Naomba tuweke rekodi sawa kuhusu kutumbuliwa DED na DC Mtwara

Naomba tuweke rekodi sawa kuhusu kutumbuliwa DED na DC Mtwara

Simpongezi kwa lolote, alichofanya kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari ni kosa kubwa litakalotuumiza tuliopo, na wale wasiopo, ambao hawana kosa lolote.

Kama kweli ana huo moyo wa huruma kwa watanganyika, avunje ule mkataba wa hovyo wa bandari, lakini sio kunidanganya kwa upendo wa kinafiki kwenye jambo dogo, wakati lile kubwa zaidi ameamua kulinyamazia.
Wewe una chuki binafsi.
Hata yeye hataki pongezi kwa mtu aina yako
 
Hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Mapori ya selou bado Ni ya Tanganyika? HIFADHI zingine zipo chini ya malikia wa uingerza au tulete makaratasi uone kuwa Tanganyika my milimita zake zimeuzwa
Ok sawa uwekezaji usio nankikomo Cha Muda Ni Nini Tafsiri yake????????

Kule Mbarali MASHAMBA ya serikali ZAMANI yalikuwa chini ya NAFKO Kwasasa anayamiliki muwekezaji kwa Mkataba wa Miaka 99, duu hata kama sijui uwekezaji huu Ni muda mrefu saana. Before hapo Kuna Grace period ya Miaka 25 some Kama mradi unalipa ndo aanze kuilipa serikali duuuuu. Ni sawa tu na kuuza
Huko Ni sawa nakuuza kwa SABABU muwekezaji atafanya lile analojisiki
 
Rais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?

To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!

Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.

I stand to be corrected!
Shida ni kurudisha kadi za CCM
 
Hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Kaka P
Huko kuonekana kuna milimita za JMT zimeuzwa kunatokana haya;

1. Mkataba wa DPW na TZ hausemi ukomo. Hii maana yake, eneo lililotajwa kwenye mkataba lipo mikononi mwao milele.

Hapa nina swali hili;
- Wewe unajua mkataba huo mwisho wake lini?

2. Mkataba wa DPW na TZ, unasema kama kuna yeyote anataka kuendeleza eneo lililotajwa kwenye mkataba, inabidi TZ iwaambie DPW.

Hapa nina maswali haya;
- Hivi kwanini mpaka tuwaambie wao kama kweli eneo ni letu?
- Je! wakiambiwa na wakikataa tuna la kufanya? Na huku tumekikubali kipengele hicho?
- Tukitaka kuendeleza sisi wenyewe napo tunatakiwa kuwapa taarifa, na wanaweza wakasema HAPANA. Hivi hapa kwa kipengele hicho, huoni kwamba DPW ndo mmiliki wa eneo tajwa?

3. Mkataba wa DPW na TZ, hauvunjiki hata kutokee ugomvi wa kidiplomasia.
- Hapa ikitokea vita kati yetu na Dubai, eneo tajwa bado linakuwa lao.

Kifupi, kaka Pascal Mayalla hayo maneno yenu ya kwamba bandari haijauzwa, mnapoyatamka, huwa hamuweki vipengele vinavyosapoti muyasemayo. Mnaishia kutaja maneno tu na kuleta habari za kuaminiana na usikivu wa serikali.
 
Inashangaza sana kuona watu wazima wanapodanganyika kwa peremende!.
Tanzania Wajinga bado wajinga na walioelimika akili wamepeleka tumboni kwenye njaa.

Hili swala wao wenyewe ndio waasisi kuanzia chaguzi za NEC za mchongo mpaka kupata kazi serikali ni UCCM tu umetawala.
 
Rais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?

To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!

Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.

I stand to be corrected!

Unatoaje mradi kwa Chadema kwenda maeneo ya wanachama wa CCM halafu CCM warudishe kadi? Hamjui wanasiasa nyie.
 
Upuuzi huu uliufanya sana mwendazake hadi Mola akasema "hutakiwi kabisa kuongoza watu wangu"
 
Kwahiyo unaamini hisia za rabon badala ya kutumia akili yako kufikiria hoja sahihi?
Lazima utafakari wenzako wanasemaje and then you find the truth. These are facts, pending proof of them
 
Kaka P
Huko kuonekana kuna milimita za JMT zimeuzwa kunatokana haya;

1. Mkataba wa DPW na TZ hausemi ukomo. Hii maana yake, eneo lililotajwa kwenye mkataba lipo mikononi mwao milele.
IGA huwa sio mikataba bali ni makubaliano tuu, MoU hivyo hazina time limitations wala considerations. Mkataba ni HGA, una time frame na consideration ya monetary value!.
Hapa nina swali hili;
- Wewe unajua mkataba huo mwisho wake lini?
Mwisho wa mkataba ni mwisho wa zile HGA.
2. Mkataba wa DPW na TZ, unasema kama kuna yeyote anataka kuendeleza eneo lililotajwa kwenye mkataba, inabidi TZ iwaambie DPW.
Hapana!, unasema zikitokea fursa, na wao wawe notified ili nao waweze ku bid!.
Hapa nina maswali haya;
- Hivi kwanini mpaka tuwaambie wao kama kweli eneo ni letu?
Hakuna ubaya kuwa notify uwepo wa futher opportunities, wao wataweza kuwa more strategic investors kwavile tayari wapo!.
- Je! wakiambiwa na wakikataa tuna la kufanya?
Hawana uwezo wa kutukatalia chochote!, demand yao is just to be notified ili waweze ku bid!.
Na huku tumekikubali kipengele hicho?
Hakina tatizo lolote!.
- Tukitaka kuendeleza sisi wenyewe napo tunatakiwa kuwapa taarifa,
Hapana, kanuni za ushindani wa wazi zinasisitiza notifications every step.
na wanaweza wakasema HAPANA.
No hawana that mandate!.
Hivi hapa kwa kipengele hicho, huoni kwamba DPW ndo mmiliki wa eneo tajwa?
No!.
3. Mkataba wa DPW na TZ, hauvunjiki hata kutokee ugomvi wa kidiplomasia.
Yes sio mkataba wa kisiasa, hata jeshi likipindua nchi, mkataba unaendelea
- Hapa ikitokea vita kati yetu na Dubai, eneo tajwa bado linakuwa lao.
No sio linakuwa lao ni mkataba naendelea
Kifupi, kaka Pascal Mayalla hayo maneno yenu ya kwamba bandari haijauzwa, mnapoyatamka, huwa hamuweki vipengele vinavyosapoti muyasemayo. Mnaishia kutaja maneno tu na kuleta habari za kuaminiana na usikivu wa serikali.
Huu ndio ukweli hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
 
Unaamini alichokisema?

Majuzi alipomwacha Balozi mmoja alisema alikuwa anakaa tu ofisini hajui hili Wala lile, uliamini?

Yaani kipilimbae anaweza akawa mtu wa kukaa asijue Cha kufanya?

Uwe na HAKIKA wananchi wamerudisha kadi Kwa Sababu zingine Si kuhamisha mradi pekee,

Za kuambiwa, changamya na zako.

Wana ccm wenzie hawaungi mkono kuuzwa kwa Bandari, ndio maana walirudisha hizo kadi.
 
La bandari limekwisha, wacha mbambamba. Huu ni muda wa DP WORLD kuchapa kazi. Nyie wanaufaika wa wizi bandarini tafuteni kazi nyingine. Ondoeni kelele za kipumbavu hapa
Hao Dp world watazuiaje huo uwizi ?...wanakuja na vyombo vyao vya dola ?
 
Back
Top Bottom