Naomba kujua Rais Samia anasifiwa kwa ukimya upi?

Angefanyaje sasa kama pengine alitishiwa maisha
Nani kakwambia alitishiwa maisha?

Mbona unaleta speculations?

Na kama una woga kwenye nchi tata kama Tanzania kwa nini unagombea Uspika in the first place?
 
Nani kakwambia alitishiwa maisha?

Mbona unaleta speculations?

Na kama una woga kwenye nchi tata kama Tanzania kwa nini unagombea Uspika in the first place?
Kwa kilichotokea,ungekuwa wewe ungeweza kuendelea?
 
Kwa kilichotokea,ungekuwa wewe ungeweza kuendelea?
Nini kilitokea kwa mujibu wako?

Kilichotokea for sure ni Ndugai kuji contradict.

Kasema nchi inauzwa, nchi aliyoapa kuilinda, halafu kajiuzulu. Bila kuilinda. Kamuachia kiti cha Uspika Tulia, kuwadi wa kuuza nchi.

Sasa hapo huoni kwamba Ndugai ni sehemu ya tatizo, si sehemu ya kuondoa tatizo?

Ningemuona Ndugai wa maana sana kama angeitetea point yake mpaka afukuzwe, sio ajiuzulu mwenyewe kama mbwa koko. Tuone kabisa kapigana mpaka mwisho, kashindwa kwa kufukuzwa. Nani kamfukuza, kwa kanuni gani, tumbane huyo aliyemfukuza. Kwa nini unamfukuza Spika anayetetea nchi, anayetaka nchi isiuzwe?

Mimi nikiamua kusimamia kitu ninachoona ni sawa siwezi kujiuzulu. Kama kuna ukweli kwenye hoja ya nchi kuuzwa, ningeisimamia mpaka nifukuzwe kwenye chama au nipigiwe kura ya kuondolewa Uspika. Au niwaondoe hao wanaouza nchi.

Ndugai angeondolewa hivyo, hapo labda mngekuwa na point ya kumsherehekea kama mtu wa maana.

Sasa nyinyi mnamsherehekea mtu aliyeshindwa kutetea nchi isiuzwe licha ya kupewa manyota ya Uspika?

Watu wanagombea nafasi kubwa kwa kupenda vyeo tu, ikiwa wanatakiwa wafanye kazi ya kikubwa wanajiuzulu?

Hivi hamuoni kuwa Ndugai alikuwa anacheza mchezo wa siasa tu, na kama issue kweli ni kuuza nchi, yeye mwenyewe na Magufuli walishaanza kuharibu misingi ya kuifanya nchi isiuzwe siku nyingi tu?

Ndugai ni mtu wa kusifiwa kweli? Kwa kauli ya nchi inauzwa tu? Na kujiuzulu?

Are you serious?
 
Ndugai anajua nguvu ya rais kikatiba, ànajua rais ana uwezo wa kumpoteza. Akaamua kuondoka kwa amani kawaachia wana harakati ila kaonesha njia.
 
Ndugai anajua nguvu ya rais kikatiba, ànajua rais ana uwezo wa kumpoteza. Akaamua kuondoka kwa amani kawaachia wana harakati ila kaonesha njia.
Nguvu ya rais ya kikatiba ipi ingeweza kumpoteza Ndugai?

Unaweza kutaja kifungu ili tukichambue?

Ndugai kaonesha njia ipi? Ya kuufyata mkia?

Ndugai ni mtu mmoja mjinga ambaye kaupata Uspika kwa bahati, na kwa sababu walimuona mjinga watam control. Ndiyo maana kashindwa hata kuwa strategic kujua nini aseme wapi, lini, kwa mkakati gani. Akaishia kujiuzulu kijinga.

Matatizo yenu Watanzania wengi hamjui kufikiri bila kulinganisha watu. Hamjui kufanya abstract thinking.Hapa mshajipanga team Ndugai vs team Samia.

This is a false dichotomy.

Mshasahau Ndugai na Samia na Magufuli wote wamefanya ushenzi nchi hii.

Hamjui kusimamia principle.

Kwa taarifa yako, rais hana uwezo wa kumuondoa Spika kikatiba.

Hivyo, Ndugai kama kweli aliona nchi inauzwa alikuwa nanuwezo wa kukomaa kwenye hilo.

Tatizo Ndugai issue yake haikuwa nchi kuuzwa, issue yake ilikuwa tofauti akaropoka issue ya nchi kuuzwa. Akajiuzulu.

Haya ni mambo ya power struggles za Sukuma Gang na Samia, Watanzania mnadanganywa nchi inauzwa.

Kwani Magufuli alivyoua upinzani wazi na kumwambia Ndugaye awadhibiti wapunzani bungeni, yeye Magufuli atawadhibiti nje, Ndugai alikuwa msafi sana?

Ndugai hakushiriki kupitisha sheria kandamizi za Magufuli bungeni?

Why all of a sudden kisentensi kimoja cha Ndugai ndiyo kimfanye awe shujaa, tena kwa kujiuzulu.

Kujiuzulu kwa Ndugai na watu wanavyomshabikia ni kielelezo cha kwa nini Watanzania ni masikini.
 
Halafu eti wapumbavu wanamsifia kwa ukimya.

Nyumba inaungua moto halafu unamsifia mwenye nyumba kwa ukinya?
Ana agenda yake ambayo sio nzuri...angekuwa clean angeshakemea mara moja...lkn kwakuwa kachafuka hana namna zaidi ya kukaa kimya kusubiria upepo utaenda vp
 
Acha Ujinga
 
Ningekuwa me ndo Mkuu wa majeshi I swear to God Ningekuwa nimeshampindua Bimkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…