Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Hakuna kitu hapo asee narudia hakuna kitu hapo km anataka kuliwa' na kuachwa sawa mwambie ajitongozeshe na namna pekee ya kujitongozesha ni kufunguka ya moyoni yaan amwage Supu ya kongoro alafu asikilizie majibu ikiwa ni NO basi aangalie upande mwingine tu Ila ungeweza picha ya rafiki yako tungemsaidia zaidi na ungeweza kuweka na Namba yake ya hio WhatsApp ili na Sisi tujue hizo status anazozisifia ni zipi
 
Unfortunately huyo dada ambaye ni wewe sio type ya huyo jamaa ukijichanga una usingle mama unakuita
 
Hii mbinu wanatumia sana hii utasikia 'msalimje wifi' kumbe unaangalia upepo unaelekea wapi baada ya kutupa hio ndoani yake je! Samaki atanasa kwenye dema? Akisema tu hayupo au sina tayari hatua inayofuata ni kujilengesha zaidi
Hahahahaa
 

[emoji23][emoji23]
 
Hope urassa afanye harakati zote ila asije akajichoresha live, atateseka, shit zikianza, kama ametoa signal zote jamaa amekaza head , inatosha aendelee kukisugua tu, vinginevyo atakuja kulia kama mbwa mdomo juu
Huyu anasema eti bidadah hataki longterm relationship ,no future,, anataka tu lile tunda la 🌲 wa kati liliwe
 

Aaaah!sensei[emoji1430][emoji1430][emoji1430]

Nimeelewa hii mbinu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…