Naomba majibu rasmi ya maandishi kutoka BOT juu ya wao kupokea pesa haramu zilizopitwa na wakati, BOT inafanya biashara na maharamia?

Naomba majibu rasmi ya maandishi kutoka BOT juu ya wao kupokea pesa haramu zilizopitwa na wakati, BOT inafanya biashara na maharamia?

Nimewasilikiliza leo huku nikiwa Bado usingizini, wamesema pamoja na kwamba hizo hela hazipo kwenye mzunguuko lakini bado ni fedha halali kwa matumizi hivyo wanachofanya sasa ni kutimiza takwa la kisheria kwamba kufikia April mwishoni 2025 ukiwa nayo itakuwa ni karatasi kama karatasi zingine aka thamaniless na ndio maana wametoa tangazo rasmi.

Wamesema ni muhimu kubadilisha ila sio lazima hasa Kwa wale wanaotaka kubaki kumbukumbu

N:B. Nawasilisha nilichosikia tu mie basi huku na mie nasoma comment za wengine
Hicho walichosema ni rubbish, hizo pesa zilishapoteza uhalali wake siku ile ya mwisho ya kubadili ilipopita kwa mujibu wa tangazo lao wenyewe la miaka hiyo wakati wanabadili. Hizo ni pesa haramu!
 

View: https://www.instagram.com/p/DBp7qyuCpde/?igsh=dGE5N3EyYjNqN3pz

Tukuamini wewe au tuwaamini hawa waliofanya mahojiano na Ofisa wa BOT? Hizo pesa ulizoweka wewe ipi ni ya mwaka 1985?

Hizo zilizoko hapo zenye dot ndizo zinatakiwa kuondolewa kwenye mzunguko. Sasa hiyo elfu 10 mwamba uliyoweka hapo mbona ilishafutwa kitambo? Halafu huyo Afisa aliyehojiwa ambaye kwa bahati mbaya sikumsikiliza tutamwaminije kwa kuropoka Kwake tuache kuamini maandishi yaliyoko kwenye gazeti la serikali?
 
Hizo zilizoko hapo zenye dot ndizo zinatakiwa kuondolewa kwenye mzunguko. Sasa hiyo elfu 10 mwamba uliyoweka hapo mbona ilishafutwa kitambo? Halafu huyo Afisa aliyehojiwa ambaye kwa bahati mbaya sikumsikiliza tutamwaminije kwa kuropoka Kwake tuache kuamini maandishi yaliyoko kwenye gazeti la serikali?
Kwenye pesa ulizoweka wewe, ipi ni ya mwaka 1985?
 
Ila JF aiseee! Kuna majitu ya hovyo hovyo yanajifanya kujua wakati ukweli ni kwamba hayajui! Jitu linakuja kubandika noti sijui ya mwaka gani na kuwatuhumu BOT. Kwa hiyo unataka tuendelee kutumia kachumbari? Wacha waziondoe hizo za zamani. Mleta mada hiyo noti uliyobandika hapo haiko miongoni mwa noti zitakazofutwa matumizi yake. Jitafakari upya siyo kuropoka tu! BOT wako sahihi!View attachment 3136969
Kwahiyo hizo pesa ndio zilikuepo 1985?
 
Kwahiyo hizo pesa ndio zilikuepo 1985?
Hivi ni nani tena katangaza hela ya 1985? Mbona walikuwa wazi kabisa kwamba ni zile za 2003 na baadhi za 2010? Hiyo ya 1985 mbona tulizibadilisha zamani? Yaani zinaondolewa mara ya pili?
 
Hebu leta tangazo la serikali linalosema wanaondoa hela ya 1985? Msiwalishe maneno bwana!
IMG_2128.jpeg


Kumbe hata tangazo lao hujasoma, halafu unakuja kupinga pinga tu..
 
View attachment 3137257

Kumbe hata tangazo lao hujasoma, halafu unakuja kupinga pinga tu..
Sasa wewe mkuu mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo? Kwenye hizo noti zilizowekwa kwenye tangazo lao ni ipi ya mwaka 1985? Utasema noti ya shilingi 20? Je, ilikuwa bado iko kwenye mzunguko? Mimi tangazo nililonalo mbona linasema noti za 2003 na 2010?
 
Sasa wewe mkuu mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo? Kwenye hizo noti zilizowekwa kwenye tangazo lao ni ipi ya mwaka 1985? Utasema noti ya shilingi 20? Je, ilikuwa bado iko kwenye mzunguko? Mimi tangazo nililonalo mbona linasema noti za 2003 na 2010?
Kwahiyo nikusikilize wewe au nisikilize tangazo rasmi la BOT? Kama wewe unatangazo lako tofauti liweke hapa.

Hiyo elfu 10 ya bluu ni ya mwaka 1997, nayo inapokelewa.., japo ilishafika ukomo wake na kuharamishwa tangu 2004 huko..

Sasa ndio tunahoji, kwanini BOT wanapokea pesa haramu?!

IMG_2130.jpeg
 
Ila JF aiseee! Kuna majitu ya hovyo hovyo yanajifanya kujua wakati ukweli ni kwamba hayajui! Jitu linakuja kubandika noti sijui ya mwaka gani na kuwatuhumu BOT. Kwa hiyo unataka tuendelee kutumia kachumbari? Wacha waziondoe hizo za zamani. Mleta mada hiyo noti uliyobandika hapo haiko miongoni mwa noti zitakazofutwa matumizi yake. Jitafakari upya siyo kuropoka tu! BOT wako sahihi!View attachment 3136969
Hapa inaonesha wewe ndio unaropoka maana kwenye tangazo lao kuna noti ambazo zilivhapishwa kabla ya hizo tajwa, nazo zote zinapaswa kubadilishwa

Sasa hapo mropokaji ni nani, kama sio wewe ambae hata tangazo haujalisoma
 
S
Wapi nimesema wanafuta noti za zamani na kuleta mpya? Hapo nimekueleza tu utaratibu unaotumika pale wanapohitaji kufuta za zamani na kuleta mpya.

Hizo noti za zamani ambazo zilishafutwa na sasa wanataka kuzipokea zilishaharamishwa na tangazo walilotoa miaka hiyo juu ya ukomo wa kuzibadili.., hivyo ni haramu kuzipokea sasa!

Wanaposema ‘kuziondoa kwenye mzunguko’ wakati hazipo tena kwenye mzunguko ndio kichekesho kilipo hapo.
Sasa kama wameweza kuandikisha majina ya watu waliofariki siku nyingi kwenye daftari la wapiga kura watashindwa kufuta kitu kilichofutwa.
 
Kama nikweli, Ndio maana sisi tunasema tuende kwenye Crypto Currency huu ujinga wa kuamka na kuprint pesa hautakuwepo. Pesa kuprint inatakiwa iwe kama kuchimba dhahabu jasho lazima likutoke kupasua Mwamba na thamani yake inakuwa juuu.


Mimi huwa siwaelewi Kabisa Hawa viongozi wa kutoka visiwani, nchi wanaona kama shamba la Bibi. Haya si maamuzi ya kitalaam zaidi ya kisiasa na shinikizo za familia.

Ndio maana namuelewa Sasa yule mwalimu wa chuo kikuu na kundi lake kutaka kumzuia mama Abdul. Lawama zote tuzipele Kwa yule mstafuu wa jeshi aliyekomalia kusimamia Katiba. Bora nchi tungempa Hata comrade huu upuuzi usingekuwepo.
 
Kama nikweli, Ndio maana sisi tunasema tuende kwenye Crypto Currency huu ujinga wa kuamka na kuprint pesa hautakuwepo. Pesa kuprint inatakiwa iwe kama kuchimba dhahabu jasho lazima likutoke kupasua Mwamba na thamani yake inakuwa juuu.


Mimi huwa siwaelewi Kabisa Hawa viongozi wa kutoka visiwani, nchi wanaona kama shamba la Bibi. Haya si maamuzi ya kitalaam zaidi ya kisiasa na shinikizo za familia.

Ndio maana namuelewa Sasa yule mwalimu wa chuo kikuu na kundi lake kutaka kumzuia mama Abdul. Lawama zote tuzipele Kwa yule mstafuu wa jeshi aliyekomalia kusimamia Katiba. Bora nchi tungempa Hata comrade huu upuuzi usingekuwepo.
Ni kweli, kuchapisha pesa ili kulipa mishahara ndio imesababisha shilingi ya Tz kuporomoka kama maporomoko ya Rufiji..

Na sasa ni kama wanatafuta tu kisingizio cha kuchapisha pesa na kuleta inflation zaidi, maana pesa za zamani zilizokwisha haramishwa wanazo wao wenyewe..
 
Kwahiyo nikusikilize wewe au nisikilize tangazo rasmi la BOT? Kama wewe unatangazo lako tofauti liweke hapa.

Hiyo elfu 10 ya bluu ni ya mwaka 1997, nayo inapokelewa.., japo ilishafika ukomo wake na kuharamishwa tangu 2004 huko..

Sasa ndio tunahoji, kwanini BOT wanapokea pesa haramu?!

View attachment 3137278
Daaa hili zee lili dinya mama yake mzazi 😕😕😕😕
 
Back
Top Bottom