Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Mbona unaua kinyama hivo....Niko radhi kung'oa viti vyote vya gari ili nimnase huyo panya.
Huyu jamaa amenisisimua mno, i wish i could be the CAR OWNER. Ningemsaka huyo panya nihakikishe namdaba akiwa hai anapumua kwa kutweta.
Nikimnasa namfumua kikatili mno. Ntanunua mkasi spesheli namkata mguu mmoja baada ya mwingine halafu namuacha huku natabasamu muruaa sana.
Akifurukuta nambamiza teke la kisigino.
Hamna kitu tamu kama kuua panya walahi. Ni tamu mno.
Hasa ulikute lile lipanya buku lililononaaa, wololo yaye, kisago kinanoga vibaya sana.
Cc Lamomy DR Mambo Jambo
Huo mtego wa gundi niliweka wiki nzima nyumbani kwangu na msosi mtamu nikawawekea,mpk ukakauka hawakula,nimetega ule wa kufyatua hawakula,nineweka sumu ya kama vitambi vyekundu hawakula,sasa nimeamua nipige maombi maana nahisi hawa watakua sio panya...Paka wa siku hizi hasa hawa wa mjini tunaoangaliaga nao tamthilia na mipira ya Simba na yanga kwenye Tv sebureni hamna kitu kabisa usitegemee ajihangaishe kukamata panya na usishangae kuwakuta kwenye pipa la taka wakila mabaki ya chakula pamoja π
Dawa ninayoikubali ni Ile mitego ya gundi ambayo unaweka kipande cha dagaa au mnofu wa nyama Panya akisogea tu anabaki hapo.
Jaribu hiyo utanishukuru badae (usitege Panya Kwa sumu maana anaweza Kula then akaenda kufia sehemu ambayo huwezi kumuona utakuwa unasikia harufu tu!)
Kiumbe mshenzi mno yule. Sitaki kukumbuka madhila niliyopata enzi za usichana wangu nikiwa nimepanga nyumba moja hapo dar es salaam ππWizo sio vizuri viumbe vya Mungu hivyo navyo vinahitaji kuishi bana π
Huo Mtego Wa Gundi Nilikuwa Naudharau Ila Kuna Jamaa Kwake Aliingia Panya Wale WadogoPaka wa siku hizi hasa hawa wa mjini tunaoangaliaga nao tamthilia na mipira ya Simba na yanga kwenye Tv sebureni hamna kitu kabisa usitegemee ajihangaishe kukamata panya na usishangae kuwakuta kwenye pipa la taka wakila mabaki ya chakula pamoja π
Dawa ninayoikubali ni Ile mitego ya gundi ambayo unaweka kipande cha dagaa au mnofu wa nyama Panya akisogea tu anabaki hapo.
Jaribu hiyo utanishukuru badae (usitege Panya Kwa sumu maana anaweza Kula then akaenda kufia sehemu ambayo huwezi kumuona utakuwa unasikia harufu tu!)
Mapanya hovyo sana aiseeeKuna panya niliwahi kumtafuta chumba kizima nisimuone mpaka nikachanganyikiwa nikilala usiku ndio namsikia anahangaika kumbe mshenzi anaishi ndani ya sabwoofer anatoka usiku tu anaanza kuzurura mle chumbani
Ndo maana umeweka picha ya paka Tom.Panya ni wasumbufu sana
Wizo walikufanya nini hao panya kwenye βEnzi ya usichana wako?β ππππKiumbe mshenzi mno yule. Sitaki kukumbuka madhila niliyopata enzi za usichana wangu nikiwa nimepanga nyumba moja hapo dar es salaam ππ
Panya wanaboa sana. Tulizo langu la moyo ni kuwafumua ipasavyo.
Nafarijika sana kwa kweRi.
Nunua Gari weweeeOh panya kwenye gari na haya ni sijua(gi )sababu sina gari
Wifi π€£π€£π€£Lamomy hivi hii wizo ina maana gani...
Alafu naona huna baya kabisa na ant angu aiseee ππππππππππ
Daaah kwa kweli ππππππππππππππππππWifi π€£π€£π€£
Huyo ni wifi yangu kwa cazee wangu extro ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Walinitafunia magauni yangu na dokomenti zangu za msingi sana.Wizo walikufanya nini hao panya kwenye βEnzi ya usichana wako?β ππππ
Wizo ww na dr mna jambo sio bure π€£π€£π€£Niko radhi kung'oa viti vyote vya gari ili nimnase huyo panya.
Huyu jamaa amenisisimua mno, i wish i could be the CAR OWNER. Ningemsaka huyo panya nihakikishe namdaba akiwa hai anapumua kwa kutweta.
Nikimnasa namfumua kikatili mno. Ntanunua mkasi spesheli namkata mguu mmoja baada ya mwingine halafu namuacha huku natabasamu muruaa sana.
Akifurukuta nambamiza teke la kisigino.
Hamna kitu tamu kama kuua panya walahi. Ni tamu mno.
Hasa ulikute lile lipanya buku lililononaaa, wololo yaye, kisago kinanoga vibaya sana.
Cc Lamomy DR Mambo Jambo
Wizo nimecheka hapo kwenye TENTEMENTEE π€£π€£π€£π€£ haki wizo unazingua ujueNakumbuka lile gauni langu la TENTEMENTE la miaka hiyo, nikijikwatua mwenyewe nikilivaaa alaaaaaahh.....
Hongera kwa kumiliki gari mkuuWakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.
Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.
Naogopa asije akatafuna nyaya za umeme gari ikapata short. Nisaidieni niweke dawa gani? maana nime mvizia mpaka amenishinda akili.