Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Nani kakwambia alitishiwa maisha?

Mbona unaleta speculations?

Na kama una woga kwenye nchi tata kama Tanzania kwa nini unagombea Uspika in the first place?
Kwa kilichotokea,ungekuwa wewe ungeweza kuendelea?
 
Kwa kilichotokea,ungekuwa wewe ungeweza kuendelea?
Nini kilitokea kwa mujibu wako?

Kilichotokea for sure ni Ndugai kuji contradict.

Kasema nchi inauzwa, nchi aliyoapa kuilinda, halafu kajiuzulu. Bila kuilinda. Kamuachia kiti cha Uspika Tulia, kuwadi wa kuuza nchi.

Sasa hapo huoni kwamba Ndugai ni sehemu ya tatizo, si sehemu ya kuondoa tatizo?

Ningemuona Ndugai wa maana sana kama angeitetea point yake mpaka afukuzwe, sio ajiuzulu mwenyewe kama mbwa koko. Tuone kabisa kapigana mpaka mwisho, kashindwa kwa kufukuzwa. Nani kamfukuza, kwa kanuni gani, tumbane huyo aliyemfukuza. Kwa nini unamfukuza Spika anayetetea nchi, anayetaka nchi isiuzwe?

Mimi nikiamua kusimamia kitu ninachoona ni sawa siwezi kujiuzulu. Kama kuna ukweli kwenye hoja ya nchi kuuzwa, ningeisimamia mpaka nifukuzwe kwenye chama au nipigiwe kura ya kuondolewa Uspika. Au niwaondoe hao wanaouza nchi.

Ndugai angeondolewa hivyo, hapo labda mngekuwa na point ya kumsherehekea kama mtu wa maana.

Sasa nyinyi mnamsherehekea mtu aliyeshindwa kutetea nchi isiuzwe licha ya kupewa manyota ya Uspika?

Watu wanagombea nafasi kubwa kwa kupenda vyeo tu, ikiwa wanatakiwa wafanye kazi ya kikubwa wanajiuzulu?

Hivi hamuoni kuwa Ndugai alikuwa anacheza mchezo wa siasa tu, na kama issue kweli ni kuuza nchi, yeye mwenyewe na Magufuli walishaanza kuharibu misingi ya kuifanya nchi isiuzwe siku nyingi tu?

Ndugai ni mtu wa kusifiwa kweli? Kwa kauli ya nchi inauzwa tu? Na kujiuzulu?

Are you serious?
 
Nini kilitokea kwa mujibu wako?

Kilichotokea for sure ni Ndugai kuji contradict.

Kasema nchi inauzwa, nchi aliyoapa kuilinda, halafu kajiuzulu. Bila kuilinda. Kamuachia kiti cha Uspika Tulia, kuwadi wa kuuza nchi.

Sasa hapo huoni kwamba Ndugai ni sehemu ya tatizo, si sehemu ya kuondoa tatizo?

Ningemuona Ndugai wa maana sana kama angeitetea point yake mpaka afukuzwe, sio ajiuzulu mwenyewe kama mbwa koko. Tuone kabisa kapigana mpaka mwisho, kashindwa kwa kufukuzwa. Nani kamfukuza, kwa kanuni gani, tumbane huyo aliyemfukuza. Kwa nini unamfukuza Spika anayetetea nchi, anayetaka nchi isiuzwe?

Mimi nikiamua kusimamia kitu ninachoona ni sawa siwezi kujiuzulu. Kama kuna ukweli kwenye hoja ya nchi kuuzwa, ningeisimamia mpaka nifukuzwe kwenye chama au nipigiwe kura ya kuondolewa Uspika. Au niwaondoe hao wanaouza nchi.

Ndugai angeondolewa hivyo, hapo labda mngekuwa na point ya kumsherehekea kama mtu wa maana.

Sasa nyinyi mnamsherehekea mtu aliyeshindwa kutetea nchi isiuzwe licha ya kupewa manyota ya Uspika?

Watu wanagombea nafasi kubwa kwa kupenda vyeo tu, ikiwa wanatakiwa wafanye kazi ya kikubwa wanajiuzulu?

Hivi hamuoni kuwa Ndugai alikuwa anacheza mchezo wa siasa tu, na kama issue kweli ni kuuza nchi, yeye mwenyewe na Magufuli walishaanza kuharibu misingi ya kuifanya nchi isiuzwe siku nyingi tu?

Ndugai ni mtu wa kusifiwa kweli? Kwa kauli ya nchi inauzwa tu? Na kujiuzulu?

Are you serious?
Ndugai anajua nguvu ya rais kikatiba, ànajua rais ana uwezo wa kumpoteza. Akaamua kuondoka kwa amani kawaachia wana harakati ila kaonesha njia.
 
Ndugai anajua nguvu ya rais kikatiba, ànajua rais ana uwezo wa kumpoteza. Akaamua kuondoka kwa amani kawaachia wana harakati ila kaonesha njia.
Nguvu ya rais ya kikatiba ipi ingeweza kumpoteza Ndugai?

Unaweza kutaja kifungu ili tukichambue?

Ndugai kaonesha njia ipi? Ya kuufyata mkia?

