Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Jambo la kushangaza ni kwamba watu wanageuza mada walianza na kuupiga mwingi . Mara mtulivu.

Sasa anapongezwa kwa ukimya . Upi huo maana bila kuvuja mkataba wa bandar haya tungeyajuaje si alikiwa kimya pia.

Lakini tunajua alivyo ng'aka pale ndugai aliposema nchi inauzwa ..mama hana majibu ndiyo maana hadi leo mapendekezo ya viongozi wa dini hajayafanyia kazi
 
Ilianzia kwenye picha ya mama kubandikwa Burj El khalifa
Jengo refu kuliko yote Dubai pale.

kisha vikao vikafuatia huko Dubai na hapahapa Dodoma.
Kisha ndio ikazaliwa hii inaitwa DP-WORLD. (Deep-world).

Sasa mnaposhangaa mama kukaa kimya muelewe hili.
Picha toka Ghetty Images.

Nukuu ya mama kanisani KKKT-Arusha.

"Kwa hilo baba askofu, nimechagua kukaa kimya na nitaendelea kukaa kimya"

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813]
FMy3TTGXoAsF4GW.jpg
WhatsApp%20Image%202023-02-06%20at%202.41.41%20PM.jpg
7%20(1).jpg
WhatsApp%20Image%202023-02-06%20at%202.41.39%20PM.jpg
2%20-%202022-02-26T154251.773.jpg
 
Ukweli ni kwamba something is not right huyu mama kaamua kukaa kimya kwa sababu si yeye anayeiendesha hii nchi, na ni kama ameshaambiwa tulia hivyo hivyo ukileta ujuaji tutakufanya kama tulichomfanya mwendazake, acha watu wajitoe ufahamu na kujifanya wanamlaumu na kumtukana huyu mama wakati the real mastermind wanamjua
 
Ukweli ni kwamba something is not right huyu mama kaamua kukaa kimya kwa sababu si yeye anayeiendesha nchi, na ni kama ameshaambiwa tulia hivyo hivyo ukileta kiherehere tutakufanya kama tulichomfanya mwendazake, acha watu wajifanye wanaendelea kumtukana huyu mama wakati the real mastermind wanamjua
Kwa ujumla nakubaliana na wewe!
Huenda tukawa na kiongozi mateka!
Hili ni genge hatari sana kwa sababu limekusanya wahuni kutoka nyanja zote wakiongozwa na tajiri mwenye tamaa kuliko fisi.
Ni huyu R A wa Igunga.

Lolote linawezekana ila uhalisia unabaki kwamba yeye ndie aliefanya mazungumzo ya awali na kutiliana sahihi.Na hao watawala wa Dubai.
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
Blaza mbona unatutisha kwa maandiko?
Kwa haya yote yanayotokea wewe unadhani ni bora kukaa kimya?
Taifa linaangamia.
Mfumuko wa bei, dola hakuna, mara bandari zinauzwa, huko wamasai wanafurushwa, wanaharakati wanafunguliwa kesi za mchongo e.t.c af we unaona n sawa kukaa kimya?
Kiongozi anasifiwa kwa kukaa kimya?
Wacheni mambo ya kiwaki...
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
Kiongozi makini huwezi kukaa kimya ilhali unashuhudia nchi yako ikiporomoshwa na kugawanyika kwenye jambo ambalo umelianzisha wewe!

Maana ya uongozi ni kuliongoza taifa katika hali zote.
Na nyakati kama hizi ndio haswa unapotakiwa kuonyesha upeo wako.

Ina maana hata tukiingia vitani kwa kuvamiwa kijeshi.
Rais ataendelea kukaa kimya?

Sasa hapo anafanya Busara kwa manufaa ya nani?

Nchi inaelekea kugawanyishwa huku yeye akiendelea kuhudhuria makongamano na warsha kila uchao!

Kwenye hilo nakupinga live...
Uraisi ni taasisi na siyo suala la mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom