Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Kuajiriwa dukani tu ni fursa tosha, sehemu yenye mzunguko wa biashara kama Kariakoo ukiwa na boss hakubanii ni mchongo yani.
Wabantu wanabana kinoma ila wachina hawana noma kwanza wanakutegemea kwenye kuongea na wateja, kipindi Cha task force changamoto yeyote ya risiti lazima ww uhusike mchina anakua anaangalia tu (kama huna risiti ukiambiwa fine laki Moja we unasema laki tatu🤣 mbili yako)

Pia wale wateja wanaokuja dukani ww ndo unachukua mawasiliano yao na watsup group unali-manage ww...usipofanya jambo jipige kifua mara tatu sema Mimi ni zwazwa
 
Wabantu wanabana kinoma ila wachina hawana noma kwanza wanakutegemea kwenye kuongea na wateja, kipindi Cha task force changamoto yeyote ya risiti lazima ww uhusike mchina anakua anaangalia tu (kama huna risiti ukiambiwa fine laki Moja we unasema laki tatu🤣 mbili yako)

Pia wale wateja wanaokuja dukani ww ndo unachukua mawasiliano yao na watsup group unali-manage ww...usipofanya jambo jipige kifua mara tatu sema Mimi ni zwazwa
Wachina hawana noma japo wengine ni miyeyusho ila nachopenda mchina anakupa chance ya kukua na biashara. Sio kama muhindi ambaye anakubana uchakae hadi ufe maskini na tabia hii wanayo wabongo wenzetu.
 
Wabantu wanabana kinoma ila wachina hawana noma kwanza wanakutegemea kwenye kuongea na wateja, kipindi Cha task force changamoto yeyote ya risiti lazima ww uhusike mchina anakua anaangalia tu (kama huna risiti ukiambiwa fine laki Moja we unasema laki tatu[emoji1787] mbili yako)

Pia wale wateja wanaokuja dukani ww ndo unachukua mawasiliano yao na watsup group unali-manage ww...usipofanya jambo jipige kifua mara tatu sema Mimi ni zwazwa
Napitia convo zako una nondo za kutosha [emoji3][emoji119]

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Wachina hawana noma japo wengine ni miyeyusho ila nachopenda mchina anakupa chance ya kukua na biashara. Sio kama muhindi ambaye anakubana uchakae hadi ufe maskini na tabia hii wanayo wabongo wenzetu.
Sijafanya Kazi na watu wa jamii tofauti tofauti kiasi hicho ila mpaka sasa wachina naona ndo de best Aisee.

Kuna siku boss Moja wa Lusaka alilipia mzigo 45M+ alilipia Moja Kwa moja kwenye account ya kampuni, then akanipa maelekezo kufika kwa mchina bei imepungua eq kama pisi Moja 13500 bas imeshuka mpaka 12400 afu kwa sababu mzigo ni mkubwa nikapata discount kidogo kwa kila pisi Aisee plus Hela ya Kazi, to be honest nlishika hela ambayo sijawahi shika kwa wakati Moja 😁ilibaki kidogo nianze kuwaa motiveshno spika
 
Sijafanya Kazi na watu wa jamii tofauti tofauti kiasi hicho ila mpaka sasa wachina naona ndo de best Aisee.

Kuna siku boss Moja wa Lusaka alilipia mzigo 45M+ alilipia Moja Kwa moja kwenye account ya kampuni, then akanipa maelekezo kufika kwa mchina bei imepungua eq kama pisi Moja 13500 bas imeshuka mpaka 12400 afu kwa sababu mzigo ni mkubwa nikapata discount kidogo kwa kila pisi Aisee plus Hela ya Kazi, to be honest nlishika hela ambayo sijawahi shika kwa wakati Moja 😁ilibaki kidogo nianze kuwaa motiveshno spika
😂😂😂😂😂 ilibaki kidogo ugeuke chief godlove
 
😁😁😁Kama hujazoea hela ni changamoto sana
Hahahah unaokota hela ya kununulia Crown ghafla lazma upagawe 🤣 sema angekuwa boss mbongo hio hela iliozidi asingekupa. Au angekuwa mhindi asingetoa ila wachina wamenyooka.
 
Back
Top Bottom