Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

Endosine inapatikana wapi mkuu?, mwongozo tafadhali.
Zimepigwa marufuku kuuzwa maduka ya dawa, ila kama wanakufahamu au wakikuhoji na kuridhika basi watakuuzia. Wasipokuelewa elewa watakutosa.
 
Kamata mmoja umpige mbupu humo humo ndani ya gari wataogopa wengine na kukimbia
 
πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈhapana usiniweke maana napractise nofap.com
Hiyo hutoboi wewe....
Na vile unatembelea lile jukwaa la photo..
Sijui warembo afrika..
Bado ujashuka kule kwa kula tunda
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lamomy kwa haya maneno..
Naona sasa effect ya kuwa karibu na wizo ahahahahahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na wewe sasa unataka uwe don't care kama wizo daah πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Mi kitambo team β€œNo stress” 🀣🀣🀣🀣
 
Mi kitambo team β€œNo stress” 🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nakubali sana wee huna mambo mengi..
Hukai na kitu hapa kwa roho.. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama una tabia ya kula chips kwenye gari bora uache kabisa
Au muwekee na sumu yao
 
Hiyo hutoboi wewe....
Na vile unatembelea lile jukwaa la photo..
Sijui warembo afrika..
Bado ujashuka kule kwa kula tunda
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
huko hapana unaharibu nofap
 
Dawa ya panya rahisi sana tangu nielekezwe imenisaidia sana iwe store au popote

Nunua dawa ya mifupa inaitwa indosene hiyo inaua panya kimya kimya weka kwenye chakula chochote iwe dagaa au nyama vipande vidogo

Pia uzuri wa hii dawa sio sumu kwa binadamu

Panya yeye akila tu inamsagasaga mifupa yake ila kwa binadamu ni dawa ya mifupa
 
We ni katili sana
 
Mwaka jana nilipotelwa na vyeti vyangu vyote maana niliviweka kwa bi mkubwa wakati nimesafiri. Sasa kwa wenge baada ya kua havionekani nikajua labda dogo siku nimemkabidhi aliviweka vibaya then alipochoma takataka akachoma na vyenyewe na mama yeye anasema hakumbuki kama alipewa.

Baada ya miezi 8 tulivikuta nyuma ya kabati lake vikiwa vimeliwa upande mmoja. Mshenzi alitoboa kabati la nguo akachukua vyeti akasepa navyo. Mpaka leo nina vyeti nusu nina chuki nao hao washenzi vibaya nikikamata huwa nawasinya mpaka macho na utumbo vinatoka.
 
Tafuta wale jamaa wa fumigation kuna dawa ikipulizwa humo kwenye mashimo ya gari huyo panya akiendelea kuishi humo atakuwa ni cyborg.
 
Sikusamehi hadi nikuvunje

Jisalimishe mwenyewe tuuuu
Mbona nimesalimu amri ant angu
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nisamehe mimi dah
Lamomy njoo nitetee basi,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona nimesalimu amri ant angu
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nisamehe mimi dah
Lamomy njoo nitetee basi,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jisalimishe mwenyewe uingie chumbaniii ... ingiia tuu bila shuruti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…