Naomba msaada mume wangu amekamatwa na polisi nyumbani saa nane usiku kwa tuhuma za kununua simu ya wizi. Vituo vyote wanadai hayupo na tusimtafute


Utawala lazima uw pande mbili za shilingi. Ubaya na Wema.
Usiombe ukakutwa na utawala katika upande wa ubaya utamjua shetani live.

Hakuna utawala wenye Nuru pekee. Huo sio utawaka
 
Inawezekana huyo kijana yupo kwenye ule mtandao wa vijana wanaokwenda somalia kupata mafunzo kwahiyo nendeni kwa code
 
Inawezekana huyo kijana yupo kwenye ule mtandao wa vijana wanaokwenda somalia kupata mafunzo kwahiyo nendeni kwa code
Hapana ni kijana WA kawaida tu WA mtaani amejiajiri ni fundi simu na vifaa vya umeme na kuuza vifaa vya simu ni msakatonge tu WA kawaida na wengi wanamfahamu hana Tabia za ovyo
 
Dah! Poleni sana ndugu zangu kwa hiyo changamoto kubwa iliyowakuta. Waambie wajaribu kumtafuta huyu +255620898989.

Hana shida anaweza kuwapa mwongozo wa changamoto yao na kuwatoa wasiwasi.

Ova
Wamempgia amewaelekeza waende kituo cha polisi mburahati,wamefika wamesikilizwa na wameambiwa kwa kuwa hii ni kanda nyingine na chanika alikopelekwa ni kanda nyingine waende wakaonane na RPC
 
KUNA MTU NINGEKUPA ILA NAITAJI KUMJUA HUYO ALIYEKAMATWA YUPOJE NA KAZI YAKE NO KUFICHA
Jamaa ni mjasiriamali tu ni fundi simu na vifaa vya umeme,kuuza makava ya simu,kuweka protects,na vikorokoro vingine vya simu,ni msakatonge tu WA kawaida na hata huyo mjumbe wake anakiri ni kijana mzuri asiye na shida na yoyote hapo mtaani.
 
Kuna watu wanaandika. Makala ndefu wakati wa Magufuli watu walikuwa wanatekwa, tatizo jeshi la polisi imeoza linatakiwa lifumuluwe.
 
Poleni sana.. Imefika JF... Taarifa zitapatikana
 
sawa hata kama hivyo usemavyo ndivyo basi wamwambie mkewe kuwa mumeo ni mwizi na aliuawa au kafungwa
 
Wamempgia amewaelekeza waende kituo cha polisi mburahati,wamefika wamesikilizwa na wameambiwa kwa kuwa hii ni kanda nyingine na chanika alikopelekwa ni kanda nyingine waende wakaonane na RPC
Walipata nafasi ya kumjua huyo askari wa Mburahati aliyewapa hayo majibu? Kama walimjua (kama hawakujua siyo mbaya), warudi kupiga kwenye ile namba ili wampe hayo majibu.

Bila shaka atawaambia kingine cha kufanya, hana shida atalimaliza tu hilo, liko ndani ya uwezo wake.

Ova
 
Kwanini unagenelorize kwamba watu wote wanaoish hapo ni wezi na ni vibaka
. Kwamba mtuhumiwa akikamatwa auwawe na polisi?
 
Tazara mpwa hicho kituo soo
Pale wanapelekwa manunda tu
Pale mtu akipelekwa shuguli anayo
Alafu ukipita hapo pako kimya huoni hekqheka 😄

Ova
Tulienda mtoa mtu katokea.mbwenj.yaliyomkuta napitampwaa
 
Asante wanamjua na wanawafahamu wahusika wote hata maaskari waliokuja kumkamata waliacha namba zao kwa mjumbe ,pia wanaonekana sehemu zao za kazi ushirikiano tu ndio imekuwa hakuna
 
Mkuu mke wake hajui kitu Bali tukio halisi liko Ivo na wao ndio wanautaka huo mwili Kama familia wakazike Kama binadam wengine wanavyozikwa kwani mambo ya kuuwawa si jambo geni.tuwaelekeze wakaufate wapi?

Kama alikuwa jambazi mwili wa jambazi ni Mali ya serikali.
Kama alinunua TU simu ya wizi bila kujua ipo siku atarudi tu.
 
Asante wanamjua na wanawafahamu wahusika wote hata maaskari waliokuja kumkamata waliacha namba zao kwa mjumbe ,pia wanaonekana sehemu zao za kazi ushirikiano tu ndio imekuwa hakuna
Kama hawatoi ushirikiano saikolojia huyo jamaa hakuwa mtu mzuri,ingekuwa TU ununuzi wa simu wasingewanyima ushirikiano.
Kama mnawatambua tafuteni wakili muwafungulie mashtaka wawape ndugu yenu
 
Wanamficha tu wangetaka kumuua wasigekuja ata na uyo mjumbe, alishawahi dakwa mdogo angu alikuwa amejichanganya tu bila kujuwa na wezi wa kutumia mapanga walifanya matukio sehemu tofauti wakaja kujifucha pale mtaani alipo dogo, sasa wakaja dakwa na askari wa oysterbay na noah walivyobebwa watu waljuwa hawa hawatorudi

Kwenda kuuliza tunaambiwa hamna vijana walioletwa tukaenda vituo vyote vikubwa. Kuna jamaa mmoja ndo alitusanua kazeni madogo wapo suspended washachokwa na wapo kituo fulani matukio yao ni makubwa sana, dogo ye hakuwa anajuwa lolote wala hawajuani nae ila tu kukutana eneo moja vijana na bangi zao na dogo alikuwa 17yr, ikapigwa simu moja pale ndo dogo kupepetwa ila alikaa mwezi alitoka kawa kama moja sidhani kama atasahau iki kitu maishani mwake wale wezi nafikiri walipelekwa mahakamani kula robari
 
Daah pole sana kwa huyo dada na familia.

Kuna moja kama hiyo manzi yake na mshikaji wangu alishikwa na simu ya wizi, mbaya aliyeibiwa alipigwa napanga na wezi mpaka kufa.

Oyaaa hadi Cheni nzima inapatikana yule manzi alisota sana, na majibu ya kituo kikubwa cha huku kwetu majibu yalikuwa kama hayo yako mtoa mada kwamba kesi haipo, ila upelelezi unaendelea kwani alieuwa ni kama mtu wa saba au sita na aliyezuiwa simu (tulijua baada ya mnyororo mzima wa kuuziana simu ulipopatikana).
Sishauri sana mtu kununua simu mkononi hasa hizi simu janja labda kwa mtu unayemjua na una uhakika amenunua dukani.
 
Taratibu za kumkamata mtu ziko wazi,mpaka kumfikisha mahakamani na ikithibitika kuna makosa basi gereza litamhusu,ila wewe umeandika kwa kukariri kuwa maeneo fulani yana tabia za hivyo,
Angekua ni nduguyo mwizi na usiyejua kama ni mwizi anaishi maeneo hayo na ndie aliyefanyiwa hivyo pengine ungekuja na stori inayofanana na ya huyo dada.
Tusiandike kwa mihemko

Pole sana kwa huyo dada,
Aende kuonana na yeyote katika kamati ya ulinzi na usalama mkoa,
Ikishindikana atumie vyombo vya habari mpaka watakaposema mumewe alipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…