Wewe una chuki binafsi.Simpongezi kwa lolote, alichofanya kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari ni kosa kubwa litakalotuumiza tuliopo, na wale wasiopo, ambao hawana kosa lolote.
Kama kweli ana huo moyo wa huruma kwa watanganyika, avunje ule mkataba wa hovyo wa bandari, lakini sio kunidanganya kwa upendo wa kinafiki kwenye jambo dogo, wakati lile kubwa zaidi ameamua kulinyamazia.
Mapori ya selou bado Ni ya Tanganyika? HIFADHI zingine zipo chini ya malikia wa uingerza au tulete makaratasi uone kuwa Tanganyika my milimita zake zimeuzwaHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Shida ni kurudisha kadi za CCMRais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?
To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!
Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.
I stand to be corrected!
SureWananchi wameonyesha waziwazi kutoikubali CCM Mbeya, na mtwara,
Mbeya ni kawaida hata 004 aliwahi kukutana na upinzani mkubwa hadharani,
006 hasira za kukataliwa Mbeya anawamalizia DED na RC.
Kaka PHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Kaka najua unaipenda sana nchi yako....lakini najutia na kukusikitikia kwamba aujui kitu chochote kuhusu nchi yako...waache wanayoijua waipambanie iweze kuwa sawaHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Amesema tanganyika sio JMTHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Wewe chawa wasema. Huna jipya subiria teuuziHakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Tanzania Wajinga bado wajinga na walioelimika akili wamepeleka tumboni kwenye njaa.Inashangaza sana kuona watu wazima wanapodanganyika kwa peremende!.
Rais Samia amesema hajapendezwa kuhamisha miradi kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine kwa vile pale wananchi wanawaunga mkono wapinzania. Hii ina maana kuwa amewatumbua kwa kuhamisha miradi na kuwaaacha wananchi wanaounga mkono wapinzani bila huduma. Amesema "kwani wale si wananchi"?
To quote her, Si kuwa kurudishwa kadi ndiyo sababu ya kuwatumbua!
Pamoja na ubaya wa Samia kwenye kuuza Tanganyika, (mimi simpendi kwa kuuza Tanganyika kwa Waarabu) kwa hili tuandike alichokisema.
I stand to be corrected!
Huyo bogus nitampongeza siku atakayojiuzulu, atupishe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaruka naye tena
Wewe hata Samia akisema mavi ni chakula utamuunga mkono! Am I right?? Kama unawapa bandari with no time limit, si kuuza?Hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
Pascal Mayalla akili zake anazijua mwenyewe. bdo uteuzi unamuhangaisha sana tena sanaIla wamepewa bure milele, we mzima? Lini shughuli za bandari zitaisha ndio waondoke? kwanini sheria za ushindani na manunuzi zibatilishwe kwa wao tu kupewa watakacho, nawaelewa sasa walaka wa TEC!
Lazima utafakari wenzako wanasemaje and then you find the truth. These are facts, pending proof of themKwahiyo unaamini hisia za rabon badala ya kutumia akili yako kufikiria hoja sahihi?
Mzee kuna facts za hili??Hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.
P
IGA huwa sio mikataba bali ni makubaliano tuu, MoU hivyo hazina time limitations wala considerations. Mkataba ni HGA, una time frame na consideration ya monetary value!.Kaka P
Huko kuonekana kuna milimita za JMT zimeuzwa kunatokana haya;
1. Mkataba wa DPW na TZ hausemi ukomo. Hii maana yake, eneo lililotajwa kwenye mkataba lipo mikononi mwao milele.
Mwisho wa mkataba ni mwisho wa zile HGA.Hapa nina swali hili;
- Wewe unajua mkataba huo mwisho wake lini?
Hapana!, unasema zikitokea fursa, na wao wawe notified ili nao waweze ku bid!.2. Mkataba wa DPW na TZ, unasema kama kuna yeyote anataka kuendeleza eneo lililotajwa kwenye mkataba, inabidi TZ iwaambie DPW.
Hakuna ubaya kuwa notify uwepo wa futher opportunities, wao wataweza kuwa more strategic investors kwavile tayari wapo!.Hapa nina maswali haya;
- Hivi kwanini mpaka tuwaambie wao kama kweli eneo ni letu?
Hawana uwezo wa kutukatalia chochote!, demand yao is just to be notified ili waweze ku bid!.- Je! wakiambiwa na wakikataa tuna la kufanya?
Hakina tatizo lolote!.Na huku tumekikubali kipengele hicho?
Hapana, kanuni za ushindani wa wazi zinasisitiza notifications every step.- Tukitaka kuendeleza sisi wenyewe napo tunatakiwa kuwapa taarifa,
No hawana that mandate!.na wanaweza wakasema HAPANA.
No!.Hivi hapa kwa kipengele hicho, huoni kwamba DPW ndo mmiliki wa eneo tajwa?
Yes sio mkataba wa kisiasa, hata jeshi likipindua nchi, mkataba unaendelea3. Mkataba wa DPW na TZ, hauvunjiki hata kutokee ugomvi wa kidiplomasia.
No sio linakuwa lao ni mkataba naendelea- Hapa ikitokea vita kati yetu na Dubai, eneo tajwa bado linakuwa lao.
Huu ndio ukweli hakuna hata milimita moja ya JMT iliyouzwa!.Kifupi, kaka Pascal Mayalla hayo maneno yenu ya kwamba bandari haijauzwa, mnapoyatamka, huwa hamuweki vipengele vinavyosapoti muyasemayo. Mnaishia kutaja maneno tu na kuleta habari za kuaminiana na usikivu wa serikali.
Yes, mkataba uko wazi kabisa hakuna mauziano yoyote ni uendeshaji tuu!.Mzee kuna facts za hili??
Unaamini alichokisema?
Majuzi alipomwacha Balozi mmoja alisema alikuwa anakaa tu ofisini hajui hili Wala lile, uliamini?
Yaani kipilimbae anaweza akawa mtu wa kukaa asijue Cha kufanya?
Uwe na HAKIKA wananchi wamerudisha kadi Kwa Sababu zingine Si kuhamisha mradi pekee,
Za kuambiwa, changamya na zako.
Hao Dp world watazuiaje huo uwizi ?...wanakuja na vyombo vyao vya dola ?La bandari limekwisha, wacha mbambamba. Huu ni muda wa DP WORLD kuchapa kazi. Nyie wanaufaika wa wizi bandarini tafuteni kazi nyingine. Ondoeni kelele za kipumbavu hapa