Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Hakuna kitu hapo asee narudia hakuna kitu hapo km anataka kuliwa' na kuachwa sawa mwambie ajitongozeshe na namna pekee ya kujitongozesha ni kufunguka ya moyoni yaan amwage Supu ya kongoro alafu asikilizie majibu ikiwa ni NO basi aangalie upande mwingine tu Ila ungeweza picha ya rafiki yako tungemsaidia zaidi na ungeweza kuweka na Namba yake ya hio WhatsApp ili na Sisi tujue hizo status anazozisifia ni zipi
 
Unfortunately huyo dada ambaye ni wewe sio type ya huyo jamaa ukijichanga una usingle mama unakuita
 
Hii mbinu wanatumia sana hii utasikia 'msalimje wifi' kumbe unaangalia upepo unaelekea wapi baada ya kutupa hio ndoani yake je! Samaki atanasa kwenye dema? Akisema tu hayupo au sina tayari hatua inayofuata ni kujilengesha zaidi
Hahahahaa
 
Mawasiliano
Awasliane nae mara nyingi zaidi huku akimuulizia vitu sensitive
Mawasiliano yao yawe ya usiku mara nyingi
(Mm nikiona mdada anawasiliana na mm mara nyingi zaidi, it means she has no one...na hyo inanipa chance ya kumtongoza. It happened to me twice, na hata haikuwa ngumu)
Zawadi + outing
Ampatie zawadi sensitive kama boksa, mkanda, vest...huku akichombeza Kwan maneno, I wish to see ilivyokutoa [emoji23][emoji23]
Hapo hata DeepPond atafikiria kuongeza mchepuko mwingine tofauti na mama J [emoji23][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23]
 
Hope urassa afanye harakati zote ila asije akajichoresha live, atateseka, shit zikianza, kama ametoa signal zote jamaa amekaza head
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
, inatosha aendelee kukisugua tu, vinginevyo atakuja kulia kama mbwa mdomo juu
Huyu anasema eti bidadah hataki longterm relationship ,no future,, anataka tu lile tunda la 🌲 wa kati liliwe
 
Hapo akisifiwa, ye akireply aanze kutupia na tu kopa mixer tu emoj mbali mbali tunako hamasisha. Easy tu, uwaga hawakatai hao watu.

Kuna huyo niliyejifunzia enzi hizo za miaka ya TANU[emoji23]
Nilimchanaga Akajibu …. Depal, I’m married.
Nikamuuliza.. kwani ukija unakuja na mke wako?
Akaniuliza unatumia bangi ya wapi nikuletee? [emoji1787][emoji1787]
Nikamwambia cha hapo tu jirani mjini Nairobi [emoji14][emoji14]…
Basi ngoma ya Shenseea ikawa completed.
“You think you coulda get inna my feelings? (Nah)
You couldn't get me fi sekkle down?
Me give you a hit and run..

Aaaah!sensei[emoji1430][emoji1430][emoji1430]

Nimeelewa hii mbinu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom