Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

🀣🀣🀣🀣 hamna maana nyie, na ukiona mwanamke had kakubali kukupa namba ujue na vya sirini atakupa ni suala la muda..!!
Tena ukichelewa kumtafuta anakutafuta yy kukuuliza mbona hupigi au bando huna??
Imebidi nishangae kama mpenzi wa ex wa yombo msukuma πŸ˜‚
 
Wewe mwenyewe si mwanamke.
Hebu muambie kutokana na uzoefu wako.
 
Yani yeye ndo kaanza kumtaka ila anataka aonekane katingozwa, Wanawake ni wanafiki sana hasa huyo rafiki ako ni kicheche haswa.
Ati wakulane tuπŸ™„πŸ™„πŸ™„

Mwanetu akaze tu hakuna demu hapo kuna UTI sugu na Heartbeat tu.
 
Ukimwi upo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…