Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Mithali 17:28 Kwa hiyo mpumbavu akinyamaza ataficha udhaifu wake na kuonekana mwenye hekima
 
Nyinyi! Hebu mpumzisheni huyu Mama... haya mlale kesho muendelee kupambania mkate ebo!
 
Niliposemaga Tanzania inatakiwa iongozwe na Simba wa yuda mkasema nimekunywa mbege haya sasa tutulie dawa iingie vizuri .
 
20141018_MAP004_0.jpg
 
Machapisho ya watu wa karibu wanasema ajira zitaongezeka yule mbunge mmoja anasema alimuona dada mmoja anabonyeza kitufe makasha yanashuka Kwa kazi sasa hizo ajira zitakuwa upande upi
Mm nasoma tuu kwenye mitandao sina nilijualo Ila nazidi kujifunza tuu kwenye huu mjadala
 
Bi mkubwa kiukweli sio kiongozi.....haiwezekan nyumban kwako kuna taharuki eti wewe unakaa kimya....atakuwa na agenda ambayo sio nzuri....anataka had watu washikane mashati ndio aanze kuweka sawa....nilikua namkubali sana ila kwa hili linaloendelea....hapana kwakweli....
Inshort hawezi kuongea na uku ana chakula mdomoni...ni either akiteme aongee au akimeze aongee.....nadhan had apo ushajua kwann yupo kimya
 
Bi mkubwa kiukweli sio kiongozi.....haiwezekan nyumban kwako kuna taharuki eti wewe unakaa kimya....atakuwa na agenda ambayo sio nzuri....anataka had watu washikane mashati ndio aanze kuweka sawa....nilikua namkubali sana ila kwa hili linaloendelea....hapana kwakweli....
Inshort hawezi kuongea na uku ana chakula mdomoni...ni either akiteme aongee au akimeze aongee.....nadhan had apo ushajua kwann yupo kimya
Halafu eti wapumbavu wanamsifia kwa ukimya.

Nyumba inaungua moto halafu unamsifia mwenye nyumba kwa ukinya?
 
Back
Top Bottom