- Thread starter
- #121
Usiniache mkuu leta ujuui wa hao dagaa mcheleSisi tunaopika ugali Kwanza halafu mboga tunaenda Kwa babu samak kuchukua dagaa mchele tukuache kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiniache mkuu leta ujuui wa hao dagaa mcheleSisi tunaopika ugali Kwanza halafu mboga tunaenda Kwa babu samak kuchukua dagaa mchele tukuache kidogo
Shawarma sijui ni ninj mkuu☹️🙃Shawarma sehemu nyingi elf 5, urojo sehemu nyingi elf 2 mpaka 3, ushakunywa uji wa ngano nzima?? Mtindi na viazi vitamu je? Au uchemshe karanga zenye maganda zile weka chumvi unapochemsha unashuhia na mango juice ya baridi.. sometimes nunua chocopops or your fave cereals kula na maziwa fresh au kata matunda au salad!!
Bila kusahau chapati za kumimina, kuku/samaki ya kukaanga + chai ya maziwa! Hapo snacks kama pringles, lays, danish cookies ziwepo.
Tatizo lako inawezekana upishi
Mwakani mambo yakikaa sawa sawa tutafanya kazi.Unakuja japo mara 2 kwa wikiAjiri chef mbona utafurahi mwenyewe, kama upo dar nipe mie tenda hiyo utakula misosi ya dunia nzima
We ni jinsia gani kwanza nijue naanzia wapi kukushauriSay samtin
We ni jinsia gani kwanza nijue naanzia wapi kukushauri
Okay kama una familia nunua ratiba ya chakula kwa malkia food
Mwakani mambo yakikaa sawa sawa tutafanya kazi.Unakuja japo mara 2 kwa wiki
Ngoja kwanza dearSema neno mkuu you neva know
Shem vimenukia hadi huku 😋Tutapika seafood bucket
Andaa
1. Lobster
2. Calamari
3. Octopus
Pembeni
Andaa
1. Tomato kubwa kias 2
2. Kitunguu maji 1 kikubwa
3. Chumvi
4. Cooking cream
5. Andaa na mama cita
6. Saga kitunguu swaumu na tangawizi
7. Andaa na maji ya ndimu
8. Andaa bazil branch 1
9. Andaa na mint branch 1
10. Weka na mafuta ya kula gram 250
11. Weka na unga wa pilipili manga kijiko kimoja n unga wa mahindi vijiko viwili
Hapo tayari, Andaa na vifaa vya kukaangia ikiwemo karai na mwiko. Pia nyanya na kitunguu tutavibabua kwanza (baking)
Cc. Lamomy Kasie Joannah Evelyn salt
Huyu simsagii ndio vizuri shem atupikie misotojo huku sisi tunapiga umbea dyadya 😜😹😹Basi hapa mdogo wangu Lamomy akifika jiandae kukusagia kunguni eti bby wangu mpishi forodhani😂😂
By the way msosi unaonekana mtamu tunasave na nini?
Mpaka niulize. Alafu nimekumbuka hata sperms jifunze uwe unazimeza🙏🏼🙏🏼
Elezea vizuri kuhusu hiyo shuwah dear
Kasie njoo umpikie nsansa ajilambe
Chakula gani laki?Huyu anataka kula vizuri.
Mimi napika bora nishibe sio kupika ule...
Kuna tofauti ujue....
Unaweza ukawa unakula ili ushibe kutibu njaa.. buku jero inatosha kwa mlo.
Halafu kuna wale wanaokula ili wajisikie wamekula...😉. Kuanzia laki 1 kwa mlo.
Chakula gani laki?
Mie nataka mandi ya bata mzingaKempithkii
Therenaaa
Joharirotana
Endizelaiki 😉.