Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Tutapika seafood bucket
Andaa
1. Lobster
2. Calamari
3. Octopus

Pembeni
Andaa
1. Tomato kubwa kias 2
2. Kitunguu maji 1 kikubwa
3. Chumvi
4. Cooking cream
5. Andaa na mama cita
6. Saga kitunguu swaumu na tangawizi
7. Andaa na maji ya ndimu
8. Andaa bazil branch 1
9. Andaa na mint branch 1
10. Weka na mafuta ya kula gram 250
11. Weka na unga wa pilipili manga kijiko kimoja n unga wa mahindi vijiko viwili

Hapo tayari, Andaa na vifaa vya kukaangia ikiwemo karai na mwiko. Pia nyanya na kitunguu tutavibabua kwanza (baking)

Cc. Lamomy Kasie Joannah Evelyn salt
 
Kwakua umeomba ushauri

Maake vyote ndo vyakula vyetu vya kila siku, na ndo Bora kwa afya

Ukipika ugali, wali hakikisha una mboga ya majani zaidi uipendayo, matunda, au juice ya matunda... plus samaki au nyama au maini ama dagaa

kwenye nyama unaweza pika Leo sotojo, kesho ukaoka, siku nyingine unaikaanga Cha msingi kuwa na taste tofaut tofauti ......

zingatia viungo kwenye upishi wako, carrots, nyanya, pilipili, kitunguu na vinginevyo bila kusahau masala ni nzuri kwa kunukia na kukufanya u enjoy msosi

Siku nyingine pika mchemsho tuu wa samaki au unachopenda ...... Ni msosi tosha

wali jitahd uwe na ubunifu nao.....

Leo wali maua, kesho kaanga kitunguu kimoja, siku nyingine kaanga, siku nyingine chemsha maji then pika, usipende kutumia rice cooker

kingine relax wakati wakula usiwe na issue za anxious... woga woga ondoa furahia msosi.....

Usile kama hutokula Tena..... Kula kuridhika zaidi

Pia fanya mazoezi ili upate appetite ya kula,
secretarybird @
 
Tutapika seafood bucket
Andaa
1. Lobster
2. Calamari
3. Octopus

Pembeni
Andaa
1. Tomato kubwa kias 2
2. Kitunguu maji 1 kikubwa
3. Chumvi
4. Cooking cream
5. Andaa na mama cita
6. Saga kitunguu swaumu na tangawizi
7. Andaa na maji ya ndimu
8. Andaa bazil branch 1
9. Andaa na mint branch 1
10. Weka na mafuta ya kula gram 250
11. Weka na unga wa pilipili manga kijiko kimoja n unga wa mahindi vijiko viwili

Hapo tayari, Andaa na vifaa vya kukaangia ikiwemo karai na mwiko. Pia nyanya na kitunguu tutavibabua kwanza (baking)

Cc. Lamomy Kasie Joannah Evelyn salt
Haya ndo mambo sasa!😍😍
Nimefurahi sana.
Inaonekana ni tamu..
Nalia na nini dear.?
Naamini ka white wine katasindikiza vyema
 
Unanirudisha u-chef kitambo hiko 😁 , kipindi hiko nakata nyanya kama sina akili nzuri. Vyakula vingi tunakula huku mtaani ni hot kitchen tu.. mbaya zaidi wabongo hata baadhi ya vitamin tunakosa mana matumiz ya spices na recipes hatuzijui. Kuna vitu vya kununua ili uwe unapig codes za kijanja
Do the needful basi dear.
Nipo serious🙏🏼
 
Haya ndo mambo sasa!😍😍
Nimefurahi sana.
Inaonekana ni tamu..
Nalia na nini dear.?
Naamini ka white wine katasindikiza vyema
Hapo mzee ukizipatia unalamba mpaka sahani. Although kibongo hii haitoshi kuwa mlo kamili, menya vianzi mviringo kata Kyups, chemsha kidogo un mashed alafu weka bluebird na vipake unga wa mahindi vikaange. Tafuta na sweet chilli weka juu
 
 
Kwakua umeomba ushauri

Maake vyote ndo vyakula vyetu vya kila siku, na ndo Bora kwa afya

Ukipika ugali, wali hakikisha una mboga ya majani zaidi uipendayo, matunda, au juice ya matunda... plus samaki au nyama au maini ama dagaa

kwenye nyama unaweza pika Leo sotojo, kesho ukaoka, siku nyingine unaikaanga Cha msingi kuwa na taste tofaut tofauti ......

zingatia viungo kwenye upishi wako, carrots, nyanya, pilipili, kitunguu na vinginevyo bila kusahau masala ni nzuri kwa kunukia na kukufanya u enjoy msosi

Siku nyingine pika mchemsho tuu wa samaki au unachopenda ...... Ni msosi tosha

wali jitahd uwe na ubunifu nao.....

