Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tukome kuweka makopo madarakani
Odds 100, ukiweka 10k unaondoka na 1m yako kwa utulivu kabisa.Aliyechomesha ishu ya Bandari apewe Odd ngapi🤣🤣🤣🤣
Wajinga ni kuwakalia kimya tu
Dp world karibuni Tanzania
Hilo ni katiba ndo imeliweka
Aliyechomesha ishu ya Bandari apewe Odd ngapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
False dichotomy.Wale waliomtukana Ndugai wakamuombe msamaha
Halafu eti wapumbavu wanamsifia kwa ukimya.Bi mkubwa kiukweli sio kiongozi.....haiwezekan nyumban kwako kuna taharuki eti wewe unakaa kimya....atakuwa na agenda ambayo sio nzuri....anataka had watu washikane mashati ndio aanze kuweka sawa....nilikua namkubali sana ila kwa hili linaloendelea....hapana kwakweli....
Inshort hawezi kuongea na uku ana chakula mdomoni...ni either akiteme aongee au akimeze aongee.....nadhan had apo ushajua kwann yupo kimya
Lakini alikuwa sahihi kusema nchi inauzwaFalse dichotomy.
Kwani haiwezekani Ndugai akawa mjinga na huyu Rais naye akawa mjinga pia?
Kwa nini uchaguzi uwe ama Ndugai ama huyu?
Sasa kama alijua nchi inauzwa, na yeye ndiye Spika wa kupigania nchi isiuzwe, kwa nini alijiuzulu?Lakini alikuwa sahihi kusema nchi inauzwa
Angefanyaje sasa kama pengine alitishiwa maishaSasa kama alijua nchi inauzwa, na yeye ndiye Spika wa kupigania nchi isiuzwe, kwa nini alijiuzulu?
Upumbavu mtupu.