Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

Felix

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2014
Posts
876
Reaction score
764
Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.

Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.

Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.
 
Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza. Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine. Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.
Tupia sumu zipo kama punje akila kimoja tu humuoni tena
 
Weka mtego wa kufyatuka ule, kwa ule mtego hamna panya anatoboa.

Muwekee biscuit, kakipande ka samaki au nyama, tegesha mtego vizuri weka sehemu unayoamini anafika.

Hiyo mitego ya punje na dagaa za viwandani wanakula wanaenda kunywa maji wanakua fresh unakua kama unawalisha tu.

Kama ni panya mdogo weka ule mtego wa gundi, unaofunguka kama kitabu
 
Dawa ni rahisi sana.
Wewe chukua paka mwenye njaa, mlaze ndani ya gari yako usiku mmoja tu, hakikisha unaachia upenyo wa kioo kuwa wazi at least inch 1 ili hewa kuingia na kutoka ndani ya gari.
Paka wa siku hizi hasa hawa wa mjini tunaoangaliaga nao tamthilia na mipira ya Simba na yanga kwenye Tv sebureni hamna kitu kabisa usitegemee ajihangaishe kukamata panya na usishangae kuwakuta kwenye pipa la taka wakila mabaki ya chakula pamoja 😀

Dawa ninayoikubali ni Ile mitego ya gundi ambayo unaweka kipande cha dagaa au mnofu wa nyama Panya akisogea tu anabaki hapo.

Jaribu hiyo utanishukuru badae (usitege Panya Kwa sumu maana anaweza Kula then akaenda kufia sehemu ambayo huwezi kumuona utakuwa unasikia harufu tu!)
 
Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.

Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.

Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.

Nunua poda umwage ndani ya gar
Mimi imenikuta kwenye gari Ila ilikuwa kwenye engine panya amekimbia
 
Hamna mdudu simpendi kama panya, yaani huwa nawabamiza balaa.

Panya akiingia kwenye kumi na nane zangu nampa kiphiro heavy mno, ni mikwaju mpaka anaomba poo.

Kabla hajafa namchomekea mapini na masindano halafu namsulubisha na misumari kwenye mti.

Cha mwisho nampiga FATAL BLOW, namshindilia limsumari la tumbo pufuuuuu, basi hapo roho yangu KWATUUU...

Sadism is inevitable when it comes to RATS.

Cc Lamomy Extrovert cocastic adriz Mufti kuku The Infinity Poor Brain
 
Hamna mdudu simpendi kama panya, yaani huwa nawabamiza balaa.

Panya akiingia kwenye kumi na nane zangu nampa kiphiro heavy mno, ni mikwaju mpaka anaomba poo.

Kabla hajafa namchomekea mapini na masindano halafu namsulubisha na misumari kwenye mti.

Cha mwisho nampiga FATAL BLOW, namshindilia limsumari la tumbo pufuuuuu, basi hapo roho yangu KWATUUU...

Sadism is inevitable when it comes to RATS.

Cc Lamomy Extrovert cocastic adriz Mufti kuku The Infinity Poor Brain
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Yaaani tukipata wa kufanana na wewe hiko kichwa....
Na hakuna bado bado....sana
 
Hamna mdudu simpendi kama panya, yaani huwa nawabamiza balaa.

Panya akiingia kwenye kumi na nane zangu nampa kiphiro heavy mno, ni mikwaju mpaka anaomba poo.

Kabla hajafa namchomekea mapini na masindano halafu namsulubisha na misumari kwenye mti.

Cha mwisho nampiga FATAL BLOW, namshindilia limsumari la tumbo pufuuuuu, basi hapo roho yangu KWATUUU...

Sadism is inevitable when it comes to RATS.

Cc Lamomy Extrovert cocastic adriz Mufti kuku The Infinity Poor Brain
Wizo sio vizuri viumbe vya Mungu hivyo navyo vinahitaji kuishi bana 😂
 
Shida hata ukifanikiwa kumuua huyo panya labda sijui utaosha na nini hio gari harufu ya panya iishe vinginevyo panya watakua wageni wako kila siku
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Yaaani tukipata wa kufanana na wewe hiko kichwa....
Na hakuna bado bado....sana
Niko radhi kung'oa viti vyote vya gari ili nimnase huyo panya.

Huyu jamaa amenisisimua mno, i wish i could be the CAR OWNER. Ningemsaka huyo panya nihakikishe namdaba akiwa hai anapumua kwa kutweta.

Nikimnasa namfumua kikatili mno. Ntanunua mkasi spesheli namkata mguu mmoja baada ya mwingine halafu namuacha huku natabasamu muruaa sana.

Akifurukuta nambamiza teke la kisigino.

Hamna kitu tamu kama kuua panya walahi. Ni tamu mno.

Hasa ulikute lile lipanya buku lililononaaa, wololo yaye, kisago kinanoga vibaya sana.

Cc Lamomy DR Mambo Jambo
 
Back
Top Bottom