Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Acha nakoelekea ntakua naenda kupiga makofi naita watu wanunue mitumba😂😂😂 umenichekesha eti, “Salary likisoma siendi tena”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nakoelekea ntakua naenda kupiga makofi naita watu wanunue mitumba😂😂😂 umenichekesha eti, “Salary likisoma siendi tena”
Oyaaa mi mkongwe nayajua mengi🤣🤣Kuna jamaa ashahamishwa kijiwe et tulikua tunapambania ufalme kwa mchina😂😂😂 hamna bhana hayo maneno tu
😂😂😂Acha nakoelekea ntakua naenda kupiga makofi naita watu wanunue mitumba
😂😂😂 kwahiyo ikawaje sasa??Oyaaa mi mkongwe nayajua mengi🤣🤣Kuna jamaa ashahamishwa kijiwe et tulikua tunapambania ufalme kwa mchina
Mchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.Pamoja na kufanya hivyo hawaibiwi? So waswahili ni waaminifu au kuna namna huwabana?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oyaaa mi mkongwe nayajua mengi🤣🤣Kuna jamaa ashahamishwa kijiwe et tulikua tunapambania ufalme kwa mchina
Khoo!Khoo!Juuvee?🤔Hakuna mshahara kuna makubaliano ya mkataba baada ya miaka ya makubaliano, unapewa pesa ya mtaji na chumba.
Hii kwa wakinga wenzangu wote wa kkoo tunafanya hivyo 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana 😁😁elewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu
Mi bn ilibidi nitulie maana kwa ile speed nliona tahamishwa nchi😂😂😂 kwahiyo ikawaje sasa??
Umejibu vzr sana cazeeMchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.
Unaogopa kurogwa? 😂😂😂Mi bn ilibidi nitulie maana kwa ile speed nliona tahamishwa nchi
Mzee ulikuwa unalamba asali kweri kweriOva mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.
Nlishabadilisha kitengo kitambo, siku hz uwinga hauna mchongo tena zle mambo za kudanganya Bei hamna maana watu wana full access ya maduka na wanapata update zote muhimu, watu hawatumi Hela kwako wanatuma dukani, nkaona ya nn mie kuondoka na 15k wakat nlishaonja average 120k per day?
Full package pamoja na mganga. Yeye anahusika na ndugu wa kafara tu.Kwaiyo mganga atatafuta mwenyewe au vipi bhana
Si ndiomana nimemshangaa mpaji Mungu, yeye anahisi uaminifu mpk uende kwa babu 🤣🤣🤣😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
Mi niko kitengo tofauti sana kwa sasa nilishatoka huko 😂 vipi wewe fremu yako iko kwa wapi?Umejibu vzr sana cazee
Haya kkoo unapatikana sehemu gani? 😂😂😂
Me sipo uko ni story tu nasikiaga 😂😂🤣Mi niko kitengo tofauti sana kwa sasa nilishatoka huko 😂 vipi wewe fremu yako iko kwa wapi?
Unaona wale wachina wa viatu wengi wao wanafika kariakoo mi nipo mle na wengi walioaminika walikua mawinga wakubwa mle😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
Nlikula maisha saiv npo npo tu niunganishe kama una duka la simu niweke benchi hapo nianze kuita wapitajiMzee ulikuwa unalamba asali kweri kweri
Kinoma weeee yaan mi hata demu tu nikiona chale sitmbio tena, mtu mwenye hayo mambo mapema sana namkimbiaUnaogopa kurogwa? 😂😂😂
Sio poa yani sema kariakoo imewatoa wengi sana. Mrija ukifunguka unafanya ya maana ndani ya muda mfupi.Unaona wale wachina wa viatu wengi wao wanafika kariakoo mi nipo mle na wengi walioaminika walikua mawinga wakubwa mle