Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Ilianzia kwenye picha ya mama kubandikwa Burj El khalifa
Jengo refu kuliko yote Dubai pale..
kisha vikao vikafuatia huko Dubai na hapahapa Dodoma.
Kisha ndio ikazaliwa hii inaitwa DP-WORLD. (Deep-world).

Sasa mnaposhangaa mama kukaa kimya muelewe hili.
Picha toka Ghetty Images.

Nukuu ya mama kanisani KKKT-Arusha.

"Kwa hilo baba askofu,nimechagua kukaa kimya na nitaendelea kukaa kimya"

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2728396View attachment 2728397View attachment 2728398View attachment 2728399View attachment 2728401
Atasema nini wakati mlungula kashachukua na watu hawautaki mkataba?
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
Yaani kukaa kimya kiongozi wa nchi!!!? Au nchi unaifananisha na kundi la mipasho la Taarabu?

Nyie wenzetu pambanieni Elmo dunia
 
Nimeku
Kiongozi makini huwezi kukaa kimya ilhali unashuhudia nchi yako ikiporomoshwa na kugawanyika kwenye jambo ambalo umelianzisha wewe!

Maana ya uongozi ni kuliongoza taifa katika hali zote.
Na nyakati kama hizi ndio haswa unapotakiwa kuonyesha upeo wako.

Ina maana hata tukiingia vitani kwa kuvamiwa kijeshi.
Rais ataendelea kukaa kimya?

Sasa hapo anafanya Busara kwa manufaa ya nani?

Nchi inaelekea kugawanyishwa huku yeye akiendelea kuhudhuria makongamano na warsha kila uchao!

Kwenye hilo nakupinga live...
Uraisi ni taasisi na siyo suala la mtu binafsi.
Umekimbilia kukoment bila kunisoma vizuri au kunielewa vizuri. Kiongozi mwenye hekima anatakiwa kujua ni wapi na lini na nini aseme au ajibu na kukaa kimya haimaanishi kwamba hakuna jibu ,laa hasha!

Yesu aliposhtakiwa kwa Pilato, alikaa kimya sio kwamba hakuweza kujibu ila ni busara kubwa. Alipoulizwa Je, wewe ni mwana wa Mungu? Alipojibu Mimi ndimi wewe wasema ,hapo hapo wakaanza kumpiga kwamba kakufuru.

Hapo tunapata funzo Moja kubwa, kama mtu yupo tayari kukuhukumu hata umpe jibu Gani ukimya ndio jibu kubwa Kwa sababu either ujibu au usijibu atakuhukumu Kwa namna ileile.

Na hapa ndio nimeziona hekima ya Rais Samia kwa kuamua kukaa kimya, hao wanaomuhukumu Kwa kuuza bandari au nchi unadhani Rais akisema hajauza wataridhika na jibu Hilo?
 
Yaani kukaa kimya kiongozi wa nchi!!!? Au nchi unaifananisha na kundi la mipasho la Taarabu?

Nyie wenzetu pambanieni Elmo dunia
Hakuna jibu litakalomfurahisha mjinga zaidi ya Ujinga wake , ukielewa maana ya msemo huu hutopata tabu.
 
Kiongozi makini huwezi kukaa kimya ilhali unashuhudia nchi yako ikiporomoshwa na kugawanyika kwenye jambo ambalo umelianzisha wewe!

Maana ya uongozi ni kuliongoza taifa katika hali zote.
Na nyakati kama hizi ndio haswa unapotakiwa kuonyesha upeo wako.

Ina maana hata tukiingia vitani kwa kuvamiwa kijeshi.
Rais ataendelea kukaa kimya?

Sasa hapo anafanya Busara kwa manufaa ya nani?

Nchi inaelekea kugawanyishwa huku yeye akiendelea kuhudhuria makongamano na warsha kila uchao!

Kwenye hilo nakupinga live...
Uraisi ni taasisi na siyo suala la mtu binafsi.
Hakuna chuo wala shule inayofundisha hekima ila hekima yote inatoka kwa Bwana ,kwa hiyo ukitaka tutaifsiri hekima katika mzaha wa kisiasa hapo ni makosa.

Umeshasema nchi Ipo vitani maana yake unatakiwa kupambana lakini hekima ya kiongozi inatakiwa kuzuia vita isitokee na kukaa kimya kinaweza kuzuia vita. Kwa mfano, unaletewa chokochoko na wewe ukaamua kujibu hizo chokochoko maana yake unataka kuingia vitani lakini ukiacha kujibu unaweza kuepusha vita. Ipi busara na Hekima hapo?
 
Ilianzia kwenye picha ya mama kubandikwa Burj El khalifa
Jengo refu kuliko yote Dubai pale..
kisha vikao vikafuatia huko Dubai na hapahapa Dodoma.
Kisha ndio ikazaliwa hii inaitwa DP-WORLD. (Deep-world).

