Niko radhi kung'oa viti vyote vya gari ili nimnase huyo panya.
Huyu jamaa amenisisimua mno, i wish i could be the CAR OWNER. Ningemsaka huyo panya nihakikishe namdaba akiwa hai anapumua kwa kutweta.
Nikimnasa namfumua kikatili mno. Ntanunua mkasi spesheli namkata mguu mmoja baada ya mwingine halafu namuacha huku natabasamu muruaa sana.
Akifurukuta nambamiza teke la kisigino.
Hamna kitu tamu kama kuua panya walahi. Ni tamu mno.
Hasa ulikute lile lipanya buku lililononaaa, wololo yaye, kisago kinanoga vibaya sana.
Cc
Lamomy DR Mambo Jambo