Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Pamoja na kufanya hivyo hawaibiwi? So waswahili ni waaminifu au kuna namna huwabana?
Mchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.
 
Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana 😁😁elewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu
😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
 
Mchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.
Umejibu vzr sana cazee
Haya kkoo unapatikana sehemu gani? 😂😂😂
 
Ova mayi dedi bodi, hutakaa unijue mi hua nachati taarifa ambazo kwa saiv haina maana tena na sipo katika muktadha huo.

Nlishabadilisha kitengo kitambo, siku hz uwinga hauna mchongo tena zle mambo za kudanganya Bei hamna maana watu wana full access ya maduka na wanapata update zote muhimu, watu hawatumi Hela kwako wanatuma dukani, nkaona ya nn mie kuondoka na 15k wakat nlishaonja average 120k per day?
Mzee ulikuwa unalamba asali kweri kweri
 
😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
Si ndiomana nimemshangaa mpaji Mungu, yeye anahisi uaminifu mpk uende kwa babu 🤣🤣🤣
 
😀Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
Unaona wale wachina wa viatu wengi wao wanafika kariakoo mi nipo mle na wengi walioaminika walikua mawinga wakubwa mle
 
Back
Top Bottom