Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Asante sana
 
Depal unatumia bangi ya wapi nikuletee?
 
Anataka aliwe tu alafu anaogopa kuonekana kicheche jmn
 
Mwambie Apache umalaya
 
Amwambie tu ukweli.
Akikubaliwa haya, akikataliwa haya.
 
Tutatoa ushauri kulingana na sura yako.
Tuma picha yako kwanza tuone
 
Au anamchota akili ana muenjoy tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…