hicho kitabu uarumia lugha gani kukiandika sababu ukitumia kiswahili meneno mengi tanyo tumika kwenye lugha hiyo ni ya kiarabu ukitumia kigereza watasema dini ya wazungu ukitumia mtatumia lugha gani?Lazima tuwe na belief yetu kwanza ndipo tuweze kuwa na vyakwetu huwezi kuwa na gari la mzungu lugha ya mwarabu imani ya muhindi
Kwahyo unakubaliana na mm kwamba hata sisi waafrika tuna dini zetu kama ambavyo mababu zetu walikuwa wanaabudu miti,wanyama,milima n.k?Who is God to you? Concept ya Mungu ni tofauti kwa kila jamii/mtu............we una namna yako ya kumtambua mungu unaemuamini wengine wanaabudu ng'ombe............wengine mungu ni ile nguvu ya juu kabisa katika kile wanachokiamini
Hilo mbona sijakataaKwahyo unakubaliana na mm kwamba hata sisi waafrika tuna dini zetu kama ambavyo mababu zetu walikuwa wanaabudu miti,wanyama,milima n.k?
Nature ya wanaadamu ni usalitiTatizo unaamini ulichoaminishwa na waliokutawala hivyo siyo rahisi kutafuta ukweli juu ya uliotawaliwa nao hasa kujua nini sababu ya kinjekitile kufeli kama siyo kusalitiwa kitu ambacho watu kama wewe mnakiendeleza kwa kusaliti kila wazo la Mwafrika.
Huenda walituzidi hakili kwa kujiaminisha Sana kwa miungu yetu kwamba wao niwa tiifu kuliko sisi kupitia mabarozi wake ambao niwaganga na machifu lakini baada ya kuaminika na miungu wakaamua kutudhuru
Haujui Yesu (as), Muhammad (saw) wameleta nini?
Kama hata hilo hujui sijui nitajadili nini na wewe
Asee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibuSkiliza wewe
Sjui nikuambie Nini unielewe ndugu yangu
Jesus is for Israelians
Muhamadi is for Arabians
So
Who is GOD for Africans?
Je hakuna mungu wa kiafrica? Hakuna nabii wa ki Africa?
Hakuna DINI na mungu wa kiafrica?
Kwanini wewe uitwe rashidi badara ya shilwa?
Kwanini wewe uitwe Peter badara ya mbwiga?
Tuanzie hapo fundi chaga😂😂😂
Yapo misri. Google utapata vitabu vingi ila inabidi usiwe mvivu wa kusoma. Nilikuwa nacho kimoja kilipotea na window.Wamarekani weusi nao wameandika sana.Habarini,
Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.
Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.
Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k
Naomba kuwasilisha.
Hapo kwa masheikh tusiwaonee hao wengi wapo na shughuli zao mambo ya msikiti hawategemei kuendeshea maisha yaoMimi siishi kwa kumtegemea yesu wa wazungu au mojamad wa warabu ninaishi kwa kuabudu MABABU ma MABIBI zangu siingii msikiti wala kanisani nmuamini MUNGU na kumiomna kwa kupitia kwa MABABU NA MABIBI zangu na nimefanikiwa sana,sana sadaka natoa kwa wahitaji siyo kwa makanisa na misikiti.
Narudia kwa ujinga mlionao wa kumchangia mchungaji au sheikh fedh anapotaka kununua au kujenga nyumba halafu wewe anakwambia akuombee utavipata mjiandae kuwa maskini.
Haujui Yesu (as), Muhammad (saw) wameleta nini?
Kama hata hilo hujui sijui nitajadili nini na wewe
Majini asili yake ni warabu ambayo sisi Waafrika tunaiita mizimu, hao waarabu hawakutawaliwa na wazungu na kuoandikizwa ujinga wa wazungu ndiyo maana waliweza kujisimamia baada ya kuzitetea mila na desturi zao,pia wachina,wazungu,n.k waliweza kisimamia mila na desturi zao.
Huwezi kufanikiwa iwapo hujaweza kuzilinda mila na desturi zako i.e. dini/imani ndiyo maana Afrika ni maskini kulinganisha na wazungu na warabu waliosimamia mila zao.
[/QUOTE
Huyu mungu anaitwa nsana gwa nyoko mkuuAsee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibu
Nimekuuliza huyo Mungu wa waafrika anaitwa nani?😂
Achana na cheap propaganda za majina sijui mwelwa sijui rashid
Ndiyo hapo mkuu najiuliza kila siku
Hiyo miungu ilikuwepo wapi wakati wale washenzi wanakuja kutupeleka utumwani
Dini haziwezi kutusaidia chochote,dini zinatatua matatizo ya kiroho/spiritual matters,sie matatizo yetu ni ya kiuchumi.Habarini,
Baada ya kupitia mijadala mingi humu JF na mitandao mbalimbali nimeona sasa kunaumuhimu wa kuungana sisi wenyewe Waafrika na kuanzisha dini/kanisa la Imani ya Waafrika/Washindi wa Afrika/Africa Catholic nk.
Hii ni kutokana na uwazi kuwa sasa Waafrika tumeanza kujitambua hivyo inatubidi kuweka maandiko yetu ya kiimani na kuabudu yatakayofundisha mambo mazuri na kuyaendeleza na pia mambo mabaya na kuyaacha kwa kufuata mfumo uleule wa kuzikataa dini na imani tulizoletewa na wakokoni wote kwani siyo rahisi kuzikataa pasipo kuanzisha ya kwetu.
Naomba mapendekezo yenu wote wenye nia njema na Afrika kwa kuanza na jina lipi litumike kuiwakilisha dini/imani yetu ingawa naona kabisa madhebu yetu yanaweza kuegemea koo au makabila yenye mila na desturi zilizosawa na vitabu vyetu pia vinaweza kuwa hivyohivyo i.e. kitabu cha Wasukuma, kitabu cha Wachanga, n.k
Naomba kuwasilisha.
MUNGU ni mmoja duniani,hakuna Mungu wa Wafrika au Waarabu,Wazungu,rtc.Asee maswali kuhusu hiyo Miungu ni mengi na hakuna mwenye jibu
Nimekuuliza huyo Mungu wa waafrika anaitwa nani?[emoji23]
Achana na cheap propaganda za majina sijui mwelwa sijui rashid
Utumwa haujaisha,kama mababu zetu walivyochukuliwa namna ile,hata leo,tunapigwa sana,lakini sio kweli kwamba watu walichukuliwa kizembe,Na wewe kwanini ukakubali kupelekwa utumwani?? Kwanini usipambane?? Huoni kupelekwa utumwani ilikuwa ni ujinga na uoga na uzembe wako mwenyewe!!-- inakuaje mtu atoke atokake aje nyumbani kwako na anakukamata kama swala na anaondoka na wewe kiulaini !!, isitoshe utumwa ilikuwa ni biashara iliyochukua muda mrefu je mlishindwaje kushirikiana nyinyi wenyewe na kuitokomeza??, waafrika tulikuwa hovyo na hadi leo tunanyanyaswa na kubaguliwa na kuporwa maliasili zetu ni muendelezo wa ujinga uleule tuliorithi kutoka kwa mababu zetu hivyo huna haja ya kumlaumu Mungu bure juu ya ujinga wako.