Nami nikuulize, mudi alibaka watoto au hakubaka?Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
mkuu ukweli utabaki kua ukweli tuu ata ukichukiaajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.
kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara[emoji23][emoji23].
nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
Waislam siku hiz wanayakimbia mavazi yao, leo hii muambie muislam avae kanzu au mwanamke avae hijab au nikabu povu atakalo toa huwezi aminiWakristo kwa waislamu wanavaa kanzu.
Ndo kwanza tunazidi kuvaaa hhhhhh utachukia sanaaaWaislam siku hiz wanayakimbia mavazi yao, leo hii muambie muislam avae kanzu au mwanamke avae hijab au nikabu povu atakalo toa huwezi amini
Zile sio kanzu usitufananishe, sisi wakristo ni kama majoho chunguza vizuri na sio wote tunavaa ni viongozi tuDepends na kanzu gani....hata wakristo kwenye ibada zao huvaa kanzu
Ukiachana na mambo ya kimwili (kuvaa, kula, kutembea nk), naona ungeweka ya kiroho, mfano, hivi Yesu alihubiri kulipa kisasi au kutoa msamaha? Nadhani hapo ndipo panapotofautisha uisilamu (unaohimiza kulipa kisasi) na Ukristu (unaohimiza kutoa msamaha)Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
mkuu ukweli utabaki kua ukweli tuu ata ukichukia
Mungu kamuongoza uyo charles kupitia sababu iyo ila kuna wengine wao husilimu kwa kukataa utatu, n.k inshort kaa chini usome hizi dini 2 utajua ukweli uko wapi
Kwanini iwe kukuchosha ndugu yangu,maana wanasema yesu atarudi?atarudia kwenye inchi yake ya kiyahudi?atasali wapi,atavaa suti au kansu?itakuwaje kwa wale wanaomsubiri?Maswali mengine yana lengo la kuchosha tu watu.
Kwani mambo ya kimwili hayana thamani kwa mwenyezi Mungu,ina maana Mungu hakumfundisha Mwanadamu avae vipi,au amwabudu vipi,au ale vipi,au alale,na atembee vipi,alimuacha kama wanyama?Ukiachana na mambo ya kimwili (kuvaa, kula, kutembea nk), naona ungeweka ya kiroho, mfano, hivi Yesu alihubiri kulipa kisasi au kutoa msamaha? Nadhani hapo ndipo panapotofautisha uisilamu (unaohimiza kulipa kisasi) na Ukristu (unaohimiza kutoa msamaha)
Unasema Yesu ni Mungu mkuu. Ukiangalia mchoro wa utatu kwenye biblia Yesu alikuwa anaomba kwa baba. We kwa kufikiri kwako huo mchoro unavyoona nimepotosha? Huu nimeutoa kwenye kurasa za wakatoliki.Tatizo lako au hiyo shida unayopata hapo ni ipi?
Inahusiana kwa namna yoyote na comment niliyoiandika?
"Akawaambia wote, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate"Ulioyaongea yote ni ya kweli
mmasai anafanana mpk kimavazi na mmasai mwenzake
sasa utajua ni nani anomfuata yesu haswaa
jibu unalo mwenyewe
Hapo huo mchoro unavyoona nimepotosha? Nimetoa kwenye akaunti ya mtandao wa kijamii wa wakatoliki. Mi sina shida na unavyoamini. Kinachonishangaza kwenye biblia mambo tofauti na namna yanavyozungumzwa.Muta boy , unaangaika Sana na utatu , inaonesha ni kitu unakiogopa Sana
Ebu tuelezee apo huo upumbavu ni upi? hlf nitakujibu"Akawaambia wote, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate"
"naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada"
Sasa chukua haya maneno, kasome kwenye habari za kila siku utajua ni akina nani hao... Nitakusaidia pa kuanzia...