Leo wali maua, kesho kaanga kitunguu kimoja, siku nyingine kaanga, siku nyingine chemsha maji then pika, usipende kutumia rice cooker

kingine relax wakati wakula usiwe na issue za anxious... woga woga ondoa furahia msosi.....

Usile kama hutokula Tena..... Kula kuridhika zaidi

Pia fanya mazoezi ili upate appetite ya kula,
secretarybird @
Hivyo ulivyotaja ndo kama umetaja utaratibu wangu wa kula kasoro hapo kwenye kubadili upikaji wa ubwabwa.
Siku zote nakula ubwabwa wa nazi imetoka.Nitafanyia kazi ushauri wa ubwabwa mkuu
 
K
Hapo mzee ukizipatia unalamba mpaka sahani. Although kibongo hii haitoshi kuwa mlo kamili, menya vianzi mviringo kata Kyups, chemsha kidogo un mashed alafu weka bluebird na vipake unga wa mahindi vikaange. Tafuta na sweet chilli weka juu
alaga baho Kuna story nzuri ipi ina trend humu km ipo niekee link mkuu. Pls best regards
 
B
raza angu...

Xmas tunavuka bila kitu 😝
 
Hapo mzee ukizipatia unalamba mpaka sahani. Although kibongo hii haitoshi kuwa mlo kamili, menya vianzi mviringo kata Kyups, chemsha kidogo un mashed alafu weka bluebird na vipake unga wa mahindi vikaange. Tafuta na sweet chilli weka juu
Nitakupa mrejesho.

Kibongobongo hiyo ni mboga😀 si unaona nimeuliza nalia na nini😀.
Tuliozoea michuzi utatujua tu.

Sawa mkuu nitafanya hivyo.
Asante sana
 
Hivyo ulivyotaja ndo kama umetaja utaratibu wangu wa kula kasoro hapo kwenye kubadili upikaji wa ubwabwa.
Siku zote nakula ubwabwa wa nazi imetoka.Nitafanyia kazi ushauri wa ubwabwa mkuu
Basi itakuwa una tatizo la kukosa appetite .... Jaribu kuwaona herbal wakusaidie

Ila kama unajua kupika hukinai msosi afu una familia?

Kama upo mwenyewe jitahidi ule na wengine wakupe kampani
 
Nitaupitia.
Asante
 
Basi itakuwa una tatizo la kukosa appetite .... Jaribu kuwaona herbal wakusaidie

Ila kama unajua kupika hukinai msosi afu una familia?

Kama upo mwenyewe jitahidi ule na wengine wakupe kampani
Nimevikinai tu ila juzi kati nilikula Thai food nilifurahia sana ila sijapata wakunielekeza kukipika so sina shida ya appetite
 
Habari wakuu.

Baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kujenga,kununua gari au kwenda mavacation nimeona nifurahie maisha kwa japo kula vizuri kama matajiri.Starehe na anasa yangu iwe kula vizuri.

Uwezo wa kula vizuri ninao ila siridhiki na vitu ninavyokula.Najikuta kila siku nakula vitu vile vile na sasa vimenikinai sivifurahii.Nisipokula ugali samaki au kuku nitakula ubwabwa samaki au nyama nazi njegere ni ndizi za kupika,chipsi,au viazi roast main roast,chapati supu au mchuzi na vingine vingine tu kama hivi vya kawaida.

Naomba nyie mnaojua mapishi/mnaokula vizuri mnipe menu ya vyakula viziuri vizuri vya kitanzania.Hata vya kikabila kama vinanoga nitajie.

Niko serious nishachoshwa na vitu ninavyokula na mara nyingi jioni nakula ubwabwa na mboga tofauti tofauti ila zote zishanikinai.Hapa ubwabwa na mchuzi wa sangara na njegere nazi unanisibiri ila sina hamu nao kabisa ila nina njaa na roho yangu inatamani kula kitu kingine mbali ya hivi🙏🏼🙏🏼

NB:Wapi kwa Tz naweza kupata Egusi seeds.
Vyakula ukivigeuza starehe vitakuua mapema sana.

Kama hautakufa mapema, basi utakufa pole pole kwa dhiki ya kukatazwa kula vyakula vitam tam kutokana na migogoro ya afya itokanayo na ulaji.

Kwa hiyo tafuta wataalamu wa lishe akina dk. Janabi wakupe mwongozo, lakini kama umeamua kula kwa ajili ya starehe, akina dk Janabi watakupa miongozo yenye masharti ya kukukera sana.
 
Back
Top Bottom