Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Jitahidi upate vijishughuli vya ziada nje ya kazi yako kuu au gym ili appetite isipotee mbona vyakula ulivyotaja viko POA Tu Mkuu
Nina gym nyumban na sio kama sina appetite ila tu natamani kungekua na aina tofauti ya hivi.Kuna mataifa yana aina nyingi za vyakula sisi ni hivi hivi
 
aisee.....kwakwwli lazima uboreke kama maposhi yenyewe ndio hayo ubwabwa sangara chuzi nyama nazi njegere

kama unataka kweli kula vitu hivi hivi lkn ladha otauti inabidi uwe mtundu angalia vipindi vya maposhi vya nje soma vitabi, halafu weka na ujuzi wako. shida ni pale kama unapikiwa.

jaribu ugali wa mtama, uyoga, samaki wakavu chukuchuku aubwa nazi.

nenda masokoni angalia mafresh vegetables na ma spices kisha gugo na ujaribishe recipe mwenyewe.

otherwise sijui kama utakufa vizuri
 
aisee.....kwakwwli lazima uboreke kama maposhi yenyewe ndio hayo ubwabwa sangara chuzi nyama nazi njegere

kama unataka kweli kula vitu hivi hivi lkn ladha otauti inabidi uwe mtundu angalia vipindi vya maposhi vya nje soma vitabi, halafu weka na ujuzi wako. shida ni pale kama unapikiwa.

jaribu ugali wa mtama, uyoga, samaki wakavu chukuchuku aubwa nazi.

nenda masokoni angalia mafresh vegetables na ma spices kisha gugo na ujaribishe recipe mwenyewe.

otherwise sijui kama utakufa vizuri
Inabidi nifanye hivyo.
Natamani kila siku iwe sherehe kwa kula kitu kipya kitamu.
Kula ni moja ya starehe ni hiyo basi tu
 
Habari wakuu.

Baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kujenga,kununua gari au kwenda mavacation nimeona nifurahie maisha kwa japo kula vizuri kama matajiri.Starehe na anasa yangu iwe kula vizuri.

Uwezo wa kula vizuri ninao ila siridhiki na vitu ninavyokula.Najikuta kila siku nakula vitu vile vile na sasa vimenikinai sivifurahii.Nisipokula ugali samaki au kuku nitakula ubwabwa samaki au nyama nazi njegere ni ndizi za kupika,chipsi,au viazi roast main roast,chapati supu au mchuzi na vingine vingine tu kama hivi vya kawaida.

Naomba nyie mnaojua mapishi/mnaokula vizuri mnipe menu ya vyakula viziuri vizuri vya kitanzania.Hata vya kikabila kama vinanoga nitajie.

Niko serious nishachoshwa na vitu ninavyokula na mara nyingi jioni nakula ubwabwa na mboga tofauti tofauti ila zote zishanikinai.Hapa ubwabwa na mchuzi wa sangara na njegere nazi unanisibiri ila sina hamu nao kabisa ila nina njaa na roho yangu inatamani kula kitu kingine mbali ya hivi🙏🏼🙏🏼

NB:Wapi kwa Tz naweza kupata Egusi seeds.
Kula magimbi kwa mtindi!
 
Back
Top Bottom