Ndugai ni mtu mmoja mjinga ambaye kaupata Uspika kwa bahati, na kwa sababu walimuona mjinga watam control. Ndiyo maana kashindwa hata kuwa strategic kujua nini aseme wapi, lini, kwa mkakati gani. Akaishia kujiuzulu kijinga.

Matatizo yenu Watanzania wengi hamjui kufikiri bila kulinganisha watu. Hamjui kufanya abstract thinking.Hapa mshajipanga team Ndugai vs team Samia.

This is a false dichotomy.

Mshasahau Ndugai na Samia na Magufuli wote wamefanya ushenzi nchi hii.

Hamjui kusimamia principle.

Kwa taarifa yako, rais hana uwezo wa kumuondoa Spika kikatiba.

Hivyo, Ndugai kama kweli aliona nchi inauzwa alikuwa nanuwezo wa kukomaa kwenye hilo.

Tatizo Ndugai issue yake haikuwa nchi kuuzwa, issue yake ilikuwa tofauti akaropoka issue ya nchi kuuzwa. Akajiuzulu.

Haya ni mambo ya power struggles za Sukuma Gang na Samia, Watanzania mnadanganywa nchi inauzwa.

Kwani Magufuli alivyoua upinzani wazi na kumwambia Ndugaye awadhibiti wapunzani bungeni, yeye Magufuli atawadhibiti nje, Ndugai alikuwa msafi sana?

Ndugai hakushiriki kupitisha sheria kandamizi za Magufuli bungeni?

Why all of a sudden kisentensi kimoja cha Ndugai ndiyo kimfanye awe shujaa, tena kwa kujiuzulu.

Kujiuzulu kwa Ndugai na watu wanavyomshabikia ni kielelezo cha kwa nini Watanzania ni masikini.
 
Halafu eti wapumbavu wanamsifia kwa ukimya.

Nyumba inaungua moto halafu unamsifia mwenye nyumba kwa ukinya?
Ana agenda yake ambayo sio nzuri...angekuwa clean angeshakemea mara moja...lkn kwakuwa kachafuka hana namna zaidi ya kukaa kimya kusubiria upepo utaenda vp
 
Kukaa kimya ni ishara ya utulivu, busara na Hekima na ni hekima kubwa sana.

Kuna hekima kubwa mbili huwa naziomba na ninawaombea viongozi Kwa Mungu wetu:

Ya kwanza, ninaomba na kuwaonbea kukaa kimya hata pale wanaweza kujibu. Jibu la kukaa kimya ni bora kuliko la kunena. Hata kwenye Biblia ,Yesu alipopelekwa mbele ya Pilato alikaa kimya bila kuzungumza wala kujibu lolote na mpaka Pilato akaona hana hatia yoyote.

Kukaa kimya kwa Rais Samia ni hekima ya kiuongozi na kiongozi bora anatakiwa kujua ni lini na wapi akae kimya. Pale unaposhtakiwa, unapotuhumiwa, unqposingiziwa na unajua dhamira yako ni njema na safi ni hekima ya juu KUKAA KIMYA MTETEZI WAKO NI MUNGU.

Ya pili, naomba na kuwaombea kutofanya hata pale unapoweza kufanya. Mamlaka zote zimetoka Kwa Bwana hivyo kiongozi anatakiwa kuwa na Hekima na Kiungu kuongoza na sio muda wote ni wa kufanya.

Kama una mamlaka haimaanishi kutokufanya ni udhaifu. Kwenye Biblia tunaona Yesu alifatwa na askari wenye marungu na silaha kumkamata lakini katika kumkamata ikataka kutokea kama mapambano na Yeye akauliza ,je mnadhani nashindwa kumwambia Baba yangu aniletee majeshi 12 ya malaika?

Uwezo wa kushusha majeshi ya malaika anao na mamlaka anayo lakini haimaanishi kutowashusha ni udhaifu ila ni hekima ya kutokufanya hata pale unapoweza kufanya kaitumia.

Hivyo basi haimaanishi kukaa kimya Kwa Rais Samia ni udhaifu au ana hatia hapana ni hekima aliyonayo kama kiongozi. Sio Kila suala ni la kujibu Kwa sababu washtaki wako hawataridhika au hawatarishishwa na majibu yako
Acha Ujinga
 
Kiongozi makini huwezi kukaa kimya ilhali unashuhudia nchi yako ikiporomoshwa na kugawanyika kwenye jambo ambalo umelianzisha wewe!

Maana ya uongozi ni kuliongoza taifa katika hali zote.
Na nyakati kama hizi ndio haswa unapotakiwa kuonyesha upeo wako.

Ina maana hata tukiingia vitani kwa kuvamiwa kijeshi.
Rais ataendelea kukaa kimya?

Sasa hapo anafanya Busara kwa manufaa ya nani?

Nchi inaelekea kugawanyishwa huku yeye akiendelea kuhudhuria makongamano na warsha kila uchao!

Kwenye hilo nakupinga live...
Uraisi ni taasisi na siyo suala la mtu binafsi.
Ningekuwa me ndo Mkuu wa majeshi I swear to God Ningekuwa nimeshampindua Bimkubwa.
 
Back
Top Bottom