Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
nyinyi ndo huenda chooni na magunziSisi tunaokula halfu keki na na Mo energy hatuhusiki hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyinyi ndo huenda chooni na magunziSisi tunaokula halfu keki na na Mo energy hatuhusiki hapa
Ugali wa dona na dagaa au maharageMbali ya half keki unabadilishaga nini mkuu?
Sitaweza mzee mwenzanguChoma korodani za mbuzi, kondooo,ng'ombe and the likes ..ni zaidi ya maini Mzee mwenzangu
Na nini mkuuKula chapati
Ugali dagaa ndo kitu pekee naweza kula hata nikiwa sina appetite ila ndo huwezi kula kila sikuUgali wa dona na dagaa au maharage
Naomba ingredients za hiyo nyama laini nione utofauti wakeViaz mvringo mixture nyama lain baadae wine kidogo 😋
maharage ya nazi, unialike tavadhale, bolt ntalipia mwnywNa nini mkuu
Unayaogopa makagali🤣🤣🤣Sitaweza mzee mwenzangu
Nina gym nyumban na sio kama sina appetite ila tu natamani kungekua na aina tofauti ya hivi.Kuna mataifa yana aina nyingi za vyakula sisi ni hivi hiviJitahidi upate vijishughuli vya ziada nje ya kazi yako kuu au gym ili appetite isipotee mbona vyakula ulivyotaja viko POA Tu Mkuu
Anza basi na Chura, nyoka, paka ,mbwa .... Si vya kula Kule mashariki ya mbali....Nina gym nyumban na sio kama sina appetite ila tu natamani kungekua na aina tofauti ya hivi.Kuna mataifa yana aina nyingi za vyakula sisi ni hivi hivi
Nikipika nitakualika mkuumaharage ya nazi, unialike tavadhale, bolt ntalipia mwnywli
Kwa hiyo wewe unayala bila shida mkuu😀Unayaogopa makagali🤣🤣🤣
Inabidi nifanye hivyo.aisee.....kwakwwli lazima uboreke kama maposhi yenyewe ndio hayo ubwabwa sangara chuzi nyama nazi njegere
kama unataka kweli kula vitu hivi hivi lkn ladha otauti inabidi uwe mtundu angalia vipindi vya maposhi vya nje soma vitabi, halafu weka na ujuzi wako. shida ni pale kama unapikiwa.
jaribu ugali wa mtama, uyoga, samaki wakavu chukuchuku aubwa nazi.
nenda masokoni angalia mafresh vegetables na ma spices kisha gugo na ujaribishe recipe mwenyewe.
otherwise sijui kama utakufa vizuri
Nimeomba vya kibongo mkuuAnza basi na Chura, nyoka, paka ,mbwa .... Si vya kula Kule mashariki ya mbali....
Kula magimbi kwa mtindi!Habari wakuu.
Baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kujenga,kununua gari au kwenda mavacation nimeona nifurahie maisha kwa japo kula vizuri kama matajiri.Starehe na anasa yangu iwe kula vizuri.
Uwezo wa kula vizuri ninao ila siridhiki na vitu ninavyokula.Najikuta kila siku nakula vitu vile vile na sasa vimenikinai sivifurahii.Nisipokula ugali samaki au kuku nitakula ubwabwa samaki au nyama nazi njegere ni ndizi za kupika,chipsi,au viazi roast main roast,chapati supu au mchuzi na vingine vingine tu kama hivi vya kawaida.
Naomba nyie mnaojua mapishi/mnaokula vizuri mnipe menu ya vyakula viziuri vizuri vya kitanzania.Hata vya kikabila kama vinanoga nitajie.
Niko serious nishachoshwa na vitu ninavyokula na mara nyingi jioni nakula ubwabwa na mboga tofauti tofauti ila zote zishanikinai.Hapa ubwabwa na mchuzi wa sangara na njegere nazi unanisibiri ila sina hamu nao kabisa ila nina njaa na roho yangu inatamani kula kitu kingine mbali ya hivi🙏🏼🙏🏼
NB:Wapi kwa Tz naweza kupata Egusi seeds.
Sasa kama tunakula kichwa ya mbuzi, ng'ombe mpaka na vifanyio vyao makagali kitu gani Mzee.... Pigaa hiyo makituKwa hiyo wewe unayala bila shida mkuu😀
🙏🏼🙏🏼🙏🏼Sato mkubwa mwenye kilo 3 wa kubanikwa naviungo, na kaugali kadogo kama ngumi, pilipili iwepembeniiliyotengenezwa kwa ustadi.