeee sasa hyo mfano kama unachukua sana katoni Kwa mchina, unakubaliana nae tu kwamba mi ntakua nachukua mzigo kwako na Kwa kila katoni Moja anakupa offer ya pisi Moja ambayo wanaipa thamani ya 5000, ko ukichukua katoni 10 tayar una 50k ubavuni plus na Hela utakayopewa na mtu unaemtumia mzigo unakua na uhakika wa kula
Pesa kkoo ipo, na wachina ni wajinga hawapendi kujichosha duka anamkabidhi mswahili yeye ndio apange bei na wateja.
Km wachina wa viatu wakikuamini wewe unateleza.
 
Wewe utakuwa S 🀣🀣🀣
Ova mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.

Nlishabadilisha kitengo kitambo, siku hz uwinga hauna mchongo tena zle mambo za kudanganya Bei hamna maana watu wana full access ya maduka na wanapata update zote muhimu, watu hawatumi Hela kwako wanatuma dukani, nkaona ya nn mie kuondoka na 15k wakat nlishaonja average 120k per day?
 
Ova mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.

Nlishabadilisha kitengo kitambo, siku hz uwinga hauna mchongo tena zle mambo za kudanganya Bei hamna maana watu wana full access ya maduka na wanapata update zote muhimu, watu hawatumi Hela kwako wanatuma dukani, nkaona ya nn mie kuondoka na 15k wakat nlishaonja average 120k per day?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umehamia kutengo gani boss na me uniweke
 
Pesa kkoo ipo, na wachina ni wajinga hawapendi kujichosha duka anamkabidhi mswahili yeye ndio apange bei na wateja.
Km wachina wa viatu wakikuamini wewe unateleza.
Endelea kunivuta 🀣🀣ukadhani taingia mkenge unijue...

Anyway wachina wa viatu hawakabidhi duka ila wanafanya kitu kimoja kama ww una wateja wengi wa mikoani na nje ya nchi wanakupa offer either discount au kiasi flan kila unapochukua katoni na Kwa wale ambao tena wana mitaji kiasi flan bas mnakubaliana na mchina anakua anazalisha kiatu utakachohitaji na kinapigwa chapa yako mfano Lamomy then unaletewa hadi store yako unauza na unaupeleka hela mdogo mdogo pia kwa wachina wengine wanakupa sample unaweka dukani kwako mtu akinunua unampa order anaenda kuchukua store Kwa mchina then we unapata gawio kikubwa uwe na frame tu
 
Kariakoo nenda tu na akili zako hela utazikuta. Mwaka 2013 na 2014 nilikuwa sina ajira wala biashara nikaamua nipange chumba maeneo ya jirani na Kkoo. Kila siku asbh nilikuwa naamka naenda Kkoo kama vile naenda ofisini. Watu wa mkoani kwangu walikuwa wananiagizia vitu vingi sana. Mungu awabariki Nabaki Afrika kwa lile punguzo walilokuwa wananipa kwenye vifaa vya ujenzi. Hadi kufika 2015 nilipata pesa ya kutosha na kuaga Kkoo.
 
Endelea kunivuta 🀣🀣ukadhani taingia mkenge unijue...

Anyway wachina wa viatu hawakabidhi duka ila wanafanya kitu kimoja kama ww una wateja wengi wa mikoani na nje ya nchi wanakupa offer either discount au kiasi flan kila unapochukua katoni na Kwa wale ambao tena wana mitaji kiasi flan bas mnakubaliana na mchina anakua anazalisha kiatu utakachohitaji na kinapigwa chapa yako mfano Lamomy then unaletewa hadi store yako unauza na unaupeleka hela mdogo mdogo pia kwa wachina wengine wanakupa sample unaweka dukani kwako mtu akinunua unampa order anaenda kuchukua store Kwa mchina then we unapata gawio kikubwa uwe na frame tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamna bana sikuvuti
Kuna Mangi mmoja yupo kwa Luna anaitwa D anaupiga mwingi. Yule mchina kamuamini sana na yule wa Kwa excellent.
Sema me hata siwajui nawasikiaga tu!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamna bana sikuvuti
Kuna Mangi mmoja yupo kwa Luna anaitwa D anaupiga mwingi. Yule mchina kamuamini sana na yule wa Kwa excellent.
Sema me hata siwajui nawasikiaga tu!!
Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana 😁😁elewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu
 
Back
Top Bottom