Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Mm naona mengine ni maamuz ya mwanamke na kama ni upuuz bas wetu wenyew kama hutak kuzaa jizuie na usizae kutegemea Matunzo uwe umejiandaa kisaikolojia kuwa mama
Hayo mengine sijui
Kwahapa, shikamoo dada Sophy!
 
Hivi unadhani kuwa mie ni yule bidada ambaye humu walikuwa wananidis .....
Mie now ni mwanamke ninaye jitambua siitaji wanaume wa humu nisioowaona .

Wanaume wapo mijini , mitaani nje ya mji wa Arusha ya Tanzania ambao naweza wapata kiurahisi nikitaka mimi sijachakaa mpaka jamii forum wanipatie.

Halafu mwanaume ni yule umempenda . Sio lazima awe billionea.

Kingine basi nikupashe siitajikuungani
shiwa watu humu ninaye Yesu wangu amenipa furaha ya moyo wangu .

Akanionyesha njia ya uzima ambayo inaraha ndani yake naananiepushia mapenzi ya watu ya sio faa .
Sio dili tena kwangu pole mwaya .

Baki humu ukisifiwa na vichaa bye ...
Kuna mtu mmoja aliniambia hili tunakuja humu kujiliwaza tu siku ziende hatumaanishi sijamwelewa ila sasa nimemuelewa .

Na raha sana mwaya .
Mfuate huyu mtu Mungu na ndio utampata mtu huyu YESU atakuonyesha njia saa hihi.
Sawa dada unique flower nimekuelewa...Hongera kwa kufanyika mwana.
 
Hivi unadhani kuwa mie ni yule bidada ambaye humu walikuwa wananidis .....
Mie now ni mwanamke ninaye jitambua siitaji wanaume wa humu nisioowaona .

Wanaume wapo mijini , mitaani nje ya mji wa Arusha ya Tanzania ambao naweza wapata kiurahisi nikitaka mimi sijachakaa mpaka jamii forum wanipatie.

Halafu mwanaume ni yule umempenda . Sio lazima awe billionea.

Kingine basi nikupashe siitajikuungani
shiwa watu humu ninaye Yesu wangu amenipa furaha ya moyo wangu .

Akanionyesha njia ya uzima ambayo inaraha ndani yake naananiepushia mapenzi ya watu ya sio faa .
Sio dili tena kwangu pole mwaya .

Baki humu ukisifiwa na vichaa bye ...
Kuna mtu mmoja aliniambia hili tunakuja humu kujiliwaza tu siku ziende hatumaanishi sijamwelewa ila sasa nimemuelewa .

Na raha sana mwaya .
Mfuate huyu mtu Mungu na ndio utampata mtu huyu YESU atakuonyesha njia saa hihi.
Punguza makasiriko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .
Njoo nikuoe mimi dada. Nakuahidi hutapta hizo shida kabisa... Nitakupenda, nitakuheshimu,nitakujali na nitakutunza. Pole kwa hayo yaliyokukuta kama ni wewe. Kama ni rafikiyo pia tuwasiliane private. Sitotaka sex naye mpaka tumekubaliana kuwa pamoja.
 
Utaona kati yangu na wewe nani Mungu atamuumbua
Hako ka-mungu kako kazungu! kanako furahia kuumbua watu hakoo!! nikikashika heee!!! kwanza haka nihusu kabisaaa!! tena kamwambie wazi kunakijana sugu anitwa pichu kodada

Anakusubiri njia panda akupige makofi !! ...atakuja kukusimulia vizuri.......
 
Hako ka-mungu kako kazungu! kanako furahia kuumbua watu hakoo!! nikikashika heee!!! kwanza haka nihusu kabisaaa!! tena kamwambie wazi kunakijana sugu anitwa pichu kodada

anakusubiri njia panda akupige makofi !! ...atakuja kukusimulia vizuri.......
Kweli shetani yupo kazini
 
Uzi umeegemea upande mmoja unaangalia matokeo kabla ya sababu, Uzi wa hovyo
 
Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .

😂😂😂

Unazungumzia special number sio
 
Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .
Ukiacha jeuri utahudumiwa ila kwa sasa acha wakusaidie akina michepuko.
 
Unajua wengine wanadanganywa usitoe mtoto ni baraka .
Jiulize hili amri ya sita usizini wewe unazini unabeba kitu cha shida hicho sasa hujioni unaleta shida .

Baraka zitoke wapi na umezini unaanza kusumbua wanaume za watu kisa mtoto anataka mahitaji aliyekuzalisha ameoa mtu mwingine so nani anataka presha na vioja duniani??.

Inauma watoto wa hamisa wanatengwa na baba zao ila nilan na tifa wanaraha mzee baba yule wa redio 5 anaraha na wanae wandoani .

Sasa huoni hiyo ni presha aisee nikitu siwezagi inauma halafu umfuate sasa atoe hata elfu nikazi sana
Wewe una uhakika gani yule mtoto wa hamisa ni wa diamond? Tuanzie hapo kwanza
 
Wewe mpuuzi usinifananishe nahao malaya zako waliokosa akili kama wewe
Dada kuwa mpole hapa tupo kwenye mjadala na siku zote kwenye mjadala kuna mawazo tofauti tofauti hakuna haja ya kutoa kauli chafu maana lengo ni kujifunza
 
Hamisa UPUMBAVU wake TU,

Hakuna mwanaume mbabe kwa mwanamke mnyenyekevu.

Hamisa Alifanya kosa kubwa Sana kwenda kuomba matunzo ustawi wa jamii na mahakamani,akiweka na limit kabisa.

Wanaume huwa tuna vinyongo Sana,
Sometimes Kosa dogo tu ila vinyongo vinyongo vyetu vinaenda Hadi kwa watoto, ukimsahau mama Hadi mtoto unafuta kabisa kichwani liwalo na liwe.

Ukilazimisha pesa ya kula mahakamani,
Unapewa pesa kamili kwa mujibu wa sheria, habar za starehe na Bata hizo sahau.

Hata Kama nilikua Nayo,uwezo upo, sikupi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umemaliza kila kitu kwa mujibu wa diamond mwenyewe walikubaliana mahusiano yao yawe ya siri yeye akaenda kutangaza mtandaoni shida nyingine ikawa hivyo
 
Back
Top Bottom