Sasa mnaposhangaa mama kukaa kimya muelewe hili.
Picha toka Ghetty Images.

Nukuu ya mama kanisani KKKT-Arusha.

"Kwa hilo baba askofu,nimechagua kukaa kimya na nitaendelea kukaa kimya"

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2728396View attachment 2728397View attachment 2728398View attachment 2728399View attachment 2728401
EEEeeenHeeeeeeeH!

Na Picha ya Bendera yetu ilipopanda, na Mama yetu mpendwa kuonyeshwa hapo, tukaambiwa sisi hatutalipia chochote kwa kazi hiyo, kama wanavyofanya wengine wote, kwa vile sisi ni watoto wapendwa wa Mfalme!

Huyu mwanamke ni Fisadi mkubwa huyu anayetakiwa kuwa jela na siyo kuwa Ikulu ya nchi kama hii.
 
Haters wanahaha kila uchwao kujaribu hili na lile lakini wapi!!!!

Mama yuko imara, Nchi iko imara. Kama kuangamia basi zinaangamia familia zenu hizo, si nchi hii.
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
NGoja siku moja wakuibie mkeo siku mbili asionekane halafu siku ya tatu akirudi muulize alikuwa wapi halafu asijibu chochote akae kimyaaa tuona kama utamfagilia Kwa busara zilizotukuka na vifungu vya biblia utamwongezea
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
Mkuu nyumba inaangamia kwa magonjwa kwa baba kumpa mgeni choo cha familia, alafu wewe unaleta mambo ya maandiko hapa.

Yaani baba mwenye nyumba anakaa kimya huku watoto wanalalamika wewe unasema ni busara 😢, pole sana aseee!.

Nchi inaondoka hii, wanao watakuja kukuona ni sawa na wale machifu kina Mangungo wa msovelo!.
 
Haters wanahaha kila uchwao kujaribu hili na lile lakini wapi!!!!

Mama yuko imara, Nchi iko imara. Kama kuangamia basi zinaangamia familia zenu hizo, si nchi hii.
Umevimbiwa maboga naona milango yote miwili inatoa gesi
 
Ukweli ni kwamba something is not right huyu mama kaamua kukaa kimya kwa sababu si yeye anayeiendesha hii nchi, na ni kama ameshaambiwa tulia hivyo hivyo ukileta ujuaji tutakufanya kama tulichomfanya mwendazake, acha watu wajitoe ufahamu na kujifanya wanamlaumu na kumtukana huyu mama wakati the real mastermind wanamjua
Napingana na ww ukimya wake sio wa hovyo bali ni hajui hafanye nini ,akisema kitu anatengeneza maswali mengi kuliko majibu
 
Yaani yeye kuwekwa huko jengo lefu akajaa akajazwa ego akalewa sifa akazilipa kwa kuwapa bandari na msamaha wa Kodi asilimia Mia ,yaani akawaambia kuwa hata tukikosana bandari Ni Mali zenu labda nyie muwe madalali wa kuleta muwekezaji mwingine
 
Uoga unatafisiliwa ni ukimya.

"Nchi hii ina wasomi wajinga sana".

Fikiria mtu anasema eti kinyesi cha ng'ombe kimekuwa sumu na kuua samaki ziwani. Halafu eti ni profesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga ni kuwakalia kimya tu
Dp world karibuni Tanzania
umesoma mkataba kwanza ? umeleewa wakosoaji wanakataa nini ? mkataba sio uwekezaj ELEWA , hakuna anawapinga waarab bali watu wanapinga mkataba sio waarabu ELEWENI , CCMU INAWATUMIA VIBAYA , KUNA HARUFU YA RUSHWA KWENYE HUU MKATABA , SIO JESHI WALA MAHAKAMA WALA BUNGE WALA SERIKALI , KWA NCHI ZA WENZETU HILI SEKE SEKE LINGEPITA NA WENGI NA MKATABA UNGEFUTWA NA KUKAA KIKAO KIPYA NA DP WORLD
 
Ilianzia kwenye picha ya mama kubandikwa Burj El khalifa
Jengo refu kuliko yote Dubai pale.

kisha vikao vikafuatia huko Dubai na hapahapa Dodoma.
Kisha ndio ikazaliwa hii inaitwa DP-WORLD. (Deep-world).

Sasa mnaposhangaa mama kukaa kimya muelewe hili.
Picha toka Ghetty Images.

Nukuu ya mama kanisani KKKT-Arusha.

"Kwa hilo baba askofu, nimechagua kukaa kimya na nitaendelea kukaa kimya"

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2728396View attachment 2728397View attachment 2728398View attachment 2728399View attachment 2728401
kwa rais kutoa kauli ya kusema anakaa kimya , kama watz wangekuwa wanajielewa basi alipaswa ajiuzulu maana huez kalia kimya hoja za wananchi ambao ndo maboss zake labda kama anamtumikia mtu mwingine
 
Back
Top Bottom