Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machoziii. Una nn lakini wee?
 
Wee kwa fix hujambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaah
 
Panyaaa ulitegwa na ka punje ka karanga🤣🤣🤣🤣

Unatuma mahabaaa unasema nimekosea akajibu okay usijali....what next?? Kwanza ni kujiharibia anajua kumbe kuna mwingine ndio ulikua unamtumia
Mimi alinitumia akasema kakosea, nikasema hapa hapa nishapata pa kuanzia, kumbe yeye alitumia kama mbinu tu baadae ananiambia mbona sijatumia nguvu kubwa kumtongoza, nikamwambia sababu n tayari ulikuwa ushanipenda. Hatukudumu.
 
🤣🤣🤣🤣 Na kwanini unyimwe namba?? Itakuwa kuna sehemu unazembea cazee
Huwa najua yuko kwenye huba zito, mwanamke akiwa free agent au ana hang bila mtu wa kumzagamua for a while huwa wako vulnerable. Au ikiwa aliyenaye kamchoka ndio huwa wepesi kutoa namba. So sihangaikagi na mtu ambaye hana interest na mimi.
 
We nawee. Hebu acha kujifanya Zinjanthropus uliyeanza na dunia. Kwenye mada ya utoto umefuata nini?
Evelyn amekuuliza, umeshindwa kabisa kumuingiza jamaa Kingi?

Yaani na machepele yote hayo umeshindwa kabisa kumfanya jamaa atikise nyavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…