Kwakua umeomba ushauri
Maake vyote ndo vyakula vyetu vya kila siku, na ndo Bora kwa afya
Ukipika ugali, wali hakikisha una mboga ya majani zaidi uipendayo, matunda, au juice ya matunda... plus samaki au nyama au maini ama dagaa
kwenye nyama unaweza pika Leo sotojo, kesho ukaoka, siku nyingine unaikaanga Cha msingi kuwa na taste tofaut tofauti ......
zingatia viungo kwenye upishi wako, carrots, nyanya, pilipili, kitunguu na vinginevyo bila kusahau masala ni nzuri kwa kunukia na kukufanya u enjoy msosi
Siku nyingine pika mchemsho tuu wa samaki au unachopenda ...... Ni msosi tosha
wali jitahd uwe na ubunifu nao.....
Leo wali maua, kesho kaanga kitunguu kimoja, siku nyingine kaanga, siku nyingine chemsha maji then pika, usipende kutumia rice cooker
kingine relax wakati wakula usiwe na issue za anxious... woga woga ondoa furahia msosi.....
Usile kama hutokula Tena..... Kula kuridhika zaidi
Pia fanya mazoezi ili upate appetite ya kula,
secretarybird @