Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Sasa si uje ubang na wazee wenzio 😂 we unakimbilia viben 10 tena?Mi mzee bwana. Third floor nishaizoea kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si uje ubang na wazee wenzio 😂 we unakimbilia viben 10 tena?Mi mzee bwana. Third floor nishaizoea kabisa.
Wewe asante kwa kunimention mama mchungaji jamani 🥰🥰🥰🥰Nafikiri ni vile nilivyokuwa na kamuonekano Fulani hivi kama Unique Flower ndo maana walikuwa hawachomoi..
Joke
Wazee mna stress mnaongea wenyewe barabarani, hadi tunajua machiziSasa si uje ubang na wazee wenzio 😂 we unakimbilia viben 10 tena?
Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.Kwangu mimi nadhani tena ndiyo itakuwa powa. Japo mwanzisha thread amesema hajali hata kama atakuwa wa hit and run, lakini kwangu naona anaongozwa na tamaa na siku zote tamaa mbele mauti nyuma. Bila kujua ni kwa nini huyo mwanaume anasitasita ni kujiingiza kwenye hatari au kudhalilishwa utu pasi na sababu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅 fala wwWazee mna stress mnaongea wenyewe barabarani, hadi tunajua machizi
Mi nakwambia rafiki yangu sio kicheche. Hata tukiwa our prime years hakuwahi kutangatanga. Amemkubali tu mtu this once in her life.kwahiyo rafiki yako anaomba mbinu za kuuficha ukicheche wake huku ana hamu ya kunyanduliwa tu na huyo jamaa 🐒 🐒
mweleze tu bayana,
Tamaa sio kitu kizuri na mapenzi kazini ni kitovu cha uzembe.
Daima asipange kuharibu time za watu, abaki njia kuu 🐒
Ajabu... Hata kutuma hii, kama ninavyokutumia wewe... 💘💘💘❤️Zurie usitufanye sie watoto😹😹...., Kweli umekosa pa kuanzia??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3516]Ajabu... Hata kutuma hii, kama ninavyokutumia wewe... [emoji180][emoji180][emoji180][emoji3590]
Hahah Usiniite kungwi sasa,Asante kwa mbinu kungwi
Kwani siku hizi wanaume wanatongoza?? Akikuomba namba ndio tyr ushatongozwa hapo jamaa linakulia timing sema ww una haraka tyuuu.!!!
Inategemea ''ntu na ntu'' Wewe kama ulikuwa na aibu siyo wanaume wote wanakosa confidence kwa waliowazidi kiumri. Anyways, hii scenerio ni wewe umebuni tu lakini mleta thread hakusema ndiyo iko hivyo.Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
Ila Extrovert 35 ni mshangazi kweli?Sasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
Eeh maswala ya kutongozana atapoteza muda bureEe bhana! Just short and clear🥴