Pakistani Police Tortures and Kills Christian Man | American Center for Law and Justice
The European Center for Law and Justice’s (ECLJ) affiliate in Pakistan, the Organization for Legal Aid (OLA), is representing the family of Liaqat Masih, a Christian man who was brutally tortured and murdered by local police for supposedly stealing property from his Muslim employer, Raza Hameed...aclj.org 81 Christians Killed in Pakistan's 'Deadliest-Ever Church Attack'
At least 81 Christians attending Sunday worship service in their historic church were killed and 131 others were wounded after two Taliban suicide bombers stormed the building in northwest Pakistanwww.christianpost.com Pastor Who Defended Christians Against Hindu Nationalists Killed In Central India
A Christian community in Central India has lost their beloved pastor after he was brutally murdered by masked men on Thursday.www.christianitydaily.com Persecution of Christians 'coming close to genocide' in Middle East – report
Millions uprooted from homes, says UK-commissioned report, with many jailed and killedwww.theguardian.com Polycarp’s Martyrdom | Christian History Institute
Christian History Institute (CHI) provides church history resources and self-study material and publishes the quarterly Christian History Magazine. Our aim is to make Christian history enjoyable and applicable to the widest possible audience.christianhistoryinstitute.org
Note: Kosa lao ni kumfuata Yesu Kristo!
Bonus: Death of Polycarp, Bishop of Smirna and Disciple of Apostle John
"As Polycarp was being taken into the arena, a voice came to him from heaven: “Be strong, Polycarp and play the man!” No one saw who had spoken, but our brothers who were there heard the voice. When the crowd heard that Polycarp had been captured, there was an uproar. The Proconsul asked him whether he was Polycarp. On hearing that he was, he tried to persuade him to apostatize, saying, “Have respect for your old age, swear by the fortune of Caesar. Repent, and say, ‘Down with the Atheists!’”
Polycarp looked grimly at the wicked heathen multitude in the stadium, and gesturing towards them, he said, “Down with the Atheists!” “Swear,” urged the Proconsul, “reproach Christ, and I will set you free.” “86 years have I have served him,” Polycarp declared, “and he has done me no wrong. How can I blaspheme my King and my Savior?”
Yeah, you can know them not by Kanzu et al but follow Christ unto death. Two verses comes to my mind that Polycarp might have learned from Apostle John:
"Fear none of those things which thou shalt suffer: behold, the devil shall cast some of you into prison, that ye may be tried; and ye shall have tribulation ten days: be thou faithful unto death, and I will give thee a crown of life." - Rev 2:10
And of Christians in general:
Hebrews 11
32And what shall I more say? for the time would fail me to tell of Gedeon, and of Barak, and of Samson, and of Jephthae; of David also, and Samuel, and of the prophets: 33Who through faith subdued kingdoms, wrought righteousness, obtained promises, stopped the mouths of lions, 34Quenched the violence of fire, escaped the edge of the sword, out of weakness were made strong, waxed valiant in fight, turned to flight the armies of the aliens. 35Women received their dead raised to life again: and others were tortured, not accepting deliverance; that they might obtain a better resurrection:
36And others had trial of cruel mockings and scourgings, yea, moreover of bonds and imprisonment: 37They were stoned, they were sawn asunder, were tempted, were slain with the sword: they wandered about in sheepskins and goatskins; being destitute, afflicted, tormented; 38(Of whom the world was not worthy🙂 they wandered in deserts, and in mountains, and in dens and caves of the earth.
Kwanza mimi sio mkatoliki so siwezi kuwa msemaji wa wakatoliki. Na huo mchoro haujautoa kwenye Biblia. So sielewi unachojaribu kusema.Unasema Yesu ni Mungu mkuu. Ukiangalia mchoro wa utatu kwenye biblia Yesu alikuwa anaomba kwa baba. We kwa kufikiri kwako huo mchoro unavyoona nimepotosha? Huu nimeutoa kwenye kurasa za wakatoliki.
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
ila mkuu kumjua Mungu hauwezi kumjua kupitia akili yako tuu lazima uwe na imanijambo lolote linalohusu akili uwa ni Tunu kwa wachache.