Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
-
- #401
kwanza jiulize nyakati za yesu ilikuwaje na ni dini zipi zilikuwapo ndio jibu utalipata hapni
Toka kuumbwa kwa Dunia dini ni Moja tu nayo ni Uisilamu,lakini tamaduni na makabira ndiyo tofauti.Yakubu au Yakobo alilia mwanae Yusufu alipopelekwa kuuzwa utumwani mpaka macho yakapofuka siku walipokutana na Mwanae Yusufu alimuuliza baba yake kwa nini umelia mpaka macho yamepofuka wakati ulijua kabisa kwamba nisingedhurika? Jibu la baba yake lilikuwa nilikuwa naogopa usije ukafata Dini nyingine isiyokuwa Uisilamukwanza jiulize nyakati za yesu ilikuwaje na ni dini zipi zilikuwapo ndio jibu utalipata hapo
Kwani ukivaa kanzu ndio utakatifu?Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Huwa mnajazwa ujinga nyie.Toka kuumbwa kwa Dunia dini ni Moja tu nayo ni Uisilamu,lakini tamaduni na makabira ndiyo tofauti.Yakubu au Yakobo alilia mwanae Yusufu alipopelekwa kuuzwa utumwani mpaka macho yakapofuka siku walipokutana na Mwanae Yusufu alimuuliza baba yake kwa nini umelia mpaka macho yamepofuka wakati ulijua kabisa kwamba nisingedhurika? Jibu la baba yake lilikuwa nilikuwa naogopa usije ukafata Dini nyingine isiyokuwa Uisilamu
Mwisilamu hakuwa kuwa mjinga hata siku moja,ndiyo maana hutakuta mitume au manabii wa sasa hivi wa kiisilamuHuwa mnajazwa ujinga nyie.
Ndilo vazi walilovaa mitume woteKwani ukivaa kanzu ndio utakatifu?
Chuki zako hazizuii Uislamu kusonga mbeleMm najua allah ni kava la kisu hayo mengine utajua wewe na mpotoshaji mwenzio mudi madem
Nani uyo kakalilishwa? au kakaririshwa?Na waislam wakikalilishwa aya mbili tatu tu wanakuwa waganga wa kienyeji yaani mawakala halisi wa ibilisi
kati ya wanojazwa ujinga ni nani sisi au nyie?Huwa mnajazwa ujinga nyie.
Ubishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!Wewe ndio nikupe pole, maana huwezi kuthibitisha uwongo wako uliouandika hapa.
Na sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?Pole sana, ukweli wake utaukuta kaburini si mda mrefu,tena utakuwa peke yako kama ulivyozaliwa,siku utakapoulizwa;Mungu wako nani? Dini yako dini gani?Kitabu chako kitabu gani?na Mtume wako nani?kumbuka ulikuwa kiumbe dhahiri hujui lolote lile lakini Mungu kakupa nguvu badala ya kutumia kumuabudu unamdhihaki?
kwa Mungu hilo ni jambo dogo sana mna roho ndo inaulizwa sasa roho utaichoma ambayo huwezi kuiona?Na sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?
Sasa hapa anayeleta ubishi wa kijinga ni nani kama sio wewe, usiyeweza kuthibitisha hata maneno yako mwenyewe.Ubishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!
Wakristo hata Uislamu usipokuwepo hawana chochote cha kuchukua wala kujikomba.
Ila waislam sasa, mnadokoa dokoa sana vitu kwenye ukristo.
Shekhe mazinge!! [emoji3][emoji3][emoji3]Sasa hapa anayeleta ubishi wa kijinga ni nani kama sio wewe, usiyeweza kuthibitisha hata maneno yako mwenyewe.
Hebu punguza jazba
Halafu lete uthibitisho kama unayoyasema ni yakweli.
Huyo kasema ukiingizwa kaburini.nami nimemuuliza based on his/her statement.kwa Mungu hilo ni jambo dogo sana mna roho ndo inaulizwa sasa roho utaichoma ambayo huwezi kuiona?
Nimeipenda style yako ya kukubali kushindwa[emoji3][emoji3]Shekhe mazinge!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Mungu ndiyo mjuzi wa kila kitu yeye ndiye anayejua,mwenye elimu zaidiNa sisi ambao hatutazikwa kaburini,yani miili yetu itachomwa moto au tutatafunwa na fisi haya maswali tutauliziwa wapi?
Kwa hizi nguvu ndogo unazoziona ndiyo maana kila siku watu wanahamia kwenye Uisilamu makundi na makundiUbishi wenu wa kijinga ndio maana mnaishia kujilipua!
Wakristo hata Uislamu usipokuwepo hawana chochote cha kuchukua wala kujikomba.
Ila waislam sasa, mnadokoa dokoa sana vitu kwenye ukristo.
Hehehee!Kwa h
Kwa hizi nguvu ndogo unazoziona ndiyo maana kila siku watu wanahamia kwenye Uisilamu makundi na makundi