Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Iyo pc ni mbovu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaMawasiliano
Awasliane nae mara nyingi zaidi huku akimuulizia vitu sensitive
Mawasiliano yao yawe ya usiku mara nyingi
(Mm nikiona mdada anawasiliana na mm mara nyingi zaidi, it means she has no one...na hyo inanipa chance ya kumtongoza. It happened to me twice, na hata haikuwa ngumu)
Zawadi + outing
Ampatie zawadi sensitive kama boksa, mkanda, vest...huku akichombeza Kwan maneno, I wish to see ilivyokutoa [emoji23][emoji23]
Hapo hata DeepPond atafikiria kuongeza mchepuko mwingine tofauti na mama J [emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Depal unatumia bangi ya wapi nikuletee?Hapo akisifiwa, ye akireply aanze kutupia na tu kopa mixer tu emoj mbali mbali tunako hamasisha. Easy tu, uwaga hawakatai hao watu.
Kuna huyo niliyejifunzia enzi hizo za miaka ya TANU😂
Nilimchanaga Akajibu …. Depal, I’m married.
Nikamuuliza.. kwani ukija unakuja na mke wako?
Akaniuliza unatumia bangi ya wapi nikuletee? 🤣🤣
Nikamwambia cha hapo tu jirani mjini Nairobi 😛😛…
Basi ngoma ya Shenseea ikawa completed.
“You think you coulda get inna my feelings? (Nah)
You couldn't get me fi sekkle down?
Me give you a hit and run..
Chat nae tu, vistory vya hapa na pale mixa vi imoji, muulize viswali personal, interest zake.....Haki ya nani hajui pa kuanzia
Anataka aliwe tu alafu anaogopa kuonekana kicheche jmnHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Mwambie Apache umalayaHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Hi Hali ya hewa huwa inafanya wanawake wawe Na hisia Sana mpaka unajishangaaushuzi mtupu
watu wanapiga jembe uko mashambani nyie ka mvua kidogo tuh ni ngono kichwani ndio inawazunguka
Amwambie tu ukweli.Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
🤣🤣🤣 yaan baba na comments zako🤣🤣🙌🏿ushuzi mtupu
watu wanapiga jembe uko mashambani nyie ka mvua kidogo tuh ni ngono kichwani ndio inawazunguka
Who is this lucky BASTARDOfcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu
Nenda Jukwaa la Kilimo na Pembejeo mkuu, Wayu wanajadili maswala ya Dawa za Kukuzia huko. Waache Vijana watumie umri wao sahihi.ushuzi mtupu
watu wanapiga jembe uko mashambani nyie ka mvua kidogo tuh ni ngono kichwani ndio inawazunguka
Tutatoa ushauri kulingana na sura yako.Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Au anamchota akili ana muenjoy tuKwanini anataka ku force mambo? Haoni kwamba anataka kujikaanga na mafuta yake mwenyewe? Kama huyu mwanaume amempenda, basi kuna siku atamwelezea kila kitu. Pengine bado anampima ili aone kama ametulia, ana ma-boy friend wengine nk. Au pengine hampendi kabisa ila anamwona kama rafiki wa kawaida tu. Au pengine huyo mwanaume hajamkubali kwa asilimia zote hivyo anakosa motisha wa kusema chochote. Kulazimisha chochote kwenye hali kama hii matokeo yake yatakuwa siyo mazuri.