Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #121
Wanafana kiasi fulani mbona nilan sio mtoto wa diamond na anamlea tu .Wewe una uhakika gani yule mtoto wa hamisa ni wa diamond? Tuanzie hapo kwanza
Wapi ambapo nimekudharau?Kujadili jambo sio kudharauliana
Hamisa asingeenda ustawi wa jamii huyo mtoto wake angepata treatment nzuriWanafana kiasi fulani mbona nilan sio mtoto wa diamond na anamlea tu .
Hamisa tatizo lake mtoto kamchukua yeye sana
Uongoo uongooHamisa asingeenda ustawi wa jamii huyo mtoto wake angepata treatment nzuri
Tufunge mjadala sasa tujadili mambo mengineNisiwe mnafki toka nijiunge jf Unique Flower ndiye mwanamke mjinga niliyewahi kumjua
Tokea nipate ufahamu wangu binadamu mtakatifu ndio mtu mpuuzi mwanaume asiyejitambua niliyewahi kumjua.Nisiwe mnafki toka nijiunge jf Unique Flower ndiye mwanamke mjinga niliyewahi kumjua
Nahisi kuna kitu kinakuumiza sana embu jaribu ukitoe kisiendelee kukuumiza uwe huru nafsini mwako.Tokea nipate ufahamu wangu binadamu mtakatifu ndio mtu mpuuzi mwanaume asiyejitambua niliyewahi kumjua.
🤔Ukienda kwa imani ya karma Kuna kitu hakiko sawa kwa mwanamke yakitokea hao Kuna conditions fulani umeenda against mfano umepakuliwa bila ya kuolewa so katika akili za wanaume wanajua Kuna jamaa mwingine anapakua pia kimtindo...swala la kuhudumia mwanamke kama unaliwa ovyo hata ukipata mimba Inakuwa na mushkeri huwezi kujua ya nan? msitudanganye sometime mnakuwa vicheche daily mnagongwa mpaka mnachnganya madesa hujui jamaa yupi kakupa mimba ninayo mifani hai kibao..
Ukiwa ulishawai kuziniwa sana na mwanaume basi we na huyo mwanaume nyote wazinzi maana mnafanya mapenzi bila kuoana.Na mzinzi anaoa na kuolewa na mzinzi mwenzie
Kuhudumia ni mapenzi kuhudumia ni raha ila kama mwanamke halijielewi sometime umejibebea mimba kumbe msela alitaka kupita means kwa mda huo hauna thamani..
Wengi wa wanawake ni matahira na wendawazimu , we ushajua ni mme wa mtu kwa nn udate nae? kwa nn wendawazimu na matahira point kubwa ni kwamba wanaangalia kwamba eti anakuhudumia ni ujinga!!
Uwezu kumshtaki jamaa hamjafunga ndoa hata hamjuani kwa wazazi alikuwa anakutumia kwa Siri kama bangi au madawa ya kulevya.
Hebu fuata yako badala umshangae aliyenitusi unakuja kunifuata mimi .Nahisi kuna kitu kinakuumiza sana embu jaribu ukitoe kisiendelee kukuumiza uwe huru nafsini mwako.
hahaha sawa mkuuTufunge mjadala sasa tujadili mambo mengine
Sio mimi jamani aisee mbona nimeshasema ungejua tu wala usingeongeaAchana na mapenzi fanya mambo mengine.Mapenzi hayakuumbiwa kila mtu
Pole sana yatapita tu hayo hii dunia hainaga fair.Hebu fuata yako badala umshangae aliyenitusi unakuja kunifuata mimi .
Sina shida hata ujue hiloo
Jamani ungejua wewe ungetamani sina shida na wanaume wa jf tena niwatu ambao wapo online hamuonani bora zila za dates mnapigiana simu munaonanaPole sana yatapita tu hayo hii dunia hainaga fair.
Ni kweli hapa ni kwa ajili ya kutoa stress tu wala isikupe shida tuenjoy maisha maadamu uzima upo.Jamani ungejua wewe ungetamani sina shida na wanaume wa jf tena niwatu ambao wapo online hamuonani bora zila za dates mnapigiana simu munaonana
Kama huji na comment za raha basi unikome lazima nikuchambeNi kweli hapa ni kwa ajili ya kutoa stress tu wala isikupe shida tuenjoy maisha maadamu uzima upo.