Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Naomba mnisaidie niweze kula vizuri🙏🏼🙏🏼

Nimeomba vya kibongo mkuu
Si umesema Kuna nchi zina vyakula vingi kiongozi...Sasa bongo hata ...ni kuku,samaki,nyama ,kamdudu,Bata ... Mboga umemaliza..... Labda kama unataka kula pembejeo kama maharage, mahindi, choroko,dengu n.k..hizo ni pembejeo sio mboga Mkuu
 
Si umesema Kuna nchi zina vyakula vingi kiongozi...Sasa bongo hata ...ni kuku,samaki,nyama ,kamdudu,Bata ... Mboga umemaliza..... Labda kama unataka kula pembejeo kama maharage, mahindi, choroko,dengu n.k..hizo ni pembejeo sio mboga Mkuu
Bora nile pembejeo kuliko hivyo vitu vyako
 
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huwa ananoga
images (25)~2.jpeg
 
Mlo kamili ila vinoge mkuu

Kula mlo kamili kwa afya ya mwili wako.

Kula vya kunoga au bila kunoga sio ishu.

End products afta kula ni ile ile... Haijalishi umekula nini. Zingatia mlo bora wenye kila virutubisho.
 
Unakuaje nahela halafu bado unakula maugali kwan unataka kwenda kupasua mbao
 
Kula mlo kamili kwa afya ya mwili wako.

Kula vya kunoga au bila kunoga sio ishu.

End products afta kula ni ile ile... Haijalishi umekula nini. Zingatia mlo bora wenye kila virutubisho.
I hear you mkuu🙏🏼
 
Back
Top Bottom