Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo bogus nitampongeza siku atakayojiuzulu, atupishe.
Shkamoo Denoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo bogus nitampongeza siku atakayojiuzulu, atupishe.
Kama kweli mradi uliamishwa kwa sababu ya wapinzani kwanini wanachama was ccm ndio wamerudisha Kasi, inabidi ukubali raise wetu uwezo mdogo.Rais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?
To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!
Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.
I stand to be corrected!
Ungekuwa na weledi ungeweka vifungu vya hiyo sheria vinavyoakisi hoja yako.....Mkuu soma sheria ya Mamlaka ya bandari utaona kwa nini ni bandari za bara peke yake
Nakubaliana na wewe. Ana uwezo mdogo sana.Kama kweli mradi uliamishwa kwa sababu ya wapinzani kwanini wanachama was ccm ndio wamerudisha Kasi, inabidi ukubali raise wetu uwezo mdogo.
Hatuwezi kukubali Watanzania wenzetu waangaliwe mbugani kama vinyago. Inatosha sasa watoke waishi kama binadamu.Uwepo wa maasai unazuia vp utalii?
Unajua pesa kiasi Gani zitapotea ikiwa maasai ataondolewa mbugani,maana tangu enzi watalii wanajua Ngorongoro Kuna maasai, sehemu ya utalii.
Mbuga ya asili yenye wanyama na binafamu wakiishi pamoja!!
Uwepo wa maasai Ngorongoro ni Moja ya maajabu Saba ya Ulimwengu ndicho kinaleta watalii everywhere.Hatuwezi kukubali Watanzania wenzetu waangaliwe mbugani kama vinyago. Inatosha sasa watoke waishi kama binadamu.
Kwani mbuga zingine kama Serengeti au Mikumi ambazo hazina binadamu, je watalii hawaendi?
Maajabu 7 labda ya Tanzania ndiyo Ngorongoro itakuwapo. Ila ya dunia ni UWONGO. Kadanganye wanao.Uwepo wa maasai Ngorongoro ni Moja ya maajabu Saba ya Ulimwengu ndicho kinaleta watalii everywhere.
Unapinga maasai kuwepo Ngorongoro na hupingi waarabu kuiba wanyama wetu hai kama twiga na kumpeleka zoo jangwani!!
Twiga na jangwa wapi na wapi!!!
Siku inakuja mtatubu mkiwa mahala sahihi panapowafaa watu aina yenu!!
Pale roliondo ukienda mawasiliano yanakuambia umeingia Uarabuni halafu mtu anakwambia ardhi haijauzwa!!!
Ni kweli , ila wamegawa bureHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Halafu unadaiwa passport unapoingia Loliondo?Pale roliondo ukienda mawasiliano yanakuambia umeingia Uarabuni halafu mtu anakwambia ardhi haijauzwa!!!
Baada ya kugawa bure ardhi imebebwa?Ni kweli , ila wamegawa bure
Hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
Mayala kikwetu wasukuma ni Njaa sasa wewe ni njaa inakusumbua.
Sijawahi mwamini mwanamke, na, sintowahi niwe. Angalia mayeso Eva aliyotusababishia karne na karne, tumo tuu!Simpongezi kwa lolote, alichofanya kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari ni kosa kubwa litakalotuumiza tuliopo, na wale wasiopo, ambao hawana kosa lolote.
Kama kweli ana huo moyo wa huruma kwa watanganyika, avunje ule mkataba wa hovyo wa bandari, lakini sio kunidanganya kwa upendo wa kinafiki kwenye jambo dogo, wakati lile kubwa zaidi ameamua kulinyamazia.
Ameuza vipi hiyo Tanganyika?Rais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?
To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!
Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.
I stand to be corrected!
Kaka P,Hakuna mkosoaji yeyote anayetishwa!, wale walikwenda kwenye extreme badala ya kukosoa wakaleta maneno ya uchochezi!. Bunge limepitisha IGA June 10, June 11 bandiko hili Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! take it from me, hakuna ukosoaji wowote wa IGA mkubwa kama huu!, lakini hakuna kitisho chochote!, hakuna ukosoaji mkubwa kama wa Prof. Shivji, Prof. Tibaijuka, Dr. Rugemeleza, TLS etc, hakuna aliyetishwa!.
P
Utasubiri sanaHuyo bogus nitampongeza siku atakayojiuzulu, atupishe.
Kwani ukiuza nyumba Yako, aliyenunua hawezi kukupangisha?Halafu unadaiwa passport unapoingia Loliondo?