1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?Mkuu nibembelezeeni mwenzenu,namuhitaji mno na kama vipi mashemeji mtaniambia nini mnataka ili nikamilishe!.
Hivi unajua wakati unazaliwa nishamaliza chuo we katoto🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulielewa ila unajifyatua
Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?
Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko NgorongoroView attachment 2690519
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unajua wakati unazaliwa nishamaliza chuo we katoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu mwambieSasa usichoolewa Nini hapo legend?mambo yasiwe mengi bwana,msikilize mwenzio[emoji23]
Dada acha kupishana na gari la mshahara [emoji23]Mmmh huu mtaji ni wa moto,siwezi chukua bila msaada wa mwanasheria wangu Robert Heriel Mtibeli
Sijui anataka aambiwaje na yeye!anapishana na zari la mentali😅😅😅Hebu mwambie
Naona anajizima data wakati hizi codes ndo mambo yao kule kwenye kimasikhara
Ngoja kwanza ajibu interview 🤓🤓🤓Dada acha kupishana na gari la mshahara [emoji23]
Kachukue mtaji huo
Hii ni kwa ajili yako mtoto mzuri Joannah ,Kiukweli wewe ni mwanamke uliyeko moyoni mwangu,kuanzia huo unywele wako mrefu,lips,kiuno hadi guu la byeeeri.
Nimeandaa fungu zito kwa ajili yako mrembo na mtoko huu utakuwa ni kwa wiki nzima na kwakuwa ni mtoko mfupi basi tutaelekea pale hifadhi ya Ngorongoro kwenye Hotel nzuri ya SOPA LODGE.
Utapata huduma zote anazopaswa kupewa mwanamke na kwakuwa utakuwa umetoa muda wako kwangu kwa wiki nzima basi nitahakikisha kila siku nakulipa laki 5,hiyo laki 5 itakuwa nje na mahitaji utakayo kuwa ukiyahitqji ikiwemo,nguo,simu kali,viatu,mikoba n.k.
Jiandae mama.
Kwako Joannah
Huuu muda wa kuanza kujibu maswali unatoka wapi?1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?
Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko NgorongoroView attachment 2690519
Ndio maana nataka kujua ukomavu wake,Je anamjua hata bulicheka?he ana uwezo wa kuvumilia nikipiga tukio nikapita na dollar zake?asije nililia mpaka anitangaze mitandaoni🤓🤓Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝
Hiyo ndio new generation Sasa😂😂😂wamefundishwa confidence huko kwenye shule zao za school bus,,akielewa shoo unakupiga tu kipindi mtu mzima🤣Hivi unajua wakati unazaliwa nishamaliza chuo we katoto🤣🤣🤣🤣
dah!Umefail😎
😀😀Nakuamini sana mhasibu wangu,IFM ilikunoa vizuri tusubiri neno la mwanasheria 🤓
Usumbufu wa hii generation siutaki hata, 35+ hapo tutaendana na kuelewana.Hiyo ndio new generation Sasa😂😂😂wamefundishwa confidence huko kwenye shule zao za school bus,,akielewa shoo unakupiga tu kipindi mtu mzima🤣
Mmmh huu mtaji ni wa moto,siwezi chukua bila msaada wa mwanasheria wangu Robert Heriel Mtibeli
Mmmh huu mtaji ni wa moto,siwezi chukua bila msaada wa mwanasheria wangu Robert Heriel Mtibeli
Anajidai kiswahili hakijui leoSijui anataka aambiwaje na yeye!anapishana na zari la mentali[emoji28][emoji28][emoji28]
Chukua kwanza helaNgoja kwanza ajibu interview [emoji851][emoji851][emoji851]