Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila asiwe paka wa Dar TuDawa ni rahisi sana.
Wewe chukua paka mwenye njaa, mlaze ndani ya gari yako usiku mmoja tu, hakikisha unaachia upenyo wa kioo kuwa wazi at least inch 1 ili hewa kuingia na kutoka ndani ya gari.
🤣🤣🤣🤣 wizo hana baya mi nakwambiaga ila kuna mijitu yenye stress za maisha na mapenzi wanataka tuishi humu km tupo uraiani na ili hali hatujuani mxiewwwww!!!Daaah kwa kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Ila mnawezana kweli...
Sio kichwa kile 😂😂😂😂😂
Ban njema mkuu 🙏🏻Ndo maana umeweka picha ya paka Tom.
Kifungo chema mkuu 🙏🏻🙏🏻
Lamomy kwa haya maneno..🤣🤣🤣🤣 wizo hana baya mi nakwambiaga ila kuna mijitu yenye stress za maisha na mapenzi wanataka tuishi humu km tupo uraiani na ili hali hatujuani mxiewwwww!!!
Kwanza wenzao tunaingia humu kufurahi tukiwa bar 😂😂😂😂
Lamomy kwa haya maneno..
Naona sasa effect ya kuwa karibu na wizo ahahahahah😂😂😂😂😂😂😂
Na wewe sasa unataka uwe don't care kama wizo daah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hawali wanaikwepaa, Suluhu ni ninuNunua indosini nyunyiza kwenye dagaa au nyama weka sehemu atafika akila atakufa
Fuata ushauri huu.Nunua indosini nyunyiza kwenye dagaa au nyama weka sehemu atafika akila atakufa
😂😂😂😂😂😂Mkuu hii ID yako badili siku hizi unaweza badili (EDIT) jina hapo jamii
dronedrake njoo mpe jina zuri😂😂😂😂😂😂
Alafu nijiite nani sodium pump mkuu
Tumia endosine, yaani panya wanajifia huku unacheka. Inawasaga mifupa halafu wala hata hawaozi watoe harufuWakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.
Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.
Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.
Daaaah 😂😂😂😂👊🙌🙌 sina neno hapa ila huyu uliyemuita huyu ,😂😂😂🙌🙌🙌dronedrake njoo mpe jina zuri
Endosine inapatikana wapi mkuu?, mwongozo tafadhali.Tumia endosine, yaani panya wanajifia huku unacheka. Inawasaga mifupa halafu wala hata hawaozi watoe harufu
mdudu tenaHamna mdudu simpendi kama panya, yaani huwa nawabamiza balaa.
Panya akiingia kwenye kumi na nane zangu nampa kiphiro heavy mno, ni mikwaju mpaka anaomba poo.
Kabla hajafa namchomekea mapini na masindano halafu namsulubisha na misumari kwenye mti.
Cha mwisho nampiga FATAL BLOW, namshindilia limsumari la tumbo pufuuuuu, basi hapo roho yangu KWATUUU...
Sadism is inevitable when it comes to RATS.
Cc Lamomy Extrovert cocastic adriz Mufti kuku The Infinity Poor Brain
ngoja aje utakiona sijui anapiga nyeto dronedrakeDaaaah 😂😂😂😂👊🙌🙌 sina neno hapa ila huyu uliyemuita huyu ,😂😂😂🙌🙌🙌
Endosine inapatikana wapi mkuu?, mwongozo tafadhali.
Alafu proton pump na wewe upo kundi la vijana hovyo au 😂😂😂😂😂ngoja aje utakiona sijui anapiga nyeto dronedrake