Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

kwanza jiulize nyakati za yesu ilikuwaje na ni dini zipi zilikuwapo ndio jibu utalipata hapni

kwanza jiulize nyakati za yesu ilikuwaje na ni dini zipi zilikuwapo ndio jibu utalipata hapo
Toka kuumbwa kwa Dunia dini ni Moja tu nayo ni Uisilamu,lakini tamaduni na makabira ndiyo tofauti.Yakubu au Yakobo alilia mwanae Yusufu alipopelekwa kuuzwa utumwani mpaka macho yakapofuka siku walipokutana na Mwanae Yusufu alimuuliza baba yake kwa nini umelia mpaka macho yamepofuka wakati ulijua kabisa kwamba nisingedhurika? Jibu la baba yake lilikuwa nilikuwa naogopa usije ukafata Dini nyingine isiyokuwa Uisilamu
 
Kwani ukivaa kanzu ndio utakatifu?
 
Huwa mnajazwa ujinga nyie.
 
Mm najua allah ni kava la kisu hayo mengine utajua wewe na mpotoshaji mwenzio mudi madem
Chuki zako hazizuii Uislamu kusonga mbele

U² ndo ulokua nao
ujinga
upumbavu
 
Na waislam wakikalilishwa aya mbili tatu tu wanakuwa waganga wa kienyeji yaani mawakala halisi wa ibilisi
Nani uyo kakalilishwa? au kakaririshwa?

Mm mbona nimekariri izo aya unosema na sijawa mganga?

Punguza chuki m hua naongea ukweli tu
 
Huwa mnajazwa ujinga nyie.
kati ya wanojazwa ujinga ni nani sisi au nyie?

Ujinga wa kuwaendeshea maisha watu tu walojiita watumishi wa Mungu huku ww ukiumwa unaombewa ila mtumishi akiumwa NHIF ipo mezani na gari nzuri na nyumba nzuri ww utaishia uko uko kuuza mihogo hlf ukamtajirishe mtumishi hhhhhhh
 
Wewe ndio nikupe pole, maana huwezi kuthibitisha uwongo wako uliouandika hapa.
Ubishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!

Wakristo hata Uislamu usipokuwepo hawana chochote cha kuchukua wala kujikomba.

Ila waislam sasa, mnadokoa dokoa sana vitu kwenye ukristo.
 
Na sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?
 
Na sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?
kwa Mungu hilo ni jambo dogo sana mna roho ndo inaulizwa sasa roho utaichoma ambayo huwezi kuiona?
 
Ubishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!

Wakristo hata Uislamu usipokuwepo hawana chochote cha kuchukua wala kujikomba.

Ila waislam sasa, mnadokoa dokoa sana vitu kwenye ukristo.
Sasa hapa anayeleta ubishi wa kijinga ni nani kama sio wewe, usiyeweza kuthibitisha hata maneno yako mwenyewe.

Hebu punguza jazba

Halafu lete uthibitisho kama unayoyasema ni yakweli.
 
Sasa hapa anayeleta ubishi wa kijinga ni nani kama sio wewe, usiyeweza kuthibitisha hata maneno yako mwenyewe.

Hebu punguza jazba

Halafu lete uthibitisho kama unayoyasema ni yakweli.
Shekhe mazinge!! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
kwa Mungu hilo ni jambo dogo sana mna roho ndo inaulizwa sasa roho utaichoma ambayo huwezi kuiona?
Huyo kasema ukiingizwa kaburini.nami nimemuuliza based on his/her statement.
 
Na sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?
Mungu ndiyo mjuzi wa kila kitu yeye ndiye anayejua,mwenye elimu zaidi
 
Kwa h
Ubishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!

Wakristo hata Uislamu usipokuwepo hawana chochote cha kuchukua wala kujikomba.

Ila waislam sasa, mnadokoa dokoa sana vitu kwenye ukristo.
Kwa hizi nguvu ndogo unazoziona ndiyo maana kila siku watu wanahamia kwenye Uisilamu makundi na makundi
 
Je unaweza kutupatia ushahidi katika bibilia

Kumbuka uisilamu uliletwa Kwa ajiri ya majini ndo màana Muhamadi alipopokea Imani ya usilamu alienda katika fukwe za Madina na kuhubiria majini ndio viumbe vya kwanza kuamini na kusilimu

Je duniani usilam ulishuka Kwa mhamad ndiye mtu wa kwanza kuupokea usilamu
Kwa mjibu kitabu Cha maisha ya Muhamada na asili ya uislamu huko Madina na Taipei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…