Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Am sure Uyo kaka ana muenjoy tu hayuko serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu hapo asee narudia hakuna kitu hapo km anataka kuliwa' na kuachwa sawa mwambie ajitongozeshe na namna pekee ya kujitongozesha ni kufunguka ya moyoni yaan amwage Supu ya kongoro alafu asikilizie majibu ikiwa ni NO basi aangalie upande mwingine tu Ila ungeweza picha ya rafiki yako tungemsaidia zaidi na ungeweza kuweka na Namba yake ya hio WhatsApp ili na Sisi tujue hizo status anazozisifia ni zipiakiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Nkiskia tu hio mm naomba papuchi😅Hii mbinu wanatumia sana hii utasikia 'msalimje wifi'
Umefikiaje hii konklushon🙄halafu uzuri wao hawakataagi
HahahahaaHii mbinu wanatumia sana hii utasikia 'msalimje wifi' kumbe unaangalia upepo unaelekea wapi baada ya kutupa hio ndoani yake je! Samaki atanasa kwenye dema? Akisema tu hayupo au sina tayari hatua inayofuata ni kujilengesha zaidi
Mawasiliano
Awasliane nae mara nyingi zaidi huku akimuulizia vitu sensitive
Mawasiliano yao yawe ya usiku mara nyingi
(Mm nikiona mdada anawasiliana na mm mara nyingi zaidi, it means she has no one...na hyo inanipa chance ya kumtongoza. It happened to me twice, na hata haikuwa ngumu)
Zawadi + outing
Ampatie zawadi sensitive kama boksa, mkanda, vest...huku akichombeza Kwan maneno, I wish to see ilivyokutoa [emoji23][emoji23]
Hapo hata DeepPond atafikiria kuongeza mchepuko mwingine tofauti na mama J [emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa Ni playboyAtumie mbinu ambazo sisi wanaume tunatumia.
Amualike date( demu alipie)
Au
Amuite gheto, apike chakula kizuri.
jamaa akichomoa hapo mwambie shost yako akitulize tuu kimoyo chake.
Sema hapo kuna mambo kadhaa jamaa hajamkubali kivile.
Jamaa ana mtu wake.
Au ni slow actor .
Huyu anasema eti bidadah hataki longterm relationship ,no future,, anataka tu lile tunda la 🌲 wa kati liliweHope urassa afanye harakati zote ila asije akajichoresha live, atateseka, shit zikianza, kama ametoa signal zote jamaa amekaza head![]()
, inatosha aendelee kukisugua tu, vinginevyo atakuja kulia kama mbwa mdomo juu![]()
Nimeacha kutumia 🤣Depal unatumia bangi ya wapi nikuletee?
Yuko single.
Hapo akisifiwa, ye akireply aanze kutupia na tu kopa mixer tu emoj mbali mbali tunako hamasisha. Easy tu, uwaga hawakatai hao watu.
Kuna huyo niliyejifunzia enzi hizo za miaka ya TANU[emoji23]
Nilimchanaga Akajibu …. Depal, I’m married.
Nikamuuliza.. kwani ukija unakuja na mke wako?
Akaniuliza unatumia bangi ya wapi nikuletee? [emoji1787][emoji1787]
Nikamwambia cha hapo tu jirani mjini Nairobi [emoji14][emoji14]…
Basi ngoma ya Shenseea ikawa completed.
“You think you coulda get inna my feelings? (Nah)
You couldn't get me fi sekkle down?
Me give you a hit and run..
kweli tumshukuru mamah sasa!Huyu anasema eti bidadah hataki longterm relationship ,no future,, anataka tu lile tunda la 🌲 wa kati liliwe
hizo gharama zote za nini, yeye aseme tu anataka kopo la sukari.Mwambie amualike dinner waende sehemu nzuri wapate misosi ka wine kdg kuondoa aibu, mengine yatajipa on the sport