Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Kwangu mimi nadhani tena ndiyo itakuwa powa. Japo mwanzisha thread amesema hajali hata kama atakuwa wa hit and run, lakini kwangu naona anaongozwa na tamaa na siku zote tamaa mbele mauti nyuma. Bila kujua ni kwa nini huyo mwanaume anasitasita ni kujiingiza kwenye hatari au kudhalilishwa utu pasi na sababu.
Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
 
kwahiyo rafiki yako anaomba mbinu za kuuficha ukicheche wake huku ana hamu ya kunyanduliwa tu na huyo jamaa 🐒 🐒

mweleze tu bayana,
Tamaa sio kitu kizuri na mapenzi kazini ni kitovu cha uzembe.
Daima asipange kuharibu time za watu, abaki njia kuu 🐒
Mi nakwambia rafiki yangu sio kicheche. Hata tukiwa our prime years hakuwahi kutangatanga. Amemkubali tu mtu this once in her life.
 
Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
Inategemea ''ntu na ntu'' Wewe kama ulikuwa na aibu siyo wanaume wote wanakosa confidence kwa waliowazidi kiumri. Anyways, hii scenerio ni wewe umebuni tu lakini mleta thread hakusema ndiyo iko hivyo.
 
Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
Ila Extrovert 35 ni mshangazi kweli?
 
Back
Top Bottom