Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Eeh huko ndipo ofisi yangu ilipo ππππππ huo mlango ndio wa ofisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh huko ndipo ofisi yangu ilipo ππππππ huo mlango ndio wa ofisi
Wacha wee!! Me mkinga huniogopi?? πππNjoo ww! Ili usinisumbue na hayo mambo
Haya boss πππEeh huko ndipo ofisi yangu ilipo πππ
πππππNyie hatar nyie sitaki majangaWacha wee!! Me mkinga huniogopi?? πππ
Usiache kufikaHaya boss πππ
Limeisha hiloNitakwambia chemba [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Si uende kkoo me niko kibiti [emoji23][emoji23][emoji23]
πππ maneno ya watu wavivu tu wanatupakazia banaπππππNyie hatar nyie sitaki majanga
Tupeane address ya office ππ
NimeleewaMchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.
Mambo ya ngende[emoji23]Si ndiomana nimemshangaa mpaji Mungu, yeye anahisi uaminifu mpk uende kwa babu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wavivu tu ndio wanahisi wakinga wachawi πππMambo ya ngende[emoji23]
My love and my role model[emoji123][emoji23][emoji23][emoji23] maneno ya watu wavivu tu wanatupakazia bana
So proud of you. Wengi hawajui watu hutumia njia tofauti kupata mafanikio.Wavivu tu ndio wanahisi wakinga wachawi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wasikutishe baby π₯°π₯°π₯°My love and my role model[emoji123]
Tisha kabisa
Hawajui tu tunavyoenyeka kusali na kubana matumizi yasiyo ya lazima hao.So proud of you. Wengi hawajui watu hutumia njia tofauti kupata mafanikio.
Hawajui watu hukesha kuomba Mungu, hufunga novena. Wao wamekariri ushirikina
Ingekua ni hivyo wote watu wasingekua wanafanya kazi wangekua wanakesha huko tuWasikutishe baby [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Washinde kwa waganga waroge halafu walale ndani waone km pesa zitakuja?? πππIngekua ni hivyo wote watu wasingekua wanafanya kazi wangekua wanakesha huko tu
Biashara ni akili. Hata uzunguke kwa waganga wote kama akili haupp hutoboi
Mchina anaangalia kama unanunua mara kwa mara. Kama frequency yako ni nzuri anakuamini.Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana ππelewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu