Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 1,170
- 1,617
Mtu anauwezo wa kujenga nyumba mpya lakin gar ananunua second hand.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haiwacheleweshi hata kidogo; inafanya kazi haraka sana.Choma moto
Hiyo sio suluhu ya muda mfupi.Tafuta vidonge vya indocide toa ule unga wake weka ktk nyanya au nyama dakika sifuri
Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.
Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.
Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.
kuna dawa wanauza watu wa kilimo, tumia hizo huwa inaua bila kutoa harufu kabisa, naona hiyo itasaidiaNunua indosini nyunyiza kwenye dagaa au nyama weka sehemu atafika akila atakufa
Naomba jina la dawa kama unaifahamukuna dawa wanauza watu wa kilimo, tumia hizo huwa inaua bila kutoa harufu kabisa, naona hiyo itasaidia
Kanunue pharmacy kuna dawa inaitwa Indosine ni dawa ya mifupa kwa binadamu lakini kwa panya Ina msagasaga mifupa yakeNaomba jina la dawa kama unaifahamu
Kuna dawa akila panya zinamkausha hata harufu hakuna.Chukua ushauri wa mtego!
Ukitumia sumu ujiandae kupambana na harufu kali akifia mafichoni.
Sijui kama Air freshener inaweza kufua dafu kwa harufu ile.