Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Mkuu nibembelezeeni mwenzenu,namuhitaji mno na kama vipi mashemeji mtaniambia nini mnataka ili nikamilishe!.
1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?

Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko Ngorongoro
 
Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝
 
Hivi unajua wakati unazaliwa nishamaliza chuo we katoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umri ni namba[emoji38]
 

Naam

Ukitaka jimbo uwe na bajeti.

Hapa umenyooka rula mtupu.

Kila la heri kwenye hii project named Joanah
 
Huuu muda wa kuanza kujibu maswali unatoka wapi?

Niulize kuhusu fedha lakini si haya mambo ya kitoto!

Akili yangu inakuwaza wewe Joannah haya mambo ya kina bulicheka waachie walala hoi huko mitaani!
 
Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝
Ndio maana nataka kujua ukomavu wake,Je anamjua hata bulicheka?he ana uwezo wa kuvumilia nikipiga tukio nikapita na dollar zake?asije nililia mpaka anitangaze mitandaoni🤓